< Warumi 13 >

1 Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.
yuSmAkam ekaikajanaH zAsanapadasya nighno bhavatu yato yAni zAsanapadAni santi tAni sarvvANIzvareNa sthApitAni; IzvaraM vinA padasthApanaM na bhavati|
2 Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.
iti hetoH zAsanapadasya yat prAtikUlyaM tad IzvarIyanirUpaNasya prAtikUlyameva; aparaM ye prAtikUlyam Acaranti te sveSAM samucitaM daNDaM svayameva ghaTayante|
3 Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.
zAstA sadAcAriNAM bhayaprado nahi durAcAriNAmeva bhayaprado bhavati; tvaM kiM tasmAn nirbhayo bhavitum icchasi? tarhi satkarmmAcara, tasmAd yazo lapsyase,
4 Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.
yatastava sadAcaraNAya sa Izvarasya bhRtyo'sti| kintu yadi kukarmmAcarasi tarhi tvaM zaGkasva yataH sa nirarthakaM khaGgaM na dhArayati; kukarmmAcAriNaM samucitaM daNDayitum sa Izvarasya daNDadabhRtya eva|
5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.
ataeva kevaladaNDabhayAnnahi kintu sadasadbodhAdapi tasya vazyena bhavitavyaM|
6 Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.
etasmAd yuSmAkaM rAjakaradAnamapyucitaM yasmAd ye karaM gRhlanti ta Izvarasya kiGkarA bhUtvA satatam etasmin karmmaNi niviSTAstiSThanti|
7 Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.
asmAt karagrAhiNe karaM datta, tathA zulkagrAhiNe zulkaM datta, aparaM yasmAd bhetavyaM tasmAd bibhIta, yazca samAdaraNIyastaM samAdriyadhvam; itthaM yasya yat prApyaM tat tasmai datta|
8 Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.
yuSmAkaM parasparaM prema vinA 'nyat kimapi deyam RNaM na bhavatu, yato yaH parasmin prema karoti tena vyavasthA sidhyati|
9 Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”
vastutaH paradArAn mA gaccha, narahatyAM mA kArSIH, cairyyaM mA kArSIH, mithyAsAkSyaM mA dehi, lobhaM mA kArSIH, etAH sarvvA AjJA etAbhyo bhinnA yA kAcid AjJAsti sApi svasamIpavAsini svavat prema kurvvityanena vacanena veditA|
10 Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.
yataH prema samIpavAsino'zubhaM na janayati tasmAt premnA sarvvA vyavasthA pAlyate|
11 Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini.
pratyayIbhavanakAle'smAkaM paritrANasya sAmIpyAd idAnIM tasya sAmIpyam avyavahitaM; ataH samayaM vivicyAsmAbhiH sAmpratam avazyameva nidrAto jAgarttavyaM|
12 Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.
bahutarA yAminI gatA prabhAtaM sannidhiM prAptaM tasmAt tAmasIyAH kriyAH parityajyAsmAbhi rvAsarIyA sajjA paridhAtavyA|
13 Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.
ato heto rvayaM divA vihitaM sadAcaraNam AcariSyAmaH| raGgaraso mattatvaM lampaTatvaM kAmukatvaM vivAda IrSyA caitAni parityakSyAmaH|
14 Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.
yUyaM prabhuyIzukhrISTarUpaM paricchadaM paridhaddhvaM sukhAbhilASapUraNAya zArIrikAcaraNaM mAcarata|

< Warumi 13 >