< Ufunuo 7 >
1 Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote.
Acun käna, khawkawng, mliktui la thing naküt üng khaw am khi khaia, khankhawngsä kphyü he naw khawmdek hmai kphyüa khawkhi man u lü, khawmdek hmai kphyü üng ngdüi u se ka jah hmuh.
2 Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema,
Acunüng, khankhawngsä akce cun xüngki Pamhnama msingnak kpawm lü, nghngilaw lam üngka naw law se ka hmuh. Acuna khankhawngsä cun Pamhnam naw khawmdek la mliktui jah kpyeh theinak a jah peta khankhawngsä kphyüa veia angsanga,
3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
“Kami Pamhnama m'ya he ami mceyü üng am kami jah msing hama küt üngta khawmdek, mliktui la thing he ä jah kpyeh tanga bä” tia ngpyangki.
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.
Acunüng Pamhnama msingnak am ami mceyü üng jah msinga Isarel khyang hea pakhui üngka he cun 144,000 lawki hea ami na mtheh. Amimi cun Isarel pakhui xaleinghngih üngka kyaki he.
5 Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri, kutoka kabila la Reubeni 12,000, kutoka kabila la Gadi 12,000,
Pakhui mat üng 12,000 cia kyaki. Acun he cun Judah, Rubin, Kad, Ashea, Naptalih, Manaseh, Simeon, Levih, Isakarah, Zebulung, Josep la Benjamina kyaki he.
6 kutoka kabila la Asheri 12,000, kutoka kabila la Naftali 12,000, kutoka kabila la Manase 12,000,
7 kutoka kabila la Simeoni 12,000, kutoka kabila la Lawi 12,000, kutoka kabila la Isakari 12,000,
8 kutoka kabila la Zabuloni 12,000, kutoka kabila la Yosefu 12,000, na kutoka kabila la Benyamini 12,000.
9 Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.
Acun käna teng ni se, khyang khawjah u naw am a täh mkhüt vai, pakhui naküt üngka he, khyangmjü naküt üngka he, paca naküt üngka he la khyü kce kce pyenkia khyang üngka he cun suisak akbawk jah suisa u lü, hlipa ngban he ami kut üng jah kawtei u lü, bawingawhnaka ma la Toca ma ngdüi u se ka jah hmuh.
10 Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema: “Wokovu una Mungu wetu, yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo!”
Acunüng acun he naw angsanga, “Bawingawhnak üng ngawkia mi Pamhnam la Toca üngka naw küikyanak law ve” tia ngpyangki he.
11 Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu,
Acunüng khankhawngsä avan naw bawingawhnak la ngvai he, xüngksei kphyü he cun jah kcung u lü ngdüiki he. Acun he cun bawingawhnaka ma da ami hmai ngmüm u lü,
12 wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
“Amen! mküimtonak, hlüngtainak, themnak, jekyainak, leisawngnak, johit la khyaihbahnak he cun anglät se mi Pamhnam üng awm se! Amen,” tia, Pamhnam sawhkhahki he. (aiōn )
13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”
Acunüng ngvai he üngka mat naw ka veia, “Hina suisak akbawk suisaki he hin u he ni? Hawia ka naw lawki he ni?” ti lü a na kthäh.
14 Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.” Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa.
“Angvai aw, am ksing veng, nang naw na ksingki ni” ka ti. Ani naw ka veia, “Hin he cun, mkhuimkhanak kcang üngka naw law u lü ami suisak he Toca a thisen üng msu u lü bawk saki he ni.
15 Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.
Acunakyase Pamhnama bawingawhnaka ma ngdüi u lü amhmüp amthan Temple k’uma Pamhnam khüihki hea kyaki he. Bawingawhnak üng ngawki naw ami ksunga jah veipüi lü jah xung khai.
16 Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.
Ami ei am cawi tui am xai be ti u; khawnghngi naw pi am jah lingei ti, khawkhlawk naw pi am jah hlawkei be ti.
17 Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
Bawingawhnaka nglung üng ngawkia Toca cun ami Toksäma kyase, ani naw xünnaka tuilawnga jah ngkhahpüi khai. Acunüng Pamhnam naw ami mik üngka miktui naküt jah xuh pe khai.