< Warumi 1 >
1 Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu,
A hira Bulus urere ukaba Asere vana umeme Yesu una kadura ka vana be Asere ma muru ma cukuno unu bezi tize ta Asere ahira an back de sa wa kaba me but ba.
2 Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,
Aye kuna tize ta ASere ti be runta ahira a vana uka dura ka meme anu nyitike ihori me kasi anu nyetike me ahira Asere aru.
3 yaani, Injili inayomhusu Mwanawe, yeye ambaye kwa uzao wa mwili alikuwa mzao wa Daudi,
Tige tize me ta suro ahira avana uka dura ka Asere uwatu una kara Dauda mani.
4 na ambaye kwa uwezo wa Roho wa utakatifu alidhihirishwa kuwa Mwana wa Mungu kwa ufufuo wake kutoka kwa wafu, yaani, Yesu Kristo, Bwana wetu.
Barki tize tu meme tini nilem nurunta alem ahira Ogomo Asere uboo anu sa wa ra ahira a meme wa kuna urunta.
5 Kwa kupitia kwake na kwa ajili ya Jina lake, tumepokea neema na utume ili kuwaita watu miongoni mwa watu wa mataifa yote, waje kwenye utii utokanao na imani.
Ahira aniza ni vana uwe Yesu wa zauka me nan Bulus wazin ka dura kawe me anyimo aniza nuwe me Ogomo Asere.
6 Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili mpate kuwa mali ya Yesu Kristo.
A nyimo une ugeme, atiti shi i cukuno ahana a Yesu.
7 Kwa wote walioko Rumi wapendwao na Mungu na kuitwa kuwa watakatifu: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.
Utakarda ugeme ushi uni sa vat ushi anyimo Roma, ahana Asere, an de sa wa zi lau, ca ti gomo ti cukuno ti shi usuro ahira a Asere aco nan Yesu.
8 Kwanza kabisa, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inatangazwa duniani kote.
In di tubi unu guna izin na puru arum barki imum sa Ugomo Asere ma tuburko vana umeme ma eh duru intize ta Asere une me.
9 Kwa maana Mungu ninayemtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Injili ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka
Ugomo Asere sa ma kabi tize tuwe me inzinu wuza ukatuma kageme ini riba lau, ubezizi uti mumum sa ti ribze apuru awe me ayen ina na katuma kawe me inringi shi nyani aye wa wuna.
10 katika maombi yangu siku zote, nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.
Vat uganiya sa inzin biringara ingu, na akini Ugomo Asere ma kunna iriba em barki katuma ka meme, bati ma nyam nikara nu wuza me.
11 Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe imara,
In nyara u ira u shi barki inya shi tire tize turunta sa ta wuna, sa ti di kinki shi nikara.
12 au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi.
Unyara um uni ti benki acece aru intize ta Asere barki kati tiperke me inimum sa ma buki duru ti wuzi ini.
13 Ndugu zangu, napenda mfahamu kwamba mara nyingi nimekusudia kuja kwenu (ingawa mpaka sasa nimezuiliwa), ili nipate kuvuna mavuno miongoni mwenu kama nilivyovuna miongoni mwa wengine ambao ni watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.
Ni henu ida nyaran shi irusi ba, agi in nyara in ezizi ahira a shime, daki ma kem ba u aye ba se aname. In nyara ani me barki in kem re iburi ahira ashi me nan ahira a Yahudawa.
14 Mimi ni mdeni kwa Wayunani na kwa wasio Wayunani, kwa wenye hekima na kwa wasio na hekima.
Me una matara mani vat anikira Yahudawa nan agenu, vat anu urusa nan ababana.
15 Ndiyo sababu ninatamani sana kuihubiri Injili kwenu pia ninyi mlioko Rumi.
Barki ani me, ahira am, ma nya nice num ibuki tize ta Asere cagi ahira ashime sa ira uRomawa.
16 Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Myunani pia.
I da kuna mu e mu buka ushi tize ta Asere ba, barki ahira ame ani inkezin tere timumu ti riri hira Asere, ya cukuno ka dure kani inbezizi shi nan ande sa wazowe a Yahudawa ba.
17 Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
Ahira ukuna utize turunta ine ini ya wuna inkenzi nikara.
18 Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu wa wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao,
A zinu kurzizo iriba ibur ya Sere usuro asesere ahira uzatu tarsa Asere, nan katuma ka bur ka nabu sa wada bowe kadure ba, barki katuma ka bur kawe me.
19 kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.
Barki imum sa adi rusi barki Asere ada hunzize inini ba ahira aweme, barki Asere ani abezizi we.
20 Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru. (aïdios )
Dati utuba une ti mumum ta Asere ada hira tini ba, ti gomo timeme tizatu mara uni wa hem in timumum sa ma bari arusan tini, barki anime anu wz gawe umuntuno. (aïdios )
21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.
Barki anime anu wa rusan na Asere wa da nonza me ba agi me Asere ani ba, wa da gusa me tanonzo ba, wa nyarama kari muriba mu zatu urusa mu wu maree.
22 Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga
Wazinu gusa we anu rusa wani, wa cukuno ababana
23 na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, na mfano wa ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.
. Wa gamirka urusa wa Asere uzatu wono wa cukuno kasi nipum nu nubo sama di wi, nan inyin, a inama ini ja, nan anu wungo aburu adizi.
24 Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati, hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa wao.
Barki ani not me Asere akurzo ana madini anu woza itimum ti bur, wa cara apum aweni acece awe me.
25 Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen. (aiōn )
Barki ani me wa curo urusa wa Asere nan uzato urusa, wa cara urus Asere ni wa ribi utarsa ane, wa gawe uwuza Asere ninonzo. (aiōn )
26 Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.
Barki ani me Asere anya we atari ta nu abur, wano wa cari apum aweni inti mumu ti zezen, wa gamari ane aweme wa cukuno ti mumum ti bur.
27 Vivyo hivyo wanaume pia wakiacha matumizi ya asili ya wanawake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wakafanyiana matendo ya aibu na wanaume wengine nao wakapata katika maisha yao adhabu iliyowastahili kwa ajili ya upotovu wao.
A hana ruma wa ceki umusa nan ane, wa kuri umusa nan ahana aruma, ane nan ahana aruma wa wuzi imum idira umu eh, wa hunguko ace aweme uceki una uhuma.
28 Nao kwa kuwa hawakuona umuhimu wa kudumisha ufahamu wa Mungu, yeye akawaachilia wafuate akili za upotovu, watende mambo yale yasiyostahili kutendwa.
Wa ga wa hem wa ruse Asere, Asere aceki we wa wuzi imumu ibur wa wuzi imumu imu eh.
29 Wakiwa wamejawa na udhalimu wa kila namna, uasherati, uovu, tamaa mbaya na hila. Wamejawa na husuda, uuaji, ugomvi, udanganyifu, hadaa na nia mbaya. Wao pia ni wasengenyaji,
We anu zatu uwuza imumu iriri, nan nu wuza imumu izezen, nan nutarsa imumu une, nan nanu uhuza anu, iwa imu cini ini.
30 wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila, wasiotii wazazi wao,
Anu wesi anu nan anu gasime Asere, anu uriza inama acece nan nanu yeze ace, nan nanu zatu tarsa anka aco.
31 wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.
Nan nanu zatu urusa, nan nanu zatu usu unihenu.
32 Ingawa wanafahamu sheria ya haki ya Mungu kwamba watu wanaofanya mambo kama hayo wanastahili mauti, si kwamba wanaendelea kutenda hayo tu, bali pia wanakubaliana na wale wanaoyatenda.
Anu wuza utimumu tiginome umaza une uwe me iwono, azo uwuza utimumu tigino tini cas ba, wa imbizo timaru tanu uwuza me.