< Ufunuo 5 >

1 Kisha nikaona katika mkono wake wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa nje, kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba.
U mi toh niwo korli uwo a son ni ruron'a mito vuvu wa ahe mi ha numi ni konbra naye vuvu wa ba nha ni koshishi ma, ba lowu ni lo tangban.
2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua kitabu?”
Mi toh kiekle Madauka si d'bu ngblome, ahi nha mla wa ani tdi bwu nye nvunvu nda mre loo ma?
3 Lakini hapakuwa na yeyote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake.
Indji ri na he ni shulu ka ni meme ka ni mi meme a toh bwu nuunvu wa ba nyewu'a wa mba he nimi ma.
4 Nikalia sana sana kwa sababu hakuonekana yeyote anayestahili kukifungua hicho kitabu wala kutazama ndani yake.
Mi yi wa kpukpo me wa bana fe ndji ri waani toh bwu ka kra nye nuunuu na.
5 Kisha, mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama, Simba wa kabila la Yuda, wa Uzao wa Daudi, ameshinda. Yeye ndiye anayeweza kukifungua hicho kitabu na kuvunja hizo lakiri zake saba.”
Iri nimi bi nikon ba ahla nimu rimu, nayi na ya ichen (zaki) u grji Yahuza ivren Doda akpa ka; amble wu vuvu ni lu tagban mba
6 Ndipo nikaona katikati ya kile kiti cha enzi na wale viumbe wenye uhai wanne na miongoni mwa wale wazee, Mwana-Kondoo amesimama, akiwa kama amechinjwa. Alikuwa na pembe saba na macho saba, ambazo ndizo zile Roho saba za Mungu zilizotumwa duniani pote.
Mi to iver gru akri whie na kpachi nde bi re isie ni mi nikonmba, ahe na mbawu'a ahe ni iju tagban ni shishi tagban; Biyi mba ruhohi Rji tagban wa mba tun ye ni gbugblu.
7 Huyo Mwana-Kondoo akaja na kukitwaa kile kitabu kutoka kwenye mkono wa kuume wa yule aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi.
Ahi nda kpa nuwo wa ason ni tun kpachi
8 Alipokwisha kukitwaa kile kitabu, wale viumbe wenye uhai wanne pamoja na wale wazee ishirini na wanne wakaanguka mbele ya yule Mwana-Kondoo. Kila mmoja wao alikuwa na kinubi, nao walikuwa wameshika mabakuli ya dhahabu yaliyojaa uvumba, ambayo ni maombi ya watakatifu.
Ni tan wa iver inkrju amba vuvu, bi re isie mba ninde ise ha mba jokun ni memen ni shishi iver krju. nde mba, mba he ni ngungu mbakyi mba bra bi ti ndidi
9 Nao wakaimba wimbo mpya, wakisema: “Wewe unastahili kukitwaa kitabu na kuzivunja lakiri zake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka kila kabila, kila lugha, kila jamaa na kila taifa.
Mba yo se semai, iwu mumle waw'u mban vuvu ndi bwu lu mba hau, ni iyin me mba le nde Rji ni gbugblu wawu ilemen, nde ni he luntre.
10 Wewe umewafanya hawa wawe ufalme na makuhani wa kumtumikia Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
Wu me mba bi chu ni firistoci wa mba wu Rji mbu, mba gji gbugblu.
11 Kisha nikatazama, nikasikia sauti za malaika wengi wakiwa wamekizunguka kile kiti cha enzi, pamoja na wale viumbe wenye uhai wanne na wale wazee ishirini na wanne. Idadi yao ilikuwa kumi elfu mara kumi elfu na maelfu ya maelfu.
Wa mi ya mi wo chrju malaiku bi bra wa mbahe ni kpachi ni bire bi nikon mba mba kyai dubbai goma sau dubbai goma da dubun dubbai.
12 Nao waliimba kwa sauti kuu, wakisema: “Anastahili Mwana-Kondoo, yeye aliyechinjwa, kupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na sifa!”
Mba zu tre ndala wa atsra wer krju wa mba ha akpa gpegble (iko) ahewu itan, gpegble, nikon nigba inyeme.
13 Kisha nikasikia kila kiumbe mbinguni na duniani, chini ya nchi na baharini na vyote vilivyomo ndani yake vikiimba: “Sifa na heshima na utukufu na uweza ni vyake yeye aketiye juu ya hicho kiti cha enzi na kwa Mwana-Kondoo, milele na milele!” (aiōn g165)
Mi wo igpie wawu wa mba he shulu ni mema ni mi meme ni nei ni gpi tu kpachi ni wer krju gpiresan, ndidi akyara ni gpegble gji gbugblu, hi ni kikle. (aiōn g165)
14 Wale viumbe wenye uhai wanne wakasema, “Amen!” Nao wale wazee ishirini na wanne wakaanguka kifudifudi wakaabudu.
Bi re isie mba mba tre ahemen (Amin) Bi ni kon mba kwujokun ni shishi mba nda gri ni wu (sujada)

< Ufunuo 5 >