< Warumi 11 >
1 Basi nauliza: Je, Mungu amewakataa watu wake? La, hasha! Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, tena uzao wa Abrahamu kutoka kabila la Benyamini.
pe niti, neke uNguluve alyavakanile avaanhu vake? nambe padebe. ulwakuva najune kange nili mwiSilaeli ghwa kikolo kya Abulahamu, ghwa kikolo kya Benyamini.
2 Mungu hajawakataa watu wake, ambao yeye aliwajua tangu mwanzo. Je, hamjui yale Maandiko yasemayo kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Israeli?
UNguluve nalyavakanile avaanhu vake, vano alyavamanyile kuhuma mu vwandilo. pe namukagula ililembe liti kiki kuhusu uEliya, ndavule alyansumile uNguluve kyanya ja Silaeli?
3 Alisema, “Bwana, wamewaua manabii wako na kuzibomoa madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?”
Ntua vabudile avavili vako vope vanyemwile ilitekelo lyako. nijighe ene ne mwene, vope vinoghua uvwumi vwango”.
4 Je, Mungu alimjibuje? “Nimejibakizia watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.”
neke ulwamulo lwa Nguluve luti kiki kuveene? “nivike vwimila jango avaanhu imbilima lekela lubale vano navikumfughamila uBaali”.
5 Vivyo hivyo pia, sasa wapo mabaki waliochaguliwa kwa neema ya Mungu.
nambe lino unsiki ughu ghwa lino kange kwevale vano vasighile vwimila vusalusi vwa vumosi.
6 Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, si tena kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa kwa matendo, neema isingekuwa neema tena.
neke nave vwe vumosi, sio kange kumaghendele,
7 Tuseme nini basi? Kile kitu ambacho Israeli alikitafuta kwa bidii hakukipata. Lakini waliochaguliwa walikipata. Waliobaki walifanywa wagumu,
pe kiki? imbombo jino uIsilaeli alyale ilonda nakakyaghile looli havakemelua vakakyagha, navange vakaponesevua uvusito.
8 kama ilivyoandikwa: “Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo, macho ili wasiweze kuona, na masikio ili wasiweze kusikia, hadi leo.”
ndavule jilyalembilue: “'uNguluve avapelile umwoojo ghwa ghano naghilila neke valekaghe kulola, ni mbughulutu neke navangapulikaghe kuhanga umusyughi iji.”
9 Naye Daudi anasema: “Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa, kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.
ghwope uDavidi iti, “leka imesa save sive vwafu, lutengo, lubale lwa kukuvala, na kuhombekesia uluhombo kuvene.
10 Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona, nayo migongo yao iinamishwe daima.”
leka aamaso ghaponekesivue ing'iisi neke vakunue kulola. ukaghaghunamisie amasana ghave ifighono fyoni”
11 Hivyo nauliza tena: Je, Waisraeli walijikwaa ili waanguke na kuangamia kabisa? La, hasha! Lakini kwa sababu ya makosa yao, wokovu umewafikia watu wa Mataifa, ili kuwafanya Waisraeli waone wivu.
pe nijova, “pe vakuvile nambe kughua?” nalungavisaghe nahele ifighono fyoni. pepano kwa kukunua kuveene, uvuvangi vufikile ku iisi, neke vavuo vaponekesivue uvwifu
12 Basi ikiwa kukosa kwao kumekuwa utajiri mkubwa kwa ulimwengu, tena kama kuangamia kwao kumeleta utajiri kwa watu wa Mataifa, kurudishwa kwao kutaleta utajiri mkuu zaidi.
lino nave kukunua kwave vwe vumofu vwa iisi, pe kalingi pwevuli uvukamilifu kwave kukila.
13 Sasa ninasema nanyi watu wa Mataifa. Maadamu mimi ni mtume kwa watu wa Mataifa, naitukuza huduma yangu
na lino nijova numue mwevaanhu va pa iisi. ulwakuva muli vasung'ua va vaanhu va iisi isinge, nikujighinia mu mbombole jango inofu.
14 ili kuwafanya watu wangu waone wivu na hivyo kuwaokoa baadhi yao.
ndeponu nikuvaponia uvwifu ku vano valim'bili ghumo nune. pamo ndeponu tukuvapoka vamonga.
15 Kwa kuwa ikiwa kukataliwa kwao ni kupatanishwa kwa ulimwengu, kukubaliwa kwao si kutakuwa ni uhai baada ya kufa?
ulwakuva nave kukanilua kwave ghe mapuling'ano gha pa iisi, pe luvisagha ndani kukwupilua kwave, looli vwumi kuhuma ku vafue?
16 Kama sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo hivyo na matawi nayo.
nave imheke isa kwanda sa kuvikilisia, pe jilivuo inonge ja vutine. nave ghuvikilisia amalela na gha matafi vulevule.
17 Lakini kama baadhi ya matawi yalikatwa, nawe chipukizi la mzeituni mwitu ukapandikizwa mahali pao ili kushiriki unono pamoja na matawi mengine kutoka shina la mzeituni,
neke nave amatafi ghadumulivue ndavule uve, ilitafi lya museituni ghukavwalilue mu vamonga, nave ulyavombile palikimo na vavo mu malela gha vumofu vwa mseituni,
18 basi usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna, kumbuka jambo hili: si wewe unayelishikilia shina, bali ni shina linalokushikilia wewe.
nungajighiniaghe ku matafi neke nave ghukughinia na veve ghwejuno ghukughatanga amalela, looli amalela ghikukutanga uve.
19 Basi utasema, “Matawi yale yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika hilo shina.”
pe ghuliti, “amatafi ghakadumulivue neke nipate uvwalua mu limela”.
20 Hii ni kweli. Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali simama kwa kuogopa.
lino pe lweli vwimila kuleka kukwitika kwave vakadumulivue, neke uve ukimile ku lukangafu lwa lwitiko lwako. nungajisaghile juve ghwemwene mu lywa kwighinia kyongo, looli oghopagha.
21 Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.
ulwakuva nave uNguluve nakaghalekila amatafi gha vutengulilo kange nailikusaghila najuve.
22 Angalia basi wema na ukali wa Mungu: Kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, kama utadumu katika wema wake. La sivyo, nawe utakatiliwa mbali.
lola himbe amaghendele amaagholofu nu vukali vwa Nguluve. ku lubale lumo, uvukali vulyisile kyanya ja vaYahudi vano valyaghwile. neke kulubale ulunge uvugholofu vwa Nguluve vukwisa kulyuve, nave ghukukala mu vugholofu vwake. nave na uluo najuve vikukubudila kutali.
23 Wao nao wasipodumu katika kutokuamini kwao, watapandikizwa tena kwenye shina, kwa maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena kwenye hilo shina.
nave avene navighendelela kuleka kukwitika vivyalilila kange. ulwakuva uNguluve aliningufu sa kuvwavyala kange.
24 Ikiwa wewe ulikatwa kutoka kile ambacho kwa asili ni mzeituni mwitu na kupandikizwa kinyume cha asili kwenye mzeituni uliopandwa, si rahisi zaidi matawi haya ya asili kupandikizwa tena kwenye shina lake la mzeituni!
ulwakuva nave umue mukadumulivue kunji ndavule umseituni ghwa mulisoli ughwa muvutengulilo, pe kusyetuka na kuvyalua mumseituni ghuno nono, nakwekukila kyongo ava Yahudi, vano hwene matafi gha muvutengulilo ghano ndeponu ghivwalua kange nkate ja mseituni gwave vene?
25 Ndugu zangu, ili msije mkajidai kuwa wenye hekima kuliko mlivyo, nataka mfahamu siri hii: Ugumu umewapata Israeli kwa sehemu hadi idadi ya watu wa Mataifa watakaoingia itimie.
ulwakuva vanyalukolo nanilonda muleke kukagula sino sifisime neke kuuti namungavisaghe vakoola kwa kusagha kwinu jumue. ulufiso ulu kwe kuuti ulutalamu luhumile ku Isilaeli kuhanga kukamilika kwa iisi kyale kwisile.
26 Hivyo Israeli wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa: “Mkombozi atakuja kutoka Sayuni; ataondoa kutokumcha Mungu katika Yakobo.
lino avasilarli voni vilipokua ndavule jalembilue, “kuhuma ku saYuni ilikwisa uMpoki ivusia uvuhosi kuhuma ku Yakovo.
27 Hili ndilo agano langu nao nitakapoziondoa dhambi zao.”
nili liiva lipuling'ano palikimo navo, unsiki ghuno kyale nikusivusia isambi save”.
28 Kwa habari ya Injili, wao ni adui wa Mungu kwa ajili yenu, lakini kuhusu kule kuteuliwa kwao ni wapendwa, kwa ajili ya mababa zao wa zamani,
ku lubale lumo kujova isa livangili vwimila jinu. ku lubale ulunge kuhumilanila nu vutavusi vwa Nguluve, vaghanilue vwimila avaghogholo,
29 kwa maana akishawapa watu karama, Mungu haziondoi, wala wito wake.
ulwakuva ilitekelo nuvukemelo lwa Nguluve nalubadilika.
30 Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao,
ulwakuva muvwasio umue mulyamuhokile uNguluve, neke lino mwupile ulusungu vwimila uvuhosi kwave.
31 hivyo nao Waisraeli wamekuwa waasi ili kwamba wao nao sasa waweze kupata rehema kwa ajili ya rehema za Mungu kwenu.
ku sila jijijio lino avayahudi ava vahokile. amahumile ghake kwekuuti kuhumila mulusungu luno mulyapelilue umue ndeponu kange mukwupila ulusungu,
32 Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote. (eleēsē )
ulwakuva uNguluve avapinyile avaanhu vooni ku vuhosi neke awesie kukuvasaghila voni. (eleēsē )
33 Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri wa hekima na maarifa ya Mungu! Tazama jinsi ambavyo hukumu zake hazichunguziki, na ambavyo njia zake zisivyotafutikana!
ndavule silivuo mbaha uvomofu nu vukoola nu luhala lwa Nguluve! nasiloleka inyigho sake na kusila sa mwene nasiloleka!
34 “Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana? Au ni nani ambaye amekuwa mshauri wake?”
ulwakuva ghwe veni juno ikagula uvufumbue vwa Mutwa? nambe ghwe veni umuvungi ghwake?
35 “Au ni nani aliyempa chochote ili arudishiwe?”
neke ghweveni juno ampelile kimonga uNguluve, neke ahombue kange?
36 Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen. (aiōn )
ulwakuva kuhuma kwa mwene, na ku sila ja na kwamwene, ifinu fyoni kwefile. kwamwene kwevule uvwimike kusiala na kusila. Ameni. (aiōn )