< Ufunuo 7 >
1 Baada ya hili nikaona malaika wanne wakiwa wamesimama katika pembe nne za dunia, wakizuia hizo pepo nne za dunia, ili kwamba pasiwe na upepo utakaovuma juu ya nchi au juu ya bahari au juu ya mti wowote.
Ni kwugon wayi miton malaiku inzan mba kri ni (kusurwoyi) inzan bi gbugbulu, mba gji kwungon tizan bi gbugbuluyin gbagbame, wa kwumgun na ufu ni gbugbwuyina, ni tu nei ni kwugron.
2 Nikaona malaika mwingine akipanda kutoka mawio ya jua akiwa na muhuri wa Mungu aliye hai. Akawaita kwa sauti kubwa wale malaika wanne waliokuwa wamepewa mamlaka ya kuidhuru nchi na bahari, akisema,
Mila to malaika ri tsi rji nikon zan, wa ahe lu irji wu re. Ayo malaikan inlan hiyi ni kykle lan wa mbanu mba ulan wa mba ti gbugbuluyi iya ni nei.
3 “Msiidhuru nchi wala bahari, wala miti, hadi tuwe tumetia muhuri kwenye vipaji vya nyuso za watumishi wa Mungu wetu.”
Na ti gbugbuluiyna, ndi nei ni mba kwugon kynu mba ingbam ni chi mri Rji
4 Ndipo nikasikia idadi ya wale waliotiwa muhuri: yaani 144,000 kutoka makabila yote ya Israeli.
Mi wo gbugbu nde mba tin gbam ni mbawu 144,000, Biwa mbatin gbam ni igji mba wawu ni nde Israila.
5 Kutoka kabila la Yuda 12,000 walitiwa muhuri, kutoka kabila la Reubeni 12,000, kutoka kabila la Gadi 12,000,
Nde dubu wulon don ha ni igji Yahuza dubu wulon donba ni igrji Ra'u'bainu, dubu wulon donha ni igrji Gadi.
6 kutoka kabila la Asheri 12,000, kutoka kabila la Naftali 12,000, kutoka kabila la Manase 12,000,
Dubu wulon donha ni igrji Ashiru, dubu wulon donha ni igrji Naftali dubu wulon donha ni igrji Manassa.
7 kutoka kabila la Simeoni 12,000, kutoka kabila la Lawi 12,000, kutoka kabila la Isakari 12,000,
Dubu wulon donha ni Igrji Saminu, dubu wulon don ha ni igrji Lawi dubu wulon donha ni igrji Issaka.
8 kutoka kabila la Zabuloni 12,000, kutoka kabila la Yosefu 12,000, na kutoka kabila la Benyamini 12,000.
Dubu wulon donha ni igrji zabaluna, dubu wulon donha ni igrji Yusufu, ni dubu wulon donha ni igrji Bilyaminu, mba tsa gbam.
9 Baada ya hili nikatazama na hapo mbele yangu palikuwa na umati mkubwa wa watu ambao hakuna yeyote awezaye kuuhesabu, kutoka kila taifa, kila kabila, kila jamaa na kila lugha, wamesimama mbele ya kile kiti cha enzi na mbele ya Mwana-Kondoo. Walikuwa wamevaa mavazi meupe na wakiwa wameshika matawi ya mitende mikononi mwao.
Ni kwugun igpi huji mi ya, ndi to gbugbu nde wa mba drori ana ya mble mba nan ni nde bi gbugbulu wawu, ni igrji, nde ni uemen a mba kri ni shishivemen a mba kri ni shishi kpachi ni shishi iver krju mba surun waklema ni vuvu dabin ni wo mba.
10 Nao walikuwa wakipiga kelele kwa sauti kubwa wakisema: “Wokovu una Mungu wetu, yeye aketiye kwenye kiti cha enzi, na Mwana-Kondoo!”
Ndi ni yo lan kyklema, kpa nde chuwo a he ni we Rji mbu wa aso nitu kpanbi, ni iver krji.
11 Malaika wote walikuwa wamesimama kukizunguka kile kiti cha enzi na wale wazee ishirini na wanne na wale viumbe wanne wenye uhai. Wakaanguka kifudifudi mbele ya hicho kiti cha enzi na kumwabudu Mungu,
Malaiku mba wawu mba kri nda yo kpa ri ni zuzu ni bi kon mba ni mba re inza mba, mba kagru susu ni shishi tsi ya kpachi nda (yi sujada) ni Rji.
12 wakisema: “Amen! Sifa na utukufu na hekima na shukrani na heshima na uweza na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele. Amen!” (aiōn )
Mba tsi la ahemen (Amin) gri, ndedi ni wayu, gri igirma, iko ni gpegple mba bi wu Rji mu Rra hi nitse aheme (Amin) (aiōn )
13 Kisha mmoja wa wale wazee ishirini na wanne akaniuliza, “Ni nani hawa waliovaa mavazi meupe, nao wametoka wapi?”
Iri nimi nde ni nikon mba amenye me, a mba han wa suron nklo kyole bi mba mba rji ni tsen?
14 Nikamjibu, “Bwana, wewe wajua.” Naye akasema, “Hawa ni wale waliotoka katika ile dhiki kuu, nao wamefua mavazi yao katika damu ya Mwana-Kondoo na kuyafanya meupe kabisa.
Mi la ni wu, u ni kon, wu to, Biyi mba bi nikon wa mba rji ni kykle yan. mba ngla nklo mba ahe kykle ni nyin iver krju.
15 Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.
Ni tu kyi mba he shishi kpachin Rji nda tsi bra (sujada) ni chu ni rji ni mi kon inbra ma (haikalinsa) wa nu a so ni tu kpachi ani k'mba.
16 Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.
Iiyu na ti mba, ni nlan ma na timba na irji na hwu mba na.
17 Kwa maana Mwana-Kondoo aliyeko katikati ya kile kiti cha enzi atakuwa Mchungaji wao; naye atawaongoza kwenda kwenye chemchemi za maji yaliyo hai. Naye Mungu atafuta kila chozi kutoka macho yao.”
Iver Krji wa ahe ni zuzu aniya nde mba agji mba he ni whir man ndidima, irji ni se iman shishi mbu wawu