< Ufunuo 5 >
1 Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
Panyuma pakendi ndalabona libuku mu cikasa ca kululyo ca uyo walikuba wekala pacipuna ca bwami lyalembwa mukati ne kunsa, lyalikuba kayi lyadindwa ne bidindo bisanu ne bibili.
2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?”
Kayi ndalabona mungelo ukute ngofu sha bwendeleshi kepusha mwakompolola, “Inga niyani welela kumatula cidindo ne kucalula libuku ili ne kubona bili mukati?”
3 Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake.
Nomba paliya walacanika kwilu nambi pa cishi ca panshi nambi kwinshi ca cishi, walikukute ngofu sha kucalula libuku ne kubona bili mukati.
4 Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake.
Ndalalila kwine pakuboneti paliya walikuba welela kucalula libuku ne kubona bili mukati.
5 Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”
Neco umo wa bamakulene basa walang'ambileti, “Kotalila. Kobona! Inkalamu ya mu mukowa wa Yuda, mushikululwa wa Dafeti, elakomo nkondo, neco ewelela kumatula bidindo ne kucalula libuku.”
6 Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.
Popelapo ndalabona Mwana Mbelele kali wemana pakati pacipuna ca bwami, kali washingulukwa ne bya buyumi bina ne bamakulene makumi abili ne bana. Mwana Mbelele walikuboneketi pali lamushini, walikukute meca asanu ne abili kayi ne menso asanu ne abili. Uku ekwambeti mishimu isanu ne ibili ya Lesa yatumwa mu cishi conse ca panshi.
7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.
Mwana mbelele walamanta libuku lisa lyalikuba mu cikasa ca kululyo ca usa walikuba wekala pa cipuna cabwami cisa.
8 Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Mpwalamanta libuku, bya buyumi bina ne bamakulene makumi abili ne bana balawa pantangu pa Mwana Mbelele. Umo ne umo walikukute kalumbu ne ndilo shadongomana shagolidi shesula twanunkila, uku ekwambeti, mipailo ya bantu ba Lesa.
9 Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema: “Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
Balikwimbila lwimbo lwalino lino, lulambangeti, “Njamwe mwelela kumanta libuku ne kumatula cidindo ne kulicalula. Pakwinga mwalashinwa, ne milopa yenu mwalaulila Lesa bantu ba mishobo, ne bishi ne milaka kayi ne bantu bankanda shapusanapusana,
10 Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
mulababiki pamo kuba mushobo wa bami ne beshimilumbo beshi kusebensela Lesa wetu, beti bakasebenselenga pano pa cishi ca panshi.”
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.
Kayi ndalanyumfwa ne kubona bangelo bangi myanda myanda itabelengeke ne bya buyumi bina kayi ne bamakulene makumi abili ne bana kabali bashinguluka cipuna.
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema: “Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa, kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na sifa!”
Kabembila mwakompolola lwimbo lulambangeti, “Mwana Mbelele walashinwa, ewelela kupewa bwendeleshi ne buboni ne mano ne ngofu ne kulemekeshewa ne bulemeneno kayi ne kushikaishiwe!”
13 Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn )
Popelapo ndalanyumfwa byonse byalabumbilwa kwilu ne pa cishi ca panshi ne bya panshi pene pene, bya mu lwenje, byonse bikute buyumi kabimbileti, “Kuli uyo wekala pa cipuna ne Mwana Mbelele bashikaishiwe, balemekeshewe, bapewe bulemeneno ne ngofu kwamuyayaya.” (aiōn )
14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.
Bya buyumi bina byalakumbuleti “Ameni!” Basa bamakulene balasuntama ne kukambilila.