< Ufunuo 5 >

1 Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
Andin textte olturghuchining ong qolida ich we tash teripige xet pütülgen we yette möhür bilen péchetlen’gen bir oram yazmini kördüm.
2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?”
Yuqiri awaz bilen: «Oram yazmini échip, péchetlerni yéshishke kim layiqtur?» dep towlighan qawul bir perishtinimu kördüm.
3 Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake.
Lékin ne ershte ne yer yüzide ne yer astida oram yazmini achalaydighan yaki ichige qariyalaydighan héchkim chiqmidi.
4 Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake.
Oram yazmini échishqa yaki ichige qarashqa layiq birersi tépilmighachqa, qattiq yighliwettim.
5 Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”
Andin aqsaqallardin biri manga: — Yighlima! Qara, Yehuda qebilisidin bolghan shir — Dawutning yiltizi Bolghuchi ghelibe qildi; shunga oram yazmini we uning yette péchitini échishqa U qadir, — dédi.
6 Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.
Andin qarisam, text bilen töt hayat mexluqning ariliqida, aqsaqallar otturisida bir Qoza öre turatti. U yéngila boghuzlan’ghandek qilatti; Uning yette münggüzi we yette közi bolup, bu közler Xudaning pütkül yer yüzige ewetken yette Rohi idi.
7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.
Qoza bérip, textte olturghuchining ong qolidin oram yazmini aldi.
8 Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Yazmini alghanda, töt hayat mexluq we yigirme töt aqsaqal qozining ayighigha yiqildi; ularning herbirining chiltari we xushbuy bilen tolghan altun chiniliri bar idi (bu xushbuy muqeddes bendilerning dualiri idi).
9 Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema: “Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
Ular yéngi bir küy éytishti: — «Oram yazmini élishqa, We péchetlerni échishqa layiqsen; Chünki boghuzlanding We her qebilidin, her tildin, Her millettin, her eldin bolghan insanlarni Öz qéning bedili bilen sétiwélip, Xudagha mensup qilding.
10 Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
Ularni Xudayimiz üchün bir padishahliqqa uyushturup, Kahinlar qilding. Ular yer yüzide höküm süridu».
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.
Andin kördüm we mana, textning, hayat mexluqlarning we aqsaqallarning etrapida nurghunlighan perishtilerning awazini anglidim. Ularning sani tümen ming-tümen ming, milyon-milyon idi.
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema: “Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa, kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na sifa!”
Ular yuqiri awaz bilen: — «Boghuzlan’ghan qoza qudret, dölet, danaliq, küch-quwwet, hörmet, shan-sherep We medhiyige layiqtur» déyishetti.
13 Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
Andin men ersh, yer yüzi, yer asti we déngizdiki herbir mexluq we ularning ichide bar bolghanlarning hemmisining: — «Textte Olturghuchigha we Qozigha Medhiye, hörmet, shan-sherep we hoquq-qudret Ebedil’ebedgiche mensup bolghay!» déginini anglidim. (aiōn g165)
14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.
Töt hayat mexluq «Amin!» dep jawab qayturatti, aqsaqallar yerge yiqilip sejde qilatti.

< Ufunuo 5 >