< Ufunuo 22 +

1 Kisha yule malaika akanionyesha mto wa maji ya uzima, maangavu kama kioo yakitiririka kutoka kwenye kile kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo,
I ukázal mi potok čistý vody živé, světlý jako křištál, tekoucí z trůnu Božího a Beránkova.
2 kupitia katikati ya barabara kuu ya huo mji. Kwenye kila upande wa huo mto kulikuwa na mti wa uzima utoao matunda ya aina kumi na mbili, ukizaa matunda yake kila mwezi. Nayo majani ya mti huo ni kwa ajili ya uponyaji wa mataifa.
U prostřed pak rynku jeho a s obou stran potoka bylo dřevo života, přinášející dvanáctero ovoce, na každý měsíc vydávající ovoce své, a lístí své k zdraví národů.
3 Katika mji huo hakutakuwa tena na laana, bali kiti cha enzi cha Mungu na cha Mwana-Kondoo kitakuwamo humo na watumishi wake watamtumikia,
A ničeho zlořečeného již více nebude, ale trůn Boží a Beránkův bude v něm, a služebníci jeho sloužiti jemu budou.
4 nao watamwona uso wake na Jina lake litakuwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
A tvář jeho viděti budou, a jméno jeho bude na čelích jejich.
5 Usiku hautakuwako tena, wala hawatahitaji mwanga wa taa au wa jua, kwa maana Bwana Mungu atakuwa nuru yao, nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
A noci tam nebude, aniž budou potřebovati svíce, ani světla slunečného; nebo Pán Bůh je osvěcuje, a kralovati budou na věky věků. (aiōn g165)
6 Kisha yule malaika akaniambia, “Maneno haya ni ya kuaminika na kweli. Bwana, Mungu wa roho za manabii, alimtuma malaika wake kuwaonyesha watumishi wake yale ambayo hayana budi kutukia upesi.”
I řekl mi: Slova tato jsou věrná a pravá, a Pán Bůh svatých proroků poslal anděla svého, aby ukázal služebníkům svým, co se díti musí brzo.
7 “Tazama, naja upesi! Amebarikiwa yeye ayashikaye maneno ya unabii wa kitabu hiki.”
Aj, přijduť rychle. Blahoslavený, kdož ostříhá slov proroctví knihy této.
8 Mimi, Yohana, ndiye niliyesikia na kuyaona mambo haya. Nami nilipokwisha kuyasikia na kuyaona, nilianguka chini nikasujudu miguuni pa yule malaika aliyekuwa akinionyesha mambo hayo.
Já pak Jan viděl jsem a slyšel tyto věci. A když jsem slyšel a viděl, padl jsem, klaněti se chtěje před nohama anděla toho, kterýž mi tyto věci ukazoval.
9 Lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi ni mtumishi pamoja nawe na ndugu zako manabii na wote wanaoyashika maneno ya kitabu hiki. Msujudie Mungu!”
Ale řekl mi: Hleď, abys toho nečinil. Neboť jsem spoluslužebník tvůj a bratří tvých proroků, a těch, kteříž ostříhají slov knihy této. Bohu se klaněj.
10 Kisha akaniambia, “Usiyafunge maneno ya unabii yaliyomo katika kitabu hiki, kwa sababu wakati umekaribia.
Potom řekl mi: Nezapečeťuj slov proroctví knihy této; neboť jest blízko čas.
11 Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
Kdo škodí, škoď ještě; a kdo smrdí, smrď ještě; a kdo jest spravedlivý, ospravedlni se ještě; a svatý posvěť se ještě.
12 “Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
A aj, přijduť brzo, a odplata má se mnou, abych odplatil jednomu každému podlé skutků jeho.
13 Mimi ni Alfa na Omega, wa Kwanza na wa Mwisho, Mwanzo na Mwisho.
Jáť jsem Alfa i Oméga, počátek i konec, první i poslední.
14 “Wamebarikiwa wale wafuao mavazi yao, ili wapate haki ya kuuendea huo mti wa uzima na kuuingia huo mji kupitia kwenye malango yake.
Blahoslavení, kteříž zachovávají přikázaní jeho, aby měli právo k dřevu života, a aby branami vešli do města.
15 Huko nje wako mbwa, wachawi, wazinzi, wauaji, waabudu sanamu, na kila mtu apendaye udanganyifu na kuufanya.
Vně pak budou psi a čarodějníci, a smilníci, a vražedlníci, a modláři, i každý, kdož miluje a činí lež.
16 “Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kushuhudia mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndimi Shina na Mzao wa Daudi, ile Nyota ya Asubuhi ingʼaayo.”
Já Ježíš poslal jsem anděla svého, aby vám svědčil o těchto věcech v církvích. Já jsem kořen a rod Davidův, a hvězda jasná a jitřní.
17 Roho na bibi arusi wanasema, “Njoo!” Naye asikiaye na aseme, “Njoo!” Yeyote mwenye kiu na aje, na kila anayetaka na anywe maji ya uzima bure.
A Duch i nevěsta řkou: Poď. A kdož slyší, rciž: Přiď. A kdož žízní, přijdiž, a kdo chce, nabeř vody života darmo.
18 Namwonya kila mtu asikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki: Mtu yeyote akiongeza humo chochote, Mungu atamwongezea mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
Osvědčujiť pak každému, kdož by slyšel slova proroctví knihy této, jestliže by kdo přidal k těmto věcem, žeť jemu přidá Bůh ran napsaných v knize této.
19 Kama mtu yeyote akipunguza humo chochote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
A jestliže by kdo ujal od slov proroctví tohoto, odejmeť Bůh díl jeho z knihy života, a z města svatého, a z těch věcí, kteréž jsou napsány v knize této.
20 Yeye anayeshuhudia mambo haya asema, “Hakika, naja upesi!” Amen. Njoo, Bwana Yesu.
Takť praví ten, kterýž svědectví vydává o těchto věcech: Jistěť přijdu brzo. Amen. Přijdiž tedy, Pane Ježíši.
21 Neema ya Bwana Yesu iwe na watakatifu wote. Amen.
Milost Pána našeho Jezukrista se všechněmi vámi. Amen.

< Ufunuo 22 +