< Ufunuo 1 >

1 Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu ili awaonyeshe watumishi wake mambo ambayo ni lazima yatukie hivi karibuni. Alijulisha mambo haya kwa kumtuma malaika wake kwa Yohana mtumishi wake,
Hina cauk cun Jesuh Khritaw naw malama kya law khai he a mdanak yuknaka kyaki. Pamhnam naw säng säng se kya law khaia mdanak cun a m'ya hea veia a jah mhmuh vaia Johan üng a peta kyaki. Khritaw naw hina mawngma he cun a m'ya Johana veia a khankhawngsä tüi law lü mdan se;
2 ambaye anashuhudia kuhusu kila kitu alichokiona, yaani, Neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo.
Johan naw a hmuh naküt cun a pyena kyaki. Hin cun Pamhnama ngthu la Jesuh Khritawa ngthu kcang, Jesuh Khritaw naw a mdan a yuk bea kyaki.
3 Amebarikiwa yeye asomaye maneno ya unabii huu, na wamebarikiwa wale wanaoyasikia na kuyatia moyoni yale yaliyoandikwa humo, kwa sababu wakati umekaribia.
Ahin avana pha lawnak vai akcün ng’et lawkia kyase, hina cauk khehki ta a josen ve. Ahina malam mdanak cauk ngai lü a k’uma ng’yuki he jah läklamki he ta ami jo sen ve.
4 Yohana, kwa makanisa saba yaliyoko Asia: Neema na amani iwe kwenu kutoka kwake aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, na kutoka kwa wale roho saba walioko mbele ya kiti chake cha enzi,
Asah khawa awmkia Sangcim khyüh hea veia kei Johan naw ka ning jah yuk law ta: ajana awm pängki, atuh awm k’umki la tuha awm law khaia Pamhnama vei üngka la bawingawhnaka ma awmkia ngmüimkhya khyüha vei üngka,
5 na kutoka kwa Yesu Kristo ambaye ni yule shahidi mwaminifu, mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, mtawala wa wafalme wa dunia. Kwake yeye anayetupenda na ambaye ametuweka huru kutoka dhambi zetu kwa damu yake,
thihnak üngka naw tho law be kcük lü, khawmdek sangpuxang jah uki, sitikia saksi Jesuh Khritaw üngka dim’yenak la bäkhäknak cen nami khana awm se. Jah jawng'eng na lü a thihnak am mi katnak he üngka naw jah lät saki.
6 akatufanya sisi kuwa ufalme na makuhani, tumtumikie Mungu wake ambaye ni Baba yake. Utukufu na uwezo ni vyake milele na milele! Amen. (aiōn g165)
A Pamhnam la a Pa mi khüih khaia ktaiyü mjüa jah pyangkia Jesuh Khritawa veia hlüngtainak la johit angläta awm se! Amen. (aiōn g165)
7 Tazama! Anakuja na mawingu, na kila jicho litamwona, hata wale waliomchoma; na makabila yote duniani yataomboleza kwa sababu yake. Naam, ndivyo itakavyokuwa! Amen.
Teng u, Khawngmei üng kyum law khai! Khyang naküt naw hmu khai he, sunki he ye ye naw pi hmu khai he. Khawmdek khana khyang naküt kyap law khai he. Acukba kya law khai.
8 “Mimi ni Alfa na Omega,” asema Bwana Mungu, “aliyeko, aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi.”
Ahmäi khyaih lü awm pängki, awm k’umki la awm law khaia Bawipa Pamhnam naw, “Kei cun akcük la anghnu säiha ka kyaki” a ti.
9 Mimi, Yohana, ndugu yenu ninayeshiriki pamoja nanyi mateso katika Yesu na katika ufalme na uvumilivu katika saburi, nilikuwa katika kisiwa cha Patmo kwa ajili ya neno la Mungu na ushuhuda wa Yesu.
Kei cun nami bena Johana ka kyaki ni. Amäta Khaw ham na khaia khyang hea khana pha law khaia khuikhanak cun mlung saünak am ka jah khamei püiki. Jesuha hnukläka ka kyaki. Jesuha mdan Pamhnama Ngthu la Ngthungtak ka sanga phäha Patmos k'kawnga ami na tak.
10 Katika siku ya Bwana, nilikuwa katika Roho na nikasikia sauti kubwa kama ya baragumu nyuma yangu
Bawipa khawmhmüp üng Ngmüimkhya am awm ni se ka hnua kpuna ng’yüna mäiha angsanga ngthuheikia kthaih ka ngjak.
11 ikisema, “Andika kwenye kitabu haya yote unayoyaona, kisha uyapeleke kwa makanisa saba, yaani: Efeso, Smirna, Pergamo, Thiatira, Sardi, Filadelfia na Laodikia.”
Acun naw, “Na hmuh he cen cauk üng jah yu lü mlüh khyüh üng awmkia Sangcim he Ephet mlüh, Samunah mlüh, Perakamun mlüh, Thutirah mlüh, Sadih mlüh, Philadephih mlüh la Lodikih mlüh üng jah kbi kawpi” a ti.
12 Ndipo nikageuka ili nione ni sauti ya nani iliyokuwa ikisema nami. Nami nilipogeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,
Na ngthuheipüikia kthai cun ka hmu khaia ka mang hüki naw xüi meiim taknak khyüh ka hmuh;
13 na katikati ya vile vinara vya taa, alikuwamo mtu kama Mwana wa Adamu, akiwa amevaa joho refu, na mkanda wa dhahabu ukiwa umefungwa kifuani mwake.
meiim khyüha ksunga nghngicim khyang am tängki mat ka hmuh. Acun naw a khaw cäpa saüki jihnu sui lü a mkyang üng xüi ksawmyüi vawp se ka hmuh.
14 Kichwa chake na nywele zake zilikuwa nyeupe kama sufu, nyeupe kama theluji, nayo macho yake yalikuwa kama mwali wa moto.
A lusam cun toa mu la kdama bawka mäiha bawki, a mik he cun meikdäia mäiha caki;
15 Nyayo zake zilikuwa kama shaba inayongʼaa, katika tanuru ya moto, nayo sauti yake ilikuwa kama mugurumo ya maji mengi.
a khaw cun mei üng msawia mthia mäiha caki. A kthai pi tuiksawia nghmüma mäiha nghmümki.
16 Katika mkono wake wa kuume alishika nyota saba, na kinywani mwake ulitoka upanga mkali wenye makali kuwili. Uso wake ulikuwa kama jua likingʼaa kwa nguvu zake zote.
A kut kpat da aisi khyüh kpawmki. A mka üng hnuma kxata mäih mthikcim lut lawki. A hmai pi khawnghngi nglinga mäiha caki.
17 Nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama aliyekufa. Ndipo akauweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope, Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.
Acun ka hmuh üng akthia mäiha a khaw kunga ka kyuki. Acunüng ani naw a kut kpat lam ka khana mtaih lü, “Ä kyüha; kei akcük säih la anghnu säiha ka kyaki ni.
18 Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kei akxünga ka kyaki ni! Ka thi pängki acunsepi angläta ka xüngki. Thihnak la thihnak khaw jah nängnaka ana ka taki. (aiōn g165, Hadēs g86)
19 “Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
“Acunakyase na hmuh päng he la awm k’umki he la tuha awm law khai hea ngthu cen jah yua;
20 Kuhusu siri ya zile nyota saba ulizoziona katika mkono wangu wa kuume na vile vinara saba vya taa vya dhahabu ni hii: Zile nyota saba ni malaika wa yale makanisa saba, navyo vile vinara saba ni hayo makanisa saba.
ka kut kpat lam üng aisi khyüh na jah hmuh he la xüi meiim taknak khyüh hea suilam cun hinkba kyaki. Meiim khyüh he cun sangcim khyüha kya u lü, aisi khyüh he cun sangcim khyüh mceimcangkia khankhawngsä khyüha kyaki he ni” a ti.

< Ufunuo 1 >