< Ufunuo 1 >
1 Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo ni lazima yatukie hivi karibuni. Alijulisha mambo haya kwa kumtuma malaika wake kwa Yohana mtumishi wake,
revelation Jesus Christ which to give it/s/he the/this/who God to show the/this/who slave it/s/he which be necessary to be in/on/among speed and to signify to send through/because of the/this/who angel it/s/he the/this/who slave it/s/he John
2 ambaye anashuhudia kuhusu kila kitu alichokiona, yaani, Neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo.
which to testify the/this/who word the/this/who God and the/this/who testimony Jesus Christ just as/how much (and/both *k*) to perceive: see
3 Amebarikiwa yeye asomaye maneno ya unabii huu, na wamebarikiwa wale wanaoyasikia na kuyatia moyoni yale yaliyoandikwa humo, kwa sababu wakati umekaribia.
blessed the/this/who to read and the/this/who to hear the/this/who word the/this/who prophecy and to keep: observe the/this/who in/on/among it/s/he to write the/this/who for time/right time near
4 Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: Neema na amani iwe kwenu kutoka kwake aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, na kutoka kwa wale roho saba walioko mbele ya kiti chake cha enzi,
John the/this/who seven assembly the/this/who in/on/among the/this/who Asia grace you and peace away from (the/this/who *K(O)*) the/this/who to be and the/this/who to be and the/this/who to come/go and away from the/this/who seven spirit/breath: spirit which (to be *k*) before the/this/who throne it/s/he
5 na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni yule shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, mtawala wa wafalme wa dunia. Kwake yeye anayetupenda na ambaye ametuweka huru kutoka dhambi zetu kwa damu yake,
and away from Jesus Christ the/this/who witness the/this/who faithful the/this/who firstborn (out from *k*) the/this/who dead and the/this/who ruler the/this/who king the/this/who earth: planet the/this/who (to love *N(k)O*) me and (to loose *N(K)O*) me (out from *N(k)O*) the/this/who sin me in/on/among the/this/who blood it/s/he
6 akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn )
and to do/make: do me (kingdom *N(K)O*) (and *K*) priest the/this/who God and father it/s/he it/s/he the/this/who glory and the/this/who power toward the/this/who an age: eternity the/this/who an age: eternity amen (aiōn )
7 Tazama! Anakuja na mawingu, na kila jicho litamwona, hata wale waliomchoma; na makabila yote duniani yataomboleza kwa sababu yake. Naam, ndivyo itakavyokuwa! Amen.
look! to come/go with/after the/this/who cloud and to appear it/s/he all eye and who/which it/s/he to pierce and to cut/mourn upon/to/against it/s/he all the/this/who tribe the/this/who earth: planet yes amen
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”
I/we to be the/this/who Alpha and the/this/who Omega (beginning and goal/tax *K*) to say (the/this/who *k*) lord: God (the/this/who God *NO*) the/this/who to be and the/this/who to be and the/this/who to come/go the/this/who almighty
9 Mimi, Yohana, ndugu yenu ninayeshiriki pamoja nanyi mateso katika Yesu na katika ufalme na uvumilivu katika saburi, nilikuwa katika kisiwa cha Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu.
I/we John the/this/who (and *k*) brother you and (sharer *NK(o)*) in/on/among the/this/who pressure and (in/on/among the/this/who *k*) kingdom and perseverance (in/on/among *no*) Jesus (Christ *K*) to be in/on/among the/this/who island the/this/who to call: call Patmos through/because of the/this/who word the/this/who God and (through/because of *k*) the/this/who testimony Jesus (Christ *K*)
10 Katika siku ya Bwana, nilikuwa katika Roho na nikasikia sauti kubwa kama ya baragumu nyuma yangu
to be in/on/among spirit/breath: spirit in/on/among the/this/who the Lord’s day and to hear after me voice/sound: noise great as/when trumpet
11 ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba, yaani: Efeso, Smirna, Pergamo, Thiatira, Sardi, Filadelfia na Laodikia.”
to say (I/we *KO*) (to be the/this/who Alpha and the/this/who Omega the/this/who first and the/this/who last/least and *K*) which to see to write toward scroll and to send the/this/who seven assembly (the/this/who in/on/among Asia *K*) toward Ephesus and toward Smyrna and toward Pergamum and toward Thyatira and toward Sardis and toward Philadelphia and toward Laodicea
12 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,
and (there *O*) to turn to see the/this/who voice/sound: voice who/which (to speak *N(k)O*) with/after I/we and to turn to perceive: see seven lampstand golden
13 na katikati ya vile vinara vya taa, alikuwamo mtu kama Mwana wa Adamu, akiwa amevaa joho refu, na mkanda wa dhahabu ukiwa umefungwa kifuani mwake.
and in/on/among midst the/this/who (seven *KO*) lampstand like (son *N(k)O*) a human to put on floorlength and to gird to/with the/this/who breast belt/sash/girdle golden
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
the/this/who then head it/s/he and the/this/who hair white (as/when *N(k)O*) wool white as/when snow and the/this/who eye it/s/he as/when flame fire
15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba inayongʼaa, katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa kama mugurumo ya maji mengi.
and the/this/who foot it/s/he like bronze as/when in/on/among furnace/oven (to burn *N(k)O*) and the/this/who voice/sound: voice it/s/he as/when voice/sound: voice water much
16 Katika mkono wake wa kuume alishika nyota saba, na kinywani mwake ulitoka upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa kama jua likingʼaa kwa nguvu zake zote.
and to have/be in/on/among the/this/who right hand it/s/he star seven and out from the/this/who mouth it/s/he sword double-edged sharp/swift to depart and the/this/who face it/s/he as/when the/this/who sun to shine/appear in/on/among the/this/who power it/s/he
17 Nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama aliyekufa. Ndipo akauweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope, Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.
and when to perceive: see it/s/he to collapse to/with the/this/who foot it/s/he as/when dead and (to place *N(k)O*) the/this/who right it/s/he (hand *K*) upon/to/against I/we to say (me *k*) not to fear I/we to be the/this/who first and the/this/who last/least
18 Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn , Hadēs )
and the/this/who to live and to be dead and look! to live to be toward the/this/who an age: eternity the/this/who an age: eternity (amen *K*) and to have/be the/this/who key the/this/who death and the/this/who hell: Hades (aiōn , Hadēs )
19 “Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
to write (therefore/then *NO*) which to perceive: see and which to be and which to ensue (to be *N(k)O*) with/after this/he/she/it
20 Kuhusu siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume na vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni hii: Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, navyo vile vinara saba ni hayo makanisa saba.
the/this/who mystery the/this/who seven star (which *N(k)O*) to perceive: see upon/to/against the/this/who right me and the/this/who seven lampstand the/this/who golden the/this/who seven star angel the/this/who seven assembly to be and the/this/who lampstand (the/this/who *N(k)O*) (to perceive: see *K*) seven seven assembly to be