< Ufunuo 9 >

1 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
Malaika jwa nng'ano gwagombile lipenga lyakwe, na gunilubhweni lutondwa lukulungwa lwagwile koposhela kumaunde mpaka ku litaka. Lwene lutondwalo lushinkupegwa upunguo gwa ku Jeanamu. (Abyssos g12)
2 Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
Akaunukuleje ku Jeanamu, lyoi gulikwelile kukoposhela mwenemo, mbuti lyoi liikoposhela nnituto lyalikulungwa kaje. Kwa ligongo lya lyoi lyakoposhelaga mwenemo lyubha na liunde nibha lubhindu. (Abyssos g12)
3 Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani.
Nnyoimo gugakoposhele maije, gugapite kunani shilambo showe, na gene maije gala gashinkupegwa mashili mbuti ga ibhalabhala ya pa shilambo pano.
4 Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.
Gubhalugulilwenje bhanaangabhanyanje manyai eu mikongo eu mitipo ja pa shilambo, ikabhe bhandu bhowe bhangalinginji shilangulo shoshowe sha a Nnungu pa shenyi.
5 Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge.
Gubhalugulilwenje bhaapotekanje kwa miei nng'ano, ikabheje bhanaabhulaganje. Kupoteka kwakwe pukwaliji mbuti mundu alumilwe na shibhalabhala.
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Gene mobhago bhandunji bhaapinga kushiloleyanga shiwo ikabheje bhakashibhonanga, bhaapinga lokolilanga kuwa, ikabheje shiwo shiipinga kwaabhutukanga.
7 Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Gene maije gala pugaaliji mbuti palashi, ibhishilwe ukoto ijende ku ngondo. Ku mitwe jabhonji bhashinkukolanga shindu mbuti shilemba sha shaabhu, na ku meyo kwabhonji pukwaaliji mbuti kuka mundu.
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
Bhashinkukolanga umbo ya manyololo mbuti ya bhanabhakongwe, na meno gabhonji pugaliji mbuti ga imba.
9 Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
Bhashinkuwalanga shindu sha mbuti itale kuibhila pa ntima, na mapapiko gabhonji gatendaga ona mbuti nnindimo gwa mutuka yaigwinji ya palashi ibhutushila ku ngondo.
10 Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao.
Bhashinkukolanga mishila ja mibha ja lumila bhandu mbuti shibhalabhala. Mashili ga kwaapotekanga bhandu miei jowe nng'ano kugakoposhelaga mmishila jabhonjimo.
11 Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
Pubhalinginji naka mpalume, malaika koposhela ku Jeanamu, mpalume jwabhonji, jwenejo kwa Shiebhulania pashemwaga Abhadoni, na Shiyunani pashemwaga Apolioni. (Abyssos g12)
12 Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.
Limbukute lya ntai lipitile, gaigele mambukute gabhili na ganakwiya.
13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.
Malaika jwa shita gwagombile lipenga lyakwe, numbe nne gumbilikene lilobhe lilikoposhela nndumba nsheshe ja shitala sha shaabhu shaaliji mmujo ja a Nnungu.
14 Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.”
Lyene lilobhelyo gulinnugulile jwene malaika jwa shita akwete lipenga jula, “Gwaugulilanje ashimalaika nsheshe bhala bhatabhilwenje nnushi lukulungwa lushemwa Pulateshi.”
15 Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa.
Bhai bhene ashimalaika nsheshe bhala gubhaugulilwenje bhali bhabhishilwenje ukoto kwa gene malangago na lyene lyubhalyo na gwene mweigo na shene shakasho, bhandu bhowe nngabhanyaga patatu, lipungu limo bhaabhulaganje.
16 Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.
Manjola bhakwelilenje palashi pubhalinginji milioni mmia pa bhili.
17 Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
Na nkulola kwangu, guniibhweni palashi na bhakwelilenje palashi. Bhakwelilenje palashi bhala bhashinkukolanga ngao ya itale ya langi janashe mbuti moto na ina ya langi ja buluu janapi na ja lindani. Mitwe jabhonji bhene ashipalashi bhala pujaaliji mbuti ja imba. Moto na lyoi na bhonga shilikoposhela nkang'wa yabhonji.
18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
Bhandu bhowe nngabhanyaga patatu, lipungu limo gubhabhulegwenje kwa ligongo lya mambukute gatatu, yani, moto, lyoi, na bhonga, yakoposhelaga nkang'wa ja ashipalashi.
19 Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.
Mashili ga ashipalashi mugaaliji nkang'wa yabhonji na mmishila jabhonji. Mishila jabhonji pujaaliji mbuti mitwe ja lijoka, na kwa jene mishilajo, bhatendaga ulayanga bhandu.
20 Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
Ikabheje, bhandu bhalepekenje gwangali kubhulagwa bhashinkukananga kuipeta na leka kuntindibhalila Lishetani na indu ibhaeleyenje kwa makono gabhonji yani, yanamu ya shaabhu, na ya ela, na ya shitale, na ya maganga, na ya mikongo, ikaakombola kulola, wala kupilikana, wala kujimajima.
21 Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.
Bhangaipetanga nileka itendi yabhonji ya bhulaga, na ya uabhi, na ya labhalabha na wala ya gwii gwabhonji.

< Ufunuo 9 >