< Ufunuo 21 >

1 Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya, kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza vimekwisha kupita, wala hapakuwepo na bahari tena.
In dusan iri aseseri aso nan une uso, aseseri utuba nan utuba amari sarki uraba udandang.
2 Nikaona Mji Mtakatifu, Yerusalemu mpya, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu, ukiwa umeandaliwa kama bibi arusi aliyepambwa kwa ajili ya mumewe.
In iri nipin nilau, urushalima uso, uge sa wa suri aseseri ahira Asere utu une kasi unee uso sa abrka me barki uruma ume.
3 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka kile kiti cha enzi ikisema, “Sasa makao ya Mungu ni pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao. Yeye atakuwa Mungu wao nao watakuwa watu wake, naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.
In kunna nimyiran nidandang ahira ukpanku me nigusa ira! ahira ati cukum ta Asere nigome nan anabu, madi cukuno nan we wadi cukuno anu ame, Asere madi cukuno nigome nan we ma kuri ma cukuno Asere awe.
4 Atafuta kila chozi kutoka macho yao. Mauti haitakuwepo tena, wala maombolezo, wala kilio, wala maumivu, kwa maana mambo ya kwanza yamekwisha kupita.”
Madi visi vat maje mawe aje awe, sarki ukasu iwono, nani apuru abit, nani asoo, nani ijasi. Timum me sa tamara.
5 Naye yule aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi akasema, “Tazama, nayafanya mambo yote kuwa mapya!” Kisha akasema, “Andika haya, maana maneno haya ni ya kuaminika tena ni kweli.”
Desa ma ciki ukpanku me ma gu, ''irani ma kurzo kondi nyani ya cukuno iso'' magu, ''nyettike barki tize tigeme tuhem tini nan kadure.''
6 Akaniambia, “Imekwisha kuwa. Mimi ni Alfa na Omega, Mwanzo na Mwisho. Yeye aonaye kiu nitampa kunywa kutoka chemchemi ya maji ya uzima bila gharama yoyote.
Ma gun me, timum tigeme amara! mi mani alfa nan umega, utuba nan umasirka. Unu kunna uniwe nimei, indi nyeki me ahira ususo umei mivai.
7 Yeye ashindaye atayarithi haya yote, nami nitakuwa Mungu wake, naye atakuwa mwanangu.
Desa mare aje madi kem timum tigeme, mi idi cukuno Asere ame, me ma cukuno vana um.
8 Lakini waoga, wasioamini, wachafu, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, pamoja na waongo wote, mahali pao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Ahira ani yau nan anu zatu hem nan ana madini, nan anu huza anu, nan pebu, nan abere, nan anu makiri, nan vat anu macico, ahira aticukum tuweme. Iwono ukure. (Limnē Pyr g3041 g4442)
9 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba ya hayo mapigo saba ya mwisho akaja akaniambia, “Njoo, nami nitakuonyesha bibi arusi, yaani, mke wa Mwana-Kondoo.”
Unu indi anyimo ibe ikadura ka Asere inu sunare ma ē ahira am, ma canti muso usunare inti koni tini sunare tumara, ma gu, ''aye aba.'' Indi bezi we une uso, unee uvana ubizara.''
10 Naye akanichukua katika Roho hadi kwenye mlima mkubwa na mrefu, akanionyesha ule Mji Mtakatifu, Yerusalemu, ukishuka kutoka mbinguni kwa Mungu.
Ma zikim anyimo nijoko ma bezum nipin nilau, urushalima, unu tuzzo aseseri ahira Asere.
11 Ulikuwa ukingʼaa kwa utukufu wa Mungu kama kito chenye thamani sana, kama yaspi, safi kama kioo.
Urushalima uzin ninonzo na Asere, uzin masaa kasi apo ikirfi ikang, kasi apo uyasfa, ahuma lau.
12 Ulikuwa na ukuta mkubwa, mrefu wenye malango kumi na mawili, pakiwa na malaika kumi na wawili kwenye hayo malango. Kwenye malango hayo yaliandikwa majina ya yale makabila kumi na mawili ya Israeli.
Uzin nuzunu ujoko udandang, in tina tukum ukirau intini tire, inibe ukirau inire ya Asere atina tukumme. A nyettike tiza ukirau tire tahana Isaraila, atina tukumme.
13 Kulikuwa na malango matatu upande wa mashariki, matatu upande wa kaskazini, matatu upande wa kusini na matatu upande wa magharibi.
Ana zame tina tukum ti taru, u'arewa tina tukum t taru, ukudu tina tukum ti taru, udizi tina tukum ti taru.
14 Ukuta wa huo mji ulikuwa na misingi kumi na miwili, na juu yake yaliandikwa majina ya wale mitume kumi na wawili wa Mwana-Kondoo.
Uzunu unipin me uzin nibigirik ukirau inire, aseseri me awuna tiza ta dura ukirau ware avana ubizara.
15 Huyo malaika aliyesema nami alikuwa na ufito wa dhahabu wa kupimia huo mji, malango yake na kuta zake.
Desa ma boo tize nan mi ma canti ubinang ubata azumo abalbal bati ma batti inpin me, nan tina tukum me nan mazunu me.
16 Mji huo ulikuwa mraba, urefu wake ulikuwa sawa na upana wake. Akaupima huo mji kwa huo ufito akakuta una kama kilomita 2,200; urefu wake na upana wake na kwenda juu kwake vilikuwa sawa.
Ujokoko unioin nan upash me uzi rep. Ma batti nipin me unu binang ubassa me, ma mel madubu ukirau mare ujokoko me, (upash nan ujokoko me nan nuturi me vat u'indi me uni).
17 Akaupima ukuta wake, ulikuwa na unene wa dhiraa 144 kwa kipimo cha kibinadamu ambacho huyo malaika alikuwa akikitumia.
Ma kuri ma batti mazunu me, umeki akuri anazi in anu anazi 144, kasi ubatta wa nabu (uge sa une uni imum ubatta ibibe bikadura ka Asere).
18 Ukuta huo ulijengwa kwa yaspi hali mji wenyewe ulijengwa kwa dhahabu safi, ikingʼaa kama kioo.
Abari uzunu me unu yasta nipin me inna zumo abalbal ahuma kasi mageni mu kabsa.
19 Misingi ya kuta za mji huo zilipambwa kwa kila aina ya kito cha thamani. Msingi wa kwanza ulikuwa wa yaspi, wa pili yakuti samawi, wa tatu kalkedoni, wa nne zumaridi,
Aketi unuka uzumu me unusandi ikondi aya apo ikirfi ikang. Nu tuba yasta nu kure sa ttir, nan nu taru agat, nan nu nazi amerald.
20 wa tano sardoniki, wa sita akiki, wa saba krisolitho, wa nane zabarajadi, wa tisa yakuti manjano, wa kumi krisopraso, wa kumi na moja hiakintho, wa kumi na mbili amethisto.
Nan nu cibi onis, nan nu tasi shida sardiyas, nan nu sunare kirisolat, nan nu wito utari beril, nan nu tara totaz, nan nu kirau kirisotaras, nan nu kirau bi'inde yakinta, nan nu kirau innire ametis.
21 Yale malango kumi na mbili yalikuwa ni lulu kumi na mbili, kila lango lilikuwa limetengenezwa kwa lulu moja. Barabara kuu ya mji huo ilikuwa ya dhahabu safi ingʼaayo kama kioo.
Tina tukum ukirau tire me timum tilubulubu ukirau tini tire, kondi aya ana tukum abara ani intimum tilubu-lubu ti inde me tini. Tina tipin ina zumo abalbal ahuma kasi mageni ma huma.
22 Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-Kondoo ndio hekalu lake.
Daki ma iri udenge Asere anyimo anipin me ba, barki sa ugomo Asere, Asere me sa abari vat nan vana ubizara we wani udenge Asere ameme.
23 Ule mji hauhitaji jua wala mwezi kuuangazia, kwa sababu utukufu wa Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.
Nipin me nida nyara uwui nani upe unya nini masaa ba barki ugongon Asere wamu nya uni masaa. Vana ubizara mani upitila umeme.
24 Mataifa yatatembea yakiangaziwa na nuru yake na wafalme wa duniani wataleta fahari yao ndani yake.
Anabu wani wuzi tanu anyimo amasaa mani pin m. A gomo unee wadi en ninonzo anyimo ame.
25 Malango yake hayatafungwa kamwe, kwa maana hakutakuwa na usiku humo.
Wada korso me tina tukum tuwe me unu wui ba, sarki niye abirko me.
26 Utukufu na heshima za mataifa zitaletwa humo.
Wadi en ninonzo na nabu nanu gongon anyimo ame.
27 Lakini kitu kichafu hakitaingia humo kamwe, wala mtu yeyote atendaye mambo ya aibu au ya udanganyifu. Bali watakaoingia humo ni wale tu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
Imum ima dini ida ribe anyimo ba, nani desa ma wuza imum im'i nan macico. Senke ande sa ma nyettike niza nume anyimo utakarda uvana ubiza cas.

< Ufunuo 21 >