< Ufunuo 22 +

1 Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,
Ele me mostrou um rio de água da vida, claro como cristal, saindo do trono de Deus e do Cordeiro,
2 kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
no meio de sua rua. Deste lado do rio e naquela estava a árvore da vida, produzindo doze tipos de frutos, dando seus frutos a cada mês. As folhas da árvore eram para a cura das nações.
3 Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
Não haverá mais maldição. O trono de Deus e do Cordeiro estará nele, e seus servos o servirão.
4 nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
Eles verão seu rosto, e seu nome estará na testa deles.
5 Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
Não haverá noite, e não precisarão de luz de lâmpada ou luz solar, pois o Senhor Deus os iluminará. Eles reinarão para sempre e sempre. (aiōn g165)
6 Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
Ele me disse: “Estas palavras são fiéis e verdadeiras”. O Senhor Deus dos espíritos dos profetas enviou seu anjo para mostrar aos seus servos as coisas que devem acontecer em breve”.
7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
“Eis que venho em breve! Bendito aquele que guarda as palavras da profecia deste livro”.
8 Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo.
Agora eu, John, sou aquele que ouvi e vi estas coisas. Quando ouvi e vi, caí para adorar diante dos pés do anjo que me mostrou estas coisas.
9 Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”
Ele me disse: “Você não deve fazer isso! Eu sou um companheiro de ligação com você e com seus irmãos, os profetas, e com aqueles que guardam as palavras deste livro. Adorai a Deus”.
10 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.
Ele me disse: “Não sele as palavras da profecia deste livro, pois o tempo está próximo”.
11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
Aquele que age injustamente, deixe-o agir ainda injustamente. Aquele que é imundo, que seja imundo ainda. Aquele que é justo, que faça a justiça ainda. Aquele que é santo, que seja santo ainda”.
12 “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
“Eis que venho em breve! Minha recompensa está comigo, para retribuir a cada homem de acordo com seu trabalho.
13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
Eu sou o Alfa e o Ômega, o Primeiro e o Último, o Princípio e o Fim.
14 “Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake.
Bem-aventurados aqueles que cumprem seus mandamentos, para que tenham direito à árvore da vida, e possam entrar pelos portões da cidade.
15 Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.
Fora estão os cães, os feiticeiros, os imorais sexualmente, os assassinos, os idólatras e todos aqueles que amam e praticam a falsidade.
16 “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”
Eu, Jesus, enviei meu anjo para testemunhar estas coisas a vocês para as assembléias. Eu sou a raiz e a descendência de David, a Estrela Brilhante e Matutina”.
17 Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.
O Espírito e a noiva dizem: “Venha!”. Aquele que ouvir, que diga: “Venha!”. Aquele que tem sede, que venha. Aquele que deseja, deixe-o tomar livremente a água da vida.
18 Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Testifico a todos que ouvem as palavras da profecia deste livro: se alguém as acrescentar, Deus lhe acrescentará as pragas que estão escritas neste livro.
19 Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Se alguém tirar as palavras do livro desta profecia, Deus tirará sua parte da árvore da vida, e da cidade santa, que estão escritas neste livro.
20 Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!” Amen. Njoo, Bwana Yesu.
Aquele que testemunha estas coisas diz: “Sim, eu vou em breve”. Amém! Sim, venha, Senhor Jesus!
21 Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.
A graça do Senhor Jesus Cristo esteja com todos os santos. Amém.

< Ufunuo 22 +