< Ufunuo 22 +
1 Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,
Penepo Malaika jula, gwanangwile lushi lwa mashi ga mabhutuka, gakwete gumi, ga konja galikoposhela pa shitengu sha ukulungwa sha a Nnungu, na Mwana Ngondolo.
2 kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
Lwene lushilo lwatendaga bhutuka pakatipakati mpanda njindo, gwa shene shilambo shila. Nnyenje lwene lushilo, gwashinkupagwa nkongo gwa gumi kila ng'ambu ja lushi. Gwene nkongogo gwatendaga ogola iepo ya namna likumi limo na ibhili, iepo yakwe yatendaga ogola kila mwei. Na maamba ga gwene nkongogo pugaliji ni ntela gwa lamia bhandunji bha ilambo ina.
3 Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
Pene pa shilambopo shikapagwa kabhili shindu shoshowe shiloshilwe, pabha shitengu sha ukulungwa gwa a Nnungu na Mwana Ngondolo shishipagwe mwenemo na bhatumishi bhabho, bhalikwaatindibhalilanga maengo.
4 nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
Na bhalabhonji shibhalubhonanje lubhombo lwabho, numbe lina lyabho shilibhe pa shenyi pa lubhombo lwabhonji.
5 Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Shilo shikapagwa kabhili, wala bhakapinganga shilangaya sha kandili eu sha lyubha, pabha Bhakulungwa a Nnungu shibhabhe shilangaya shabhonji, na bhene bhanganyabho shibhatagwalanje pitipiti na pitipiti. (aiōn )
6 Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
Numbe jwene malaika jula nigwanugulile, “Gegano malobhe gano ni gaakulupalika kaje na ga kweli. Bhakulungwa a Nnungu bhakwaapanganga a ashinkulondola Mbumu jwabho, bhashinkutuma malaika jwabho, kukwaalanguyanga bhatumishi babho gene gapinga koposhela shangupe gala.”
7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Nnole, ngwiyajo nnainope, apatile mboka jwene akunda malobhe ga ukulondola ga sheshino shitabhu shino.
8 Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo.
Nne a Yowana ni napilikene na kugabhona gegano. Na nne ngagabhoneje na kugapilikana, ngugwaga pai nkupinga nintindibhalile pa makongono, jwene malaika anangwiye genego.
9 Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”
Ikabheje jwenejo nigwanugulile, “Nnatende nneyo, nne ni ntumishi malinga mmwe, na bhaakulupalila ajenunji ashinkulondola, na bhowe bhaakundanga malobhe ga sheshino shitabhu shino. Mwaatindibhalile a Nnungu.”
10 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.
Numbe gwanugulile, “Nnaiye malobhe ga ukulondola gali amuno nshitabhu muno, pabha malanga gabhandishile ga koposhela kwa genega.
11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
Atenda yangali ya mmbone, apunde kutenda yangali ya mmbone, na akwiinyatiya, apunde kwiinyatiya. Atenda ya mmbone, na apunde kutenda ya mmbone, na ali jwa ukonjelo, apunde kubha jwa ukonjelo.”
12 “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
A Yeshu bhakuti, “Nnole! Ngwiyajo nnainope, shinimpe mundu upo, ilingana na itendi yakwe.
13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
Nne ni Alpha na Omega, yani, Nantando na Mpelo.”
14 “Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake.
Mbaya bhene bhaashapanga nngubho yabhonji, nkupinga bhakolanje aki ja jinjila nshilambo kupitila mmilango, na bhakolanje aki ja lya iepo, ya nkongo gwa gumi.
15 Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.
Ikabheje palanga bhapalinji, mmbwa, na bhaabhi, na bha labhalabha, na bha bhulaga, na bha tindibhalila yanamu, na bhowe bha pinganga kubheleketa unami, bhakajinjilanga mwenemo.
16 “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”
“Nne, a Yeshu, njikuntuma malaika jwangu ankong'ondelanje gegano mmakanisha. Nne ni jwa lubheleko lwa shipinga sha a Daudi. Nne ni lutondwa lwa nng'andu luubhala!”
17 Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.
Mbumu na a Mwali bhaalombwa, bhakutinji, “Nnjiye,” na kila mundu apilikana genega na abhelekete, “Nnjiye,” Akwete nnjotajo ajiye, na apingajo, apapile mashi ga gumi, gwayoyo.
18 Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Nne a Yowana ngunakwaaleyanga bhandu bhowe, bhaapilikananga malobhe ga ukulondola ga shene shitabhu shino. Mundu jojowe ajenjesheyaga shindu shoshowe, a Nnungu shibhannjenjesheye mambukute gajandikwe nshitabhu muno.
19 Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Mundu jojowe apunguyaga shoshowe, mmalobhe ga ukulondola ga shene shitabhu shino, a Nnungu shibhampokonyole shipande shakwe sha nkongo gwa gumi, na shipande shakwe sha shilambo sha ukonjelo, malinga shiijandikwe nshitabhu muno.
20 Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!” Amen. Njoo, Bwana Yesu.
Na bhene bhaakong'ondela gegano bhakuti, “Kweli ngwiyajo nnainope!” Amina. Nnjiye Mmakulungwa a Yeshu.
21 Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.
Ngunakumpinjilanga mmowe nema ja Bhakulungwa a Yeshu. Amina.