< Ufunuo 7 >
1 Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote.
Yesisilile isi nikavaghile avanyamola vane vimile mu nguto ine isa iisi, vasighile imhepo ine isa isi ni ngufu ulwa kuuti jileka kuva mhepo jino jigugula mu isi, pa kyanya pa nyanja nambe lipiki lilino lisagha.
2 Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema,
Nikam'bona umunyamola ujunge ikuisa kuhuma kuvuhuma, juno alyale numuhuri ghwa Nguluve juno mwumi. Akalila nilisio ilivaha kuvanyamolavane vano vakapelilue uvutavule uvwa kunangania iisi ni nyanja:
3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
“Mulajilemasiagha iisi, inyanja, nambe amapiki kufika tuliva tuvikile umuhuri mu vweeni vwa maatu gha vavomba mbombo va Nguluve ghwitu.”
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.
Nikapulika ikighelelo kya vano vakanyilue umuhuri: imbilima ikilundo kimo ni fijigho fine, vanovalyakanyilue umuhuri kuhuma mufisina fyoni ifya vaanhu mu israel:
5 Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri, kutoka kabila la Reubeni 12,000, kutoka kabila la Gadi 12,000,
Imbilima kijigho nasivili kuhuma mukisina kya Yuda, imbilima kijigho ni sivili valyakanyilue kuhuma mukisina kya Rubeti, imbilima kijigho ni sivili valyakanyilue kuhuma mu kisina ikya Gadi.
6 kutoka kabila la Asheri 12,000, kutoka kabila la Naftali 12,000, kutoka kabila la Manase 12,000,
Imbilimakijigho na sivili kuhuma mukisina kya Asheri, imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Naftali, imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Manase.
7 kutoka kabila la Simeoni 12,000, kutoka kabila la Lawi 12,000, kutoka kabila la Isakari 12,000,
Imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Simioni, imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Lawi, imbilima kijigho na sivili kuhuma mhukisina kya Isakari,
8 kutoka kabila la Zabuloni 12,000, kutoka kabila la Yosefu 12,000, na kutoka kabila la Benyamini 12,000.
imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Zebuloni, imbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Yusufu, ni mbilima kijigho na sivili kuhuma mukisina kya Benyamini valyakanyilue umuhuri.
9 Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.
Yesikilile isio pe nikalola, kwelilyale ilipugha ilikome lino nakwelile nambe muunhu juno anoghile kukulivalila - kuhuma mufipelela fyoni, kisina, kikolo, ni njovele - vimile pa vulongolo pa kitengo ikya vutua pavulongolo pa mwanang'olo. Valyafwalile isopeka imbalafu valyale na matafi gha makindu mumavoko ghavanave,
10 Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema: “Wokovu una Mungu wetu, yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo!”
valyale vikemela nilisio ilivaha kyongo: “Uvupoki vuli kwa Nguluve juno ikalile pa kitengo kya vutua, na kwa mwanang'olo!”
11 Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu,
Avanyamola vooni valyimile kusungutila ikitengo kya vutua nakusyungutola avaghogholo vala palikimo navanyavwumi vane vakaghundama pasi pa iisi nakuvika uvweni vuvanave pakyanya pa iisi pavulongolo pa kitengo ikya vutua na pikufunya kwa Nguluve,
12 wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
vakatisagha, “Ameni! Lughinio, vwimike, uvwakyag'haani, uluhongesio, vwoghopua, uvuvaghile nhi ngufu fivisaghe kwa Nguluve ghwitu kisila na kusila! Ameni (aiōn )
13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”
Kange jumo ughwa vala avaghogholo akamosia, “Avavevani vano vafwalile isopeka imbalafu, kange vahumile kughi?
14 Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.” Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa.
Nikambuula, “Ghwe m'baha uve, ukagule juve pe akambula, “Avavevano vahumile munalamu imbaha. Vasukile isopeka saave nakuvalasia ni danda ja mwanang'olo.
15 Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.
Ulwakuva lino, valipavulongolo pa kitengo kya vutuaikya Nguluve, vifikufunya kwa mwene pakilo na pamwisimunyumba imbaha inyimike ija kufunyila ja mwene. Umwene juno ikalile pakyanya pa kitengo kya vutua itiima ihema ja mwene.
16 Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.
Navilikujagha injala kange nambe kyumilua kange, nilijuva nalikuvakasagha, nambe ilifuke ilyakunyanja.
17 Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
Ulwakuva umwanang'olo juno alipakate na kate pa kitengo ikya vutua iva ghwe n'dimi ghwa vanave, ikuvalongosiagha mu ndwivuko isa malenga agha vwumi, naju Nguluve ipyasilagha amasosi mu maso gha vanave.