< Ufunuo 3 >

1 “Kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika: “Haya ndiyo maneno ya aliye na zile Roho sabaza Mungu na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, kwamba una sifa ya kuwa hai, lakini umekufa.
»In angelu cerkve v Sardah piši: ›Te besede govori on, ki ima sedem Božjih Duhov in sedem zvezd; poznam tvoja dela, da imaš ime, da živiš, pa si mrtev.
2 Amka! Nawe uyaimarishe yale yaliyosalia na yaliyo karibu kufa, kwa maana sikuona kwamba kazi zako zimekamilika machoni pa Mungu wangu.
Bodi oprezen in okrépi stvari, ki ostanejo, ki so pripravljene, da umro, kajti tvojih del nisem našel popolnih pred Bogom.
3 Kumbuka basi yale uliyoyapokea na kuyasikia, yatii na ukatubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwizi wala hutajua saa nitakayokuja kwako.
Spomni se torej, kako si prejel in slišal in trdno drži ter se pokesaj. Če torej ne boš stražil, bom prišel nadte kakor tat in ne boš vedel, katero uro bom prišel nadte.
4 “Lakini bado una watu wachache katika Sardi ambao hawajayachafua mavazi yao. Wao wataenda pamoja nami, wakiwa wamevaa mavazi meupe, kwa maana wanastahili.
Nekaj imen imaš celó v Sardah, ki si niso omadeževali svojih oblek; in ti bodo hodili z menoj v belem, kajti vredni so.
5 Yeye ashindaye atavikwa vazi jeupe kama wao. Sitafuta jina lake kutoka kitabu cha uzima, bali nitalikiri jina lake mbele za Baba yangu na mbele za malaika wake.
Kdor premaga, ta isti bo oblečen v belo oblačilo in njegovega imena ne bom izbrisal iz knjige življenja, temveč bom njegovo ime priznal pred svojim Očetom in pred njegovimi angeli.
6 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori cerkvam.‹«
7 “Kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye mtakatifu na wa kweli, yeye aliye na ufunguo wa Daudi. Anachokifungua hakuna awezaye kukifunga, wala anachokifunga hakuna awezaye kukifungua.
»In angelu cerkve v Filadelfiji piši: ›Te besede govori tisti, ki je svét, tisti, ki je resničen, tisti, ki ima Davidov ključ, tisti, ki odpira in noben človek ne zapira; in zapira, pa noben človek ne odpira.
8 Nayajua matendo yako. Tazama, nimeweka mbele yako mlango uliofunguliwa, wala hakuna awezaye kuufunga. Ninajua kwamba una nguvu kidogo lakini umelishika neno langu wala hukulikana Jina langu.
Poznam tvoja dela. Glej, pred teboj sem postavil odprta vrata in noben človek jih ne more zapreti, kajti majhno moč imaš in ohranil si mojo besedo in nisi zanikal mojega imena.
9 Nitawafanya wale wa sinagogi la Shetani, wale ambao husema kuwa ni Wayahudi lakini sio, bali ni waongo, nitawafanya waje wapige magoti miguuni pako, na wakiri ya kwamba nimekupenda.
Glej, prisilil bom te, iz Satanove shodnice, ki pravijo, da so Judje, pa niso, temveč lažejo; glej, prisilil jih bom, da pridejo in obožujejo pred tvojimi stopali in da spoznajo, da sem te vzljubil.
10 Kwa kuwa umeshika amri yangu ya kuvumilia katika saburi, nitakulinda katika saa ya kujaribiwa inayokuja ulimwenguni pote, ili kuwajaribu wote wakaao duniani.
Ker si ohranil besedo moje potrpežljivosti, bom tudi jaz tebe obvaroval pred uro preizkušnje, ki bo prišla nad ves svet, da preizkusi tiste, ki prebivajo na zemlji.
11 “Ninakuja upesi. Shika sana ulicho nacho, ili mtu asije akaichukua taji yako.
Glej, pridem hitro. Trdno drži to, kar imaš, da ti noben človek ne odvzame tvoje krone.
12 Yeye ashindaye nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo kamwe. Nitaandika juu yake Jina la Mungu wangu na jina la mji mkubwa wa Mungu wangu, Yerusalemu mpya, ambao unashuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu. Nami pia nitaandika juu yake Jina langu jipya.
Tistega, ki premaga, bom naredil [za] steber v templju svojega Boga in ne bo več šel ven; in nanj bom napisal ime svojega Boga in ime mesta svojega Boga, ki je novi Jeruzalem, ki prihaja dol z neba od mojega Boga in nanj bom napisal svoje novo ime.
13 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori cerkvam.‹«
14 “Kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye Amen, shahidi mwaminifu na wa kweli, mtawala wa uumbaji wote wa Mungu.
»In angelu cerkve Laodikejcev piši: ›Te besede govori Amen, zvesta in resnična priča, začetek Božjega stvarstva;
15 Nayajua matendo yako, ya kwamba wewe si baridi wala si moto. Afadhali ungelikuwa moja au lingine.
poznam tvoja dela, da nisi niti mrzel niti vroč. Želim si, da bi bil mrzel ali vroč.
16 Hivyo kwa kuwa u vuguvugu, si baridi wala moto, nitakutapika utoke kinywani mwangu.
Zaradi tega, ker si mlačen in nisi niti mrzel niti vroč, te bom izpljunil iz svojih ust.‹
17 Kwa maana unasema: ‘Mimi ni tajiri, nimejilimbikizia mali, wala sihitaji kitu chochote.’ Lakini hutambui ya kwamba wewe ni mnyonge, wa kuhurumiwa, maskini, kipofu, tena uliye uchi.
Ker praviš: ›Bogat sem in okrepil sem se z dobrinami in ne potrebujem ničesar; ‹ pa ne veš, da si pomilovanja vreden in beden in reven in slep ter nag,
18 Nakushauri ununue kutoka kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, ili upate kuwa tajiri, na mavazi meupe ili uyavae upate kuficha aibu ya uchi wako, na mafuta ya kupaka macho yako ili upate kuona.
ti svetujem, da kupiš od mene zlata, prečiščenega v ognju, da boš lahko bogat in belo oblačilo, da boš lahko oblečen in da se ne prikaže sramota tvoje nagote in svoje oči mazili z mazilom za oči, da boš lahko videl.
19 “Wale niwapendao, ninawakemea na kuwaadibisha. Hivyo uwe na bidii ukatubu.
Kolikor jih imam rad, oštevam in karam. Bodi torej goreč in se pokesaj.
20 Tazama! Nasimama mlangoni nabisha. Kama mtu yeyote akisikia sauti yangu na kufungua mlango, nitaingia ndani na kula pamoja naye, naye pamoja nami.
Glej, stojim pred vrati in trkam. Če katerikoli človek sliši moj glas in odpre vrata, bom vstopil k njemu in bom večerjal z njim in on z menoj.
21 “Yeye ashindaye nitampa haki ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha enzi, kama vile mimi nilivyoshinda na nikaketi pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha enzi.
Tistemu, ki premaga, bom zagotovil, da sede z menoj na moj prestol, celo kakor sem tudi sam zmagal in sem s svojim Očetom poseden na njegovem prestolu.
22 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa.”
Kdor ima uho, naj sliši, kaj Duh govori cerkvam.‹«

< Ufunuo 3 >