< Ufunuo 9 >

1 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos g12)
Na lipufan se aklimekosr el ukya ukuk natul uh. Ac nga liye itu se putatla nu faclu, ac itukyang nu sel key nu ke luf loallana pangpang abyss. (Abyssos g12)
2 Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos g12)
Ac itu sac ikasla mutun luf sac, na kulasr fosryak oana kulasr ke sie funyu na lulap; ac kalmen faht ac yen engyeng uh lohsrla ke kulasr ma tuku liki luf sac. (Abyssos g12)
3 Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani.
Ac locust uh tuku nu faclu liki kulasr inge, ac itukyang nu selos ku oana ku lun scorpion.
4 Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.
Fwackyang nu selos elos in tia kunausla mah, ku sak, ku kutena ma folfol finsroa; a mwet na su wangin mwe akul ke sil lun God fin motonsrolos pa elos ku in kunausla.
5 Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge.
Tia lela nu sin locust inge in uniya mwet inge, a tuh elos in akkeokyalos ke malem limekosr. Waiok ke mwe akkeok inge oana waiok ke pacl se scorpion uh ngalisya mwet uh.
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
Ac ke lusen malem limekosr, mwet elos ac suk elos in misa, tuh elos ac tia ku. Elos ac kena in misa, tuh misa ac kaingla lukelos.
7 Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
Locust inge oana luman horse ma akola nu ke mweun; oasr ma oan fin sifalos oana luman tefuro gold, ac mutalos oana mutun mwet.
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
Ac aunsifalos oana aunsifen mutan, wihselos oana wihsen lion.
9 Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
Iniwalos loeyukla ke ma su oana mwe loeyuk osra; ac pusren posohksok lalos oana kusen horse puspis ke elos amakin chariot ac kasrusr nu ke mweun.
10 Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao.
Oasr pula kaclos oana pulun scorpion uh, ac mwe fakfuk ke pulalos pa elos sang akwaiokye mwet uh ke malem limekosr.
11 Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos g12)
Oasr tokosra se leum faclos, pa lipufan se su karingin luf lun abyss. Inel in kas Hebrew pa Abaddon, ac inel in kas Greek pa Apollyon (kalmac pa “Mwet Kunausla”). (Abyssos g12)
12 Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.
Mwe aksangeng se meet uh safla. Tukun ma se inge oasr pac luo fwilin keok ac sifil tuku.
13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.
Na lipufan se akonkosr el ukya ukuk natul uh, ac nga lohng sie pusra tuku liki sruwasrik akosr ke loang in kisa gold ma oan ye mutun God.
14 Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.”
Pusra sac fahk nu sin lipufan se akonkosr, “Tulala lipufan akosr su kapiri sisken Infacl lulap Euphrates!”
15 Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa.
Na lipufan akosr ah tuleyukla. Elos nuna akola nu ke ao se inge ke len se inge ke malem se inge, ac ke yac se na inge, elos in uniya sie tafu tolu sin mwet nukewa.
16 Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.
Fwackme nu sik pisen mwet mweun kasrusr fin horse uh, su oasr ke mwet luofoko million.
17 Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
Ac in aruruma luk ah, nga liye horse uh ac elos su muta fac. Mwe loeyuk iniwalos srusra oana e, ac folfol oana sapphire, ac rangrang oana sulphur. Sifen horse uh oana sifen lion uh. E, kulasr, ac sulphur tuku liki oalulos.
18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
Mwe lokoalok tolu inge: e, kulasr, ac sulphur ma tuku liki oalin horse uh, uniya sie tafu tolu sin mwet nukewa.
19 Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.
Ku lun horse inge oan in oalulos ac oayapa ke pulalos. Pulalos oana serpent ma oasr sifa. Horse uh elos orekmakin pulalos in akkeokye mwet uh.
20 Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
Ac mwet nukewa lula, su tia misa ke mwe lokoalok inge, elos tia forla liki ma elos sifacna oru ke paolos. Elos tiana tui in alu nu sin demon, ku ma sruloala orek ke gold, silver, bronze, eot, ku sak — ma inge tia ku in liye, ku lohng, ku fahsr.
21 Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.
Elos tia pac auliyak liki akmas lalos, susfa lalos, kosro lalos, ku pisrapasr lalos.

< Ufunuo 9 >