< Warumi 10 >

1 Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maombi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli, kwamba waokolewe.
Ndongo, nia jha muoyo bhuangu ni liombi lya nene kwa K'yara ndo ndabha jha bhene, kwandabha jha wokovu.
2 Kwa maana ninaweza nikashuhudia wazi kwamba wao wana juhudi kubwa kwa ajili ya Mungu, lakini juhudi yao haina maarifa.
Kwa kujha nikabhashuhudila kujha bhajhe ni juhudi kwandabha jha K'yara, lakini sio kwandabha jha bhufahamu.
3 Kwa kuwa hawakuijua haki itokayo kwa Mungu, wakatafuta kuweka haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.
Kwa ndabha bhamanyilepi haki jha K'yara, na bhilondakujenga haki jha bhemne pasima. Bhajhelepi bhatiifu ku haki jha K'yara.
4 Kwa maana Kristo ni ukomo wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu aaminiye.
Kwa kujha Kristu ndo utimilifu bhwa sheria kwa ndabha jha haki jha khila munu jha ikiera.
5 Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”
Kwa kujha Musa ilemba kutokana ni sheria, “Munu ambajhe ibhomba haki jha sheria ibetakuishi kwa haki ejhe.”
6 Lakini ile haki itokanayo na imani husema hivi: “Usiseme moyoni mwako, ‘Ni nani atakayepanda mbinguni?’” (yaani ili kumleta Kristo chini)
Lakini haki ambajho jhihomela mu amani jhijobha naha, “Usijobhi mu muoyo bhwa jhobhi, 'Niani ibetakulapa kulota kumbinguni?' (Ejhe ndo kumbeka Kristu pasi).
7 “au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.) (Abyssos g12)
Na usijobhi, 'Niani ibetakuselela mulilenda?”' (Ejhe ndo, kundeta Kristu panani kuhoma kwa bhafu). (Abyssos g12)
8 Lakini andiko lasemaje? “Lile neno liko karibu nawe, liko kinywani mwako na moyoni mwako,” yaani, lile neno la imani tunalolihubiri.
Lakini ijobha kiki? “Lilobhi lijhele karibu ni bhebhe, mu kinywa kya jhobhi ni mu muoyo bhwa jhobhi ni mu muoyo bhwa jhobhi.” E'lu ndo lilobhi lya imani, ambalyo twitangasya.
9 Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana,” na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
Kwa kujha kama n'koromelu bhwa jhobhi ukan'kiri Yesu jha kujha ndo Bwana, ni kukiera mu muoyo bhwa jhobhi kujha K'yara amfufuili kuhoma kwa bhafu, wibetakuokoka.
10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu.
Kwa kujha kwa muoyo munu ikiera ni kukabha haki, ni kwa kinywa munu ikiri ni kukabha haki jha bhwokovu.
11 Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”
Kwa kujha liandiku lijobha, “Khila jha akamwamini ibetalepi kwikosya soni.”
12 Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.
Kwa kujha bhujhelepi bhutofauti kati jha Myunani. Kwa kujha Bwana jhola ndo Bwana ghwa bhoha, na ndo tajiri kwa bhoha bhabhakan'kuta.
13 Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”
Kwa kujha khila munu ambajhe akalikuta lihina lya Bwana ibetakuokolibhwa.
14 Lakini watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini yeye ambaye hawajamsikia? Tena watamsikiaje bila mtu kuwahubiria?
Kwa namna jheleku bhihotola kunkuta muene ambajhe bhakamwamini lepi? Ni kwa namna jheleku bhihotola kukiera kup'et'ela muene ambajhe bhampeliki lepi? Na bhibetakupeleka bhuli bila mahubiri?
15 Nao watahubirije wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, “Tazama jinsi ilivyo mizuri miguu yao wale wanaohubiri habari njema!”
Kwa namna jheleku bhihotola kuhubiri, isipokujha bhatumanu? - Kama kyajhilembibhu, “namna jheleku manofu magolo gha bhene gha bhala ambabho bhitangasya habari sya furaha sya mambo manofu!”
16 Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”
Lakini bhoha bhap'el'el'esi lepi injili. Kwa kujha Isaya ijobha, “Bwana, niani jhaaup'eliki ujumbe bhwa tete?”
17 Basi, imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.
Efyo imani jhihida kuhomelana ni kup'el'eka ni kup'el'eka kwa lilobhi lya Kristu.
18 Lakini nauliza: Je, wao hawakusikia? Naam, wamesikia, kwa maana: “Sauti yao imeenea duniani pote, nayo maneno yao yameenea hadi miisho ya ulimwengu.”
Lakini ijobha, “Je bhap'eliki lepi?” Ena, kwa hakika nesu. “Sauti jha bhene jhimali kuhoma kwibhala mu nchi jhioha ni malobhi gha bhene kulota miisho ghya dunia.”
19 Nami nauliza tena: Je, Waisraeli hawakuelewa? Kwanza, Mose asema, “Nitawafanya mwe na wivu kwa watu wale ambao si taifa. Nitawakasirisha kwa taifa lile lisilo na ufahamu.”
Zaidi jha ghoha, Nijobha, “Je Israeli amanyilepi?” Kwanza Musa ijobha, “Nibetakubhachokosya kubhapela bhwifu kwa bhanu ambabho taifa lepi. Kwa njela jha taifa lyalibelikujha ni bhuelewa, nibetakubhahobhelesya hadi mudadayi.”
20 Naye Isaya kwa ujasiri mwingi anasema, “Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta. Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakunitafuta.”
Ni Isaya jasiri nesu na ijobhi, “Napatikene nii bhala ambabho bhanilondilepi. Nabhonekene kwa bhala ambabho bhanilondeghe lepi.”
21 Lakini kuhusu Israeli anasema, “Mchana kutwa nimewanyooshea watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.”
Lakini kwa Israeli ijobha, “'Magono ghoha natabhaluisi mabhoko gha jhoni kwa bhabhabeli kutii ni kwa bhanu bhanonono.”

< Warumi 10 >