< Ufunuo 22 +
1 Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,
Linu iñiloi chi lyanitondeza iwate lya menzi a buhalo, a chena ulu kristale. Ibali kububa kuzwa ku mushukwe wa Ireeza ni ku e Ngunyana
2 kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
mukati ke tolopo. Ku mabbali onse o lwizi kubena isamu lya buhalo, libikite mifuta ya miselo itenda ikumi ni tobele, imi libika iyo miselo mwezi ni mwezi. Makoba e samu a kuhozisa inkanda.
3 Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
Kete ni kube ni kukutwa hape. Lubona lwa Ireeza ni lwe ingunyana kalube mwi tolopo, imi bahikana bakwe muba musebeleze.
4 nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
Mubabone chifateho chakwe, imi izina lyakwe muliñolwe he mpata zabo.
5 Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn )
Kete ni kube ni masiku hape; kete nikube ni ntuso ye seli lye ngunyana kapa iseli lye zuba kakuti Simwine Ireeza mwa ba benyeze. Muba buse kuya kusa mani. (aiōn )
6 Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
Iñiloi chinya wamba kwangu, “Aa manzwi asepahala imi e niti. Simwine, Ireeza we inhunho zama polofita, abatumi iñiloi lyakwe li kabonise ba hikana bakwe chiswanela ku pangahala hahanu.”
7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
“Bone! Nikezite hahanu! yo fuyoletwe njozo yo kuteka manzwi atanikizwe mweyi imbuka.
8 Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo.
Ime, Johani, njeme niba zuwi ni kubona izi zintu. hani zuwa ni kuzibona, china lala hanzi habusu bwa matende e iñiloi ku mulumbeka, iñiloi liba ni tondezi izi zintu.
9 Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”
Chi lyawamba kwangu, “Sanzi uchiti bulyo! name niwa bamwi bahikana nina nanwe niba kwenu ba polofita nabana bakuteka manzwi ena mweyi imbuka. lumbeke Ireeza!”
10 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.
Cha wamba kwangu, “Sanzi upangi i nkunutu manzwi a atanikizwe mweyi imbuka, inako ina hafuhi.
11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
Iye yasa shiyeme. mumusiye azwile habusu nikupanga zisa shiyeme. Iye yopanga busangu bubi, mumusiye azwile habusu ni busangu bubi. Iye yo shiyeme, mumu siye azwile habusu niku tenda zishiyeme. Iye yo jolola, mumu siye azwile habusu niku jolola.”
12 “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
“Bone! Nikeza chakuhwela. Imi mupuzo wangu wina name, kuliha zumwi ni zumwi chakuya ba mwa batendeli.
13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
Njime alfa ni omega, kubusu ni kumasule, intanzi ni ma manimani.
14 “Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake.
Bafuyoletwe njabo bashanza minganjo yabo ili kuti babe ni intukelo ya kulya kwi samu lyabuhalo imi ni kwi njila mwitolopo cha mulyango.
15 Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.
Hanze kwina bambwa, balozi, basangu, behayi, bamaswaniso, imi ni bonse basaka niku tenda mitendo isena buniti.
16 “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”
Jesu, nibatumi iñiloi lyangu kuha bupaki kwenu kuamana izi zintu che inkeleke. Njime ni muhisi ni isika lya Dafita, inkani i benya ya kuseni.”
17 Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.
Luhuho ni Musesiwa ziti, “Wize” Siye uzo yo zuwa ati, “Wize!” Yense yo fwile inyotwa, musiye eze, imi yense yo ilakaza, umusiye awane menzi abuhalo nikusena intifo.
18 Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Niha bupaki kubonse ba zuwa manzwi e chi polofita cheyi imbuka: Heiba zumwi mwawekeze kuali, Ireeza kawekeze kwali inkoto zi ñoletwe kuamana ni mweyi imbuka.
19 Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
Heiba zumwi uzwisa mu manzwi amweyi imbuka ya chipolofita, Ireeza kazwise inkabelo yakwe mwisamu lya buhalo imi ni mwitolopo ijololwa ziñoletwe kuamana mweyi imbuka.
20 Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!” Amen. Njoo, Bwana Yesu.
Iye yoha bupaki kwezi zintu uti, “Eee! Nikeza chokuhwela.” Amen! Wize, Simwine Jesu!
21 Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.
Imi musa wa Simwine Jesu ube ni zumwi ni zumwi. Amen.