< Ufunuo 7 >
1 Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote.
Depois, vi nos quatro cantos da terra quatro anjos em pé. Eles seguravam os quatro ventos da terra, para evitar que soprassem sobre ela, nem sobre o mar, nem sobre qualquer árvore.
2 Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema,
Eu vi outro anjo surgir do leste, com o selo do Deus vivo. Ele gritou em voz bem alta para os quatro anjos que receberam o poder de destruir a terra e o mar:
3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
“Não danifiquem a terra, nem o mar, nem as árvores, até que tenhamos marcado com um selo as testas dos seguidores fiéis de Deus!”
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.
E me disseram o número dos que foram marcados com o selo: cento e quarenta e quatro mil. Aqueles que foram marcados vieram de cada uma das tribos dos filhos de Israel, sendo doze mil de cada uma delas:
5 Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri, kutoka kabila la Reubeni 12,000, kutoka kabila la Gadi 12,000,
de Judá, Rúben, Gade,
6 kutoka kabila la Asheri 12,000, kutoka kabila la Naftali 12,000, kutoka kabila la Manase 12,000,
Aser, Naftali, Manassés,
7 kutoka kabila la Simeoni 12,000, kutoka kabila la Lawi 12,000, kutoka kabila la Isakari 12,000,
Simeão, Levi, Issacar,
8 kutoka kabila la Zabuloni 12,000, kutoka kabila la Yosefu 12,000, na kutoka kabila la Benyamini 12,000.
Zebulom, José e de Benjamim.
9 Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.
Depois disso, olhei e vi uma grande multidão que ninguém poderia contar, composta de pessoas de todas as nações, tribos, de todos os povos e idiomas. Eles estavam parados em frente ao trono e diante do Cordeiro, vestidos com mantos brancos e carregavam folhas de palmeira nas mãos.
10 Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema: “Wokovu una Mungu wetu, yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo!”
Eles gritaram com voz bem forte: “A salvação vem do nosso Deus, que se senta no trono, e do Cordeiro.”
11 Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu,
Todos os anjos que estavam ao redor do trono, os anciãos e os quatro seres viventes se prostraram com os seus rostos virados para o chão diante do trono e adoraram a Deus.
12 wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
Eles disseram: “Amém! A Deus pertencem para todo o sempre o louvor, a glória, a sabedoria, a gratidão, a honra, o poder e a força. Amém!” (aiōn )
13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”
Um dos anciãos me perguntou: “Quem são esses que estão vestidos com mantos brancos e de onde eles vieram?”
14 Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.” Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa.
Eu respondi: “Meu Senhor, você já sabe a resposta.” Ele me disse: “Esses são os que sofreram a grande perseguição. Eles lavaram os seus mantos com o sangue do Cordeiro, para que ficassem brancos.
15 Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.
É por isso que podem ficar em pé diante do trono de Deus e lhe servir dia e noite em seu Templo. Aquele que está sentado no trono irá protegê-los com a sua presença.
16 Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.
Eles nunca sentirão fome novamente, nem sede; o sol nunca os castigará, assim como não sofrerão com o calor escaldante,
17 Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
pois o Cordeiro, que está no centro do trono, será o pastor deles e os guiará até as fontes da água da vida, e Deus enxugará todas as lágrimas dos seus olhos.”