< Warumi 13 >

1 Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.
Muntu uliyense anyumfwilenga bendeleshi bamfulumende, pakwinga kuliyawa bwendeleshi bwalabula kufuma kuli Lesa. Lino bendeleshi balipo balabikwapo ne Lesa.
2 Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.
Neco muntu lakananga kunyumfwila bendeleshi bamfulumende, lakananga bubambo bwalabikwapo ne Lesa. Neco beshikwinseco nibakatambule cisubulo.
3 Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.
Pakwinga bendeleshi nkabakute kutinwa ne bantu abo beshi kwinsa bintu byaina, nsombi abo beshikwinsa bintu byaipa. Sena ulayandanga kuba muntu utatini mwendeleshi? Winsenga byalulama, neco nendi nakakulumbaishe,
4 Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.
pakwinga nendi ni musebenshi wa Lesa lamwinshilinga byaina. Nsombi na ulenshinga byaipa ube ne buyowa pakwinga ukute ngofu shakukupa cisubulo. Nendi ni musebenshi wa Lesa shi kuleta bukalu bwa Lesa pali shikwinsa byaipa, pakumupa cisubulo.
5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.
Weco kamubanyumfwilanga bendeleshi, kutambeti kutinowa bukalu bwa Lesa, nsombi pacebo ca kwambeti nawo mengashilo alasuminishi kwinseco.
6 Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.
Weco ncomukute kubengela misonko, pakwinga bendeleshi bakute kusebensela Lesa pancito ilico.
7 Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.
Mupeni uliyense ncalayandanga, musonko kuli beshikusonkesha, lipilani musonko wenu kayi ne wabintu nabimbi mbyomukute. Lemekeni belela kulemekwa, kayi pani bulemu abo belela kupewa bulemu.
8 Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.
Mutaba ne nkongole kumuntu uliyense, nsombi ya kusunanowa umo ne munendi. Usuni munendi ekwambeti lakonko byonse ibyo Milawo ya Lesa ncoikute kwamba.
9 Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
Pakwinga Milawo ikute kwambeti, “Utensa bupombo, utashina, utaiba, utakumbwa camunobe.” Neco milawo yonse iyi pamo ne naimbi yonse yabikwa mu mulawo uyu wakwambeti, “Usunenga muntu munobe mbuli ncolisuni omwine.”
10 Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
Na muntu usuni muntu munendi, nkela kumwinshila caipa sobwe. Weco uyo usuni munendi, ekwambeti lasungu byonse ibyo Milawo ya Lesa ncoikute kwamba.
11 Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini.
Kamwinsani ibi pakwinga cindi cilashiki cakwambeti mupunduke kufuma mutulo. Pakwinga lupulusho luli pepi kupita pacindi mpotwalatatika kushoma.
12 Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.
Mashiku alipepi kupwa, nako kumaca kuli pepi. Lino katushilekani ncito sha mashiku, tufwale byensho byakulwanisha cindi ca munshi.
13 Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.
Minshilo yetu ibe yalulama, mbuli bantu bakute kwenda munshi. Kamutaya kumalyalya aminyungwe nambi kukolewa, nambi bufule nambi byasafwana, nambi nkondo kayi nambi minyono.
14 Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.
Mwami Yesu Klistu abe censho cenu cankondo. Lino kamutakonkela bwikalo bwaipa bwa kusemwa nabo kayi mutakomwa ne lunkumbwa lwaipa lwa kumubili.

< Warumi 13 >