< Ufunuo 5 >

1 Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
Kange penikalola uluvoko lwa ndio ulwa jula juno akikalile pakitengo ikya vutua, gambo kino kilembilue kuvulongolo na kun'sana, kange lilyakanyilue amahuli lekela lubale.
2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?”
Nikamwaghile unyamola unyangufu idalikila kulisio ilivaha, “Ghweveeni juno anoghile kufungula na kun'denya ifihudiko fya mwene?”
3 Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake.
Nakwale umuunhu kukyanya nambe mu iisi kange pasi pa iisi juno anoghile kufungUKla ikitabu nambe pikwimba.
4 Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake.
Nilyakolile nulusukunalo ulwakuva nalyavonike ghweghwoni jula juno kulidindula iligombo na kukulyimba.
5 Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”
Looli umughogholo akambuula, “Uleke pilila. Lolagha! Inyalupala ijakikolo ikya Yuda, ija kisina kya Daudi, ilefisie, anoghile kuvalalula ikitabu kange kuhudula ifihudiko lekela lubale.”
6 Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.
Mu kitengo ikya vutua navala vane avumi kange nava ghogholo vamo, nikamwaghile unyang'olo imile akavonekana hweene ndavule juno abudilue jilyale namapembe lekela lubale, na maaso lekela lubale - isio se Mhepo lekela lubale isa Nguluve sinosomolilue ku iisi jooni.
7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.
Akalutile akatola ikitabu kuhuma muluvoko ulwa ndio ulwajula juno akikalile pa kitengo ikya vutua.
8 Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Ye atolile ikitabu, avanyavwumi vane navaghogholo fijigho fivili navane vakaghundama mpaka pasi pa iisi pavulongolo pa ng'olo. Umuunhu ghweni alyale nikilongilongi ni bakuli ja sahabu jino jimemile ufumba vuno vuli munyifunyo sa viitiki.
9 Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema: “Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
Valyimbile uwimbo ulupia. “Unoghile kutola ikitabu na kudindula umuhuli ghwa mweene. Ulwakuva ukekilue kange ni danda jako ukamughulile u Nguluve avaanhu ava kila kabila, injovele, jamaa ni kisina.
10 Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
Vukavavika uvutua nava tekesi vwimila uvwakum'bombela u Mutua ghwitu voope vitemagha mu iisi.”
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.
Kange nikalola nikapulika ilisio ilya vanyamola vinga kusyungutila ikitengo ikya vutua - imbalilo ja vanave valyale imilioni ifilundo fivili ni finya vwumi na vaghogholo.
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema: “Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa, kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na sifa!”
Vakajova nilisio ilivaha, “Anoghile umwana ng'olo juno adumulilue kukivupila uvutavulilua, uvumofu, uvwakyang'haani, ingufu uvwoghopua, uvwimike nuvughinio.”
13 Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
Nikapulika ikipelua kyooni kino kikapulilue kino kilyale kukyanya na mu iisi na pasi pa iisi napakyanya pa nyanja, kiila kiinu mmun'kate mu kyeene kiiti, “Kwamwene jula juno ikale pakyanya pa kitengo ikya vutua na kwamwana ng'olo, kuvisaghe lughinio, vwoghopua, vwimike ni ngufu isa kutema kuvusila nakusila.” (aiōn g165)
14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.
Avanyavwumi vane vakaati, “Ameni!” navaghogholo vakaghundamagha pasi na kukufunya.

< Ufunuo 5 >