< Ufunuo 9 >
1 Malaika wa tano akaipiga tarumbeta yake, nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka toka angani hadi ardhini. Nyota hiyo ilipewa ufunguo wa lile Shimo. (Abyssos )
and the/this/who fifth angel to sound a trumpet and to perceive: see star out from the/this/who heaven to collapse toward the/this/who earth: planet and to give it/s/he the/this/who key the/this/who well/abyss the/this/who abyss (Abyssos )
2 Alipolifungua hilo Shimo, moshi ukapanda kutoka humo kama moshi wa tanuru kubwa sana. Jua na anga vikatiwa giza na ule moshi uliotoka katika hilo Shimo. (Abyssos )
and to open the/this/who well/abyss the/this/who abyss and to ascend smoke out from the/this/who well/abyss as/when smoke furnace/oven (great *NK(o)*) and (to darken *N(k)O*) the/this/who sun and the/this/who air out from the/this/who smoke the/this/who well/abyss (Abyssos )
3 Ndipo katika ule moshi wakatoka nzige wakaenda juu ya nchi, nao wakapewa nguvu kama zile za nge wa duniani.
and out from the/this/who smoke to go out locust toward the/this/who earth: planet and to give it/s/he authority as/when to have/be authority the/this/who scorpion the/this/who earth: planet
4 Wakaambiwa wasidhuru nyasi ya nchi, wala mmea wala mti wowote, bali wawadhuru tu wale watu ambao hawana muhuri wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.
and to say it/s/he in order that/to not (to harm *N(k)O*) the/this/who grass the/this/who earth: planet nor all green nor all tree if: not not the/this/who a human (alone *k*) who/which no to have/be the/this/who seal the/this/who God upon/to/against the/this/who forehead (it/s/he *k*)
5 Wakaruhusiwa kuwatesa kwa muda wa miezi mitano, lakini wasiwaue. Uchungu wa kuuma kwao ulikuwa kama ule wa mtu aumwapo na nge.
and to give (it/s/he *N(k)O*) in order that/to not to kill it/s/he but in order that/to (to torture: torture *N(k)O*) month five and the/this/who torment it/s/he as/when torment scorpion when(-ever) to strike a human
6 Katika siku hizo watu watatafuta kifo lakini hawatakiona, watatamani kufa, lakini kifo kitawakimbia.
and in/on/among the/this/who day that to seek the/this/who a human the/this/who death and no not to find/meet it/s/he and to long for to die and (to flee *N(k)O*) the/this/who death away from it/s/he
7 Wale nzige walikuwa na umbo kama la farasi waliotayarishwa kwa ajili ya vita. Kwenye vichwa vyao kulikuwa na kitu kama taji za dhahabu na nyuso zao zilikuwa kama za binadamu.
and the/this/who likeness the/this/who locust like horse to make ready toward war and upon/to/against the/this/who head it/s/he as/when crown like (gold *NK(o)*) and the/this/who face it/s/he as/when face a human
8 Walikuwa na nywele kama za wanawake, na meno yao yalikuwa kama ya simba.
and to have/be hair as/when hair woman and the/this/who tooth it/s/he as/when lion to be
9 Walikuwa na dirii kama za chuma, na sauti za mabawa yao zilikuwa kama ngurumo za farasi wengi na magari mengi yakikimbilia vitani.
and to have/be breastplate as/when breastplate iron and the/this/who voice/sound: noise the/this/who wing it/s/he as/when voice/sound: noise chariot horse much to run toward war
10 Walikuwa na mikia yenye miiba ya kuumia kama nge. Nguvu yao ya kutesa watu kwa huo muda wa miezi mitano ilikuwa katika hiyo mikia yao.
and to have/be tail like scorpion and sting (to be *k*) and in/on/among the/this/who tail it/s/he (and *k*) the/this/who (authority *NK(o)*) (to have/be *O*) (it/s/he *NK(O)*) to harm the/this/who a human month five
11 Walikuwa na mfalme wao, ambaye ni malaika wa lile Shimo, ambaye jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani ni Apolioni. (Abyssos )
(and *k*) (to have/be *NK(o)*) upon/to/against it/s/he king the/this/who angel the/this/who abyss name it/s/he Hebrew Abaddon (and *NK(o)*) in/on/among the/this/who Greek name to have/be Apollyon (Abyssos )
12 Ole ya kwanza imepita, bado nyingine mbili zinakuja.
the/this/who woe! the/this/who one to go away look! (to come/go *N(k)O*) still two woe! with/after this/he/she/it
13 Malaika wa sita akaipiga tarumbeta yake, nami nikasikia sauti ikitoka katika zile pembe za madhabahu ya dhahabu iliyoko mbele za Mungu.
and the/this/who sixth angel to sound a trumpet and to hear voice/sound: voice one out from the/this/who four horn the/this/who altar the/this/who golden the/this/who before the/this/who God
14 Ile sauti ikamwambia yule malaika wa sita mwenye tarumbeta, “Wafungulie wale malaika wanne waliofungwa kwenye ule mto mkubwa Frati.”
(to say *N(k)O*) the/this/who sixth angel (the/this/who to have/be *N(k)O*) the/this/who trumpet to loose the/this/who four angel the/this/who to bind upon/to/against the/this/who river the/this/who great Euphrates
15 Basi wale malaika wanne, waliokuwa wamewekwa tayari kwa ajili ya saa hiyo, na siku hiyo, na mwezi huo, na mwaka huo ili wawaue theluthi ya wanadamu wakafunguliwa.
and to loose the/this/who four angel the/this/who to make ready toward the/this/who hour and (toward the/this/who *o*) day and month and year in order that/to to kill the/this/who third the/this/who a human
16 Idadi ya majeshi wapanda farasi ilikuwa 200,000,000. Nilisikia idadi yao.
and the/this/who number the/this/who troops the/this/who (horseman *NK(o)*) (twice myriad *N(k)O*) myriad (and *k*) to hear the/this/who number it/s/he
17 Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapanda farasi katika maono yangu: Wapanda farasi walivaa dirii vifuani zenye rangi nyekundu sana kama ya moto na yakuti samawi na kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vichwa vya simba, na moto, moshi na kiberiti vilitoka vinywani mwao.
and thus(-ly) to perceive: see the/this/who horse in/on/among the/this/who appearance/vision and the/this/who to sit upon/to/against it/s/he to have/be breastplate fiery and dark blue and sulphurous and the/this/who head the/this/who horse as/when head lion and out from the/this/who mouth it/s/he to depart fire and smoke and sulfur
18 Theluthi ya wanadamu wakauawa kwa mapigo hayo matatu, yaani, huo moto, moshi na kiberiti, vilivyotoka kwenye vinywa vya hao farasi.
(away from *N(k)O*) the/this/who Three (plague/blow/wound *NO*) this/he/she/it to kill the/this/who third the/this/who a human (out from *NK(o)*) the/this/who fire and (out from *k*) the/this/who smoke and (out from *k*) the/this/who sulfur the/this/who to depart out from the/this/who mouth it/s/he
19 Nguvu za hao farasi zilikuwa katika vinywa vyao na kwenye mikia yao, kwa sababu mikia yao ilikuwa kama nyoka, yenye vichwa ambayo waliitumia kudhuru.
(the/this/who *N(k)O*) for (authority the/this/who *N(k)O*) (horse *NO*) in/on/among the/this/who mouth it/s/he (to be *N(k)O*) and in/on/among the/this/who tail it/s/he the/this/who for tail it/s/he like (snake *NK(o)*) to have/be head and in/on/among it/s/he to harm
20 Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
and the/this/who remaining the/this/who a human which no to kill in/on/among the/this/who plague/blow/wound this/he/she/it (nor *N(k)(o)*) to repent out from the/this/who work the/this/who hand it/s/he in order that/to not (to worship *N(k)O*) the/this/who demon and the/this/who idol the/this/who golden and the/this/who silver and the/this/who bronze and the/this/who stone and the/this/who wooden which neither to see (be able *N(k)O*) neither to hear neither to walk
21 Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.
and no to repent out from the/this/who murder it/s/he neither out from the/this/who (sorcerer *N(k)O*) it/s/he neither out from the/this/who sexual sin it/s/he neither out from the/this/who theft it/s/he