< Ufunuo 7 >
1 Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote.
Hathnukkhu kalvantami pali touh ni talai takin pali touh koe a kangdue awh teh, talai koehai thoseh, thingkung pueng koehai thoseh, tuipui koehai thoseh, kahlî a tho hoeh nahanlah talai takin pali touh koe e kahlînaw a kuet awh e hah ka hmu.
2 Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema,
Hahoi, alouke kalvantami buet touh teh kahring Cathut e tacik patuep laihoi kanîtho lahoi a luen takhang e hah ka hmu. Hote kalvantami niteh talai hoi tuipui dawk runae tho sak thainae kâ a tawn teh, kalvantami pali touh koe,
3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
maimae Cathut e sannaw e tampa dawk tacik be kin hoehroukrak talai, tuipui, hoi thingnaw koe runae phat sak hanh ei telah kacaipounglah a hram.
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.
Hathnukkhu, tacikkin lah kaawm e tami nâyittouh maw tie lawk ka thai. Isarel miphun dawk e miphun 12 touh dawk e tami 144,000 touh teh tacikkin lah ao.
5 Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri, kutoka kabila la Reubeni 12,000, kutoka kabila la Gadi 12,000,
Judah catoun dawk hoi 12,000, Gad catoun dawk hoi 12,000, Reuben catoun dawk hoi 12,000,
6 kutoka kabila la Asheri 12,000, kutoka kabila la Naftali 12,000, kutoka kabila la Manase 12,000,
Asher catoun dawk hoi 12,000, Naphtali catoun dawk hoi 12,000, Manasseh catoun dawk hoi 12,000,
7 kutoka kabila la Simeoni 12,000, kutoka kabila la Lawi 12,000, kutoka kabila la Isakari 12,000,
Simeon catoun dawk hoi 12,000, Levih catoun dawk hoi 12,000, Issakhar catoun dawk hoi 12,000,
8 kutoka kabila la Zabuloni 12,000, kutoka kabila la Yosefu 12,000, na kutoka kabila la Benyamini 12,000.
Zebulun catoun dawk hoi 12,000, Joseph catoun dawk hoi 12,000, Benjamin catoun dawk hoi 12,000 naw teh tacikkin lah ao awh.
9 Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.
Hathnukkhu ka khet navah, lawk alouklouk ka dei e miphun cawngca koehoi apinihai a touk thai hoeh e tamihu pui teh, hni pangaw a kâkhu awh teh samtue e a kang a patuep teh bawitungkhung e hmalah hoi tuca e hmalah a kangdue awh.
10 Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema: “Wokovu una Mungu wetu, yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo!”
Ahnimouh ni rungngangnae teh bawitungkhung dawk ka tahung e maimae Cathut hoi tuca koe ao telah kacaipounglah a târue awh.
11 Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu,
Bawitungkhung hoi, a kum kacuenaw hoi moithang pali touh e teng kâkalup lah kangdout e kalvantami pueng ni tungkhung hmalah a tabo awh teh Cathut hah a bawk awh.
12 wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
Amen. Maimae Cathut teh a yungyoe hoi a yungyoe totouh yawhawinae, bawilennae, lungangnae hoi lunghawilawkdeinae, barinae, bahu, thaonae teh awm lawiseh, Amen telah a dei awh. (aiōn )
13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”
Hathnukkhu kacuenaw thung dawk e buet touh ni hni pangaw kâkhu e naw pueng teh apinaw maw Na hoi maw a tho awh telah kai hah na pacei.
14 Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.” Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa.
Kai ni Bawipa nang ni na panue bout ka ti pouh navah, ahni ni hetnaw teh runae kalenpoung thung hoi ka hlout niteh, ka tâcawt e naw doeh. Ahnimouh teh amamae kâkhu e hni hah tuca thi dawk a pâsu awh teh a pangaw sak awh.
15 Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.
Hatdawkvah, ahnimouh teh Cathut e tungkhung hmalah vah ao awh teh, Bawipa bawkim dawk karum khodai Bawipa a pholen awh. Bawitungkhung dawk ka tahung e Cathut teh ahnimouh hoi a yungyoe a okhai han.
16 Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.
Ahnimanaw teh vonhlam tui kahran bout awm mahoeh toe. Ahnimae van khumbei hoi bang patet e kabet nihai dâw mahoeh toe.
17 Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
Bangkongtetpawiteh, bawitungkhung lungui kaawm e tuca ni ahnimouh khoum vaiteh, hringnae tui a lawngnae koe a ceikhai han. Cathut ni ahnimae mitphi pueng teh a hui pouh han telah a ti.