< Ufunuo 20 >
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Kayi ndalabona mungelo kaseluka kwilu kakute cakucalwisha kucisengu citali kayi ne ncetani yalema mu makasa. (Abyssos )
2 Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ndiye ibilisi au Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka 1,000.
Walacitanya cishinshimwe cikulukulu cisa cikute kukwiweti Satana nambi Muyungaushi, ne kumusunga ncetani kwabyaka cina cimo.
3 Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
Mungelo usa walamuwala Satana mu cisengu citali walacalapo kayi ne kubikapo cidindo cilambangeti nteti akayungaulepo mishobo ya bantu mpaka pakapite byaka cina cimo. Panyuma pakendi nakasungululwe kwa kacindi kang'ana. (Abyssos )
4 Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya kuhukumu, na nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo miaka 1,000.
Ndalabona bipuna bya Bwami palikuba pekala abo balapewa ngofu sha kombolosha, kayi ndalabona mishimu ya abo balatimbulwa mitwi cebo ca kukambauka cancinencine ncalayubululwa Yesu kayi nepacebo camaswi a Lesa. Aba ebantu balabula kukambilila cinyama nambi mukoshano waco, kayi baliya kutambula ne kulembwa cishibisho pa nkumo nambi pa bikasa byabo. Balapunduka ne kwendelesha pamo ne Klistu kwa byaka cina cimo
5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
Bantu bangi bafwa baliya kupunduka mpaka ku mapwililisho a byaka cina cimo. Uku ekupunduka kwa kutanguna kwa bantu bafwa.
6 Waliobarikiwa na walio watakatifu ni wale walio na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Hao mauti ya pili haina nguvu juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa muda wa miaka 1,000.
Bakute colwe cinene ni bantu beti bakacane lubasu mu kupundushiwa kwa kutanguna kwa bantu bafwa. Lufu lwa cibili luliya ngofu palyendibo, nibakabe beshimilumbo ba Lesa ne Klistu kayi nibakendeleshe pamo nendiye kwa byaka cina cimo.
7 Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake,
Byakapwa byaka cina cimo Satana nakasungululwe mujele,
8 naye atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni kama mchanga ulioko pwani.
kayi nakenga akuyungaula mishobo mu mbasu shina shapa cishi capanshi, mishobo ikute kukwiweti Gogi ne Magogi. Satana nakababunganye pamo bantu bangi eti museya wa mu mulonga kwambeti balibambile kulwana nkondo.
9 Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.
Balamwaikila pa cishi conse capanshi balaushinguluka musasa bantu ba Lesa ne munshi ngwasuni. Nsombi kwalesa mulilo kwilu walabononga bonse.
10 Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Lino Satana walikubayungaula balamuwala mu lwenje lwa mulilo wa sulufule, uko cinyama cisa ne mushinshimi mubepeshi nkobalikuba bawalwa. Uko nkoti bakapenshewenga munshi ne mashiku kwamuyaya. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha enzi pamoja na yeye aliyeketi juu yake. Dunia na mbingu zikaukimbia uso wake wala mahali pao hapakuonekana.
Lino ndalabona cipuna ca Bwami cituba cinene, cishi ne kwilu byalamubundumuka uyo walikuba wekalapo, kayi biliya kubonekapo.
12 Nami nikawaona wafu wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.
Kayi ndalabona bantu bafwa bamakulene ne batwanike kabali bemana ku cipuna ca Bwami. Mabuku alacalulwa, kayi libuku nalimbi lyalacalulwa, ili elibuku lya buyumi. Bafwa nibakomboloshewe kwelana ne micito yabo yalembwa mu mabuku awo.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
Neco lwenje lwalapulisha balafwilamo, nalo lufu ne cishi cabafu byalapulisha abo balikubamo. Bonse balomboloshewa kwelana ne micito njobalikwinsa. (Hadēs )
14 Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Lino lufu ne cishi cabafu byalawalwa mu lwenje lwa mulilo. lwenje lwa mulilo elufu lwa cibili. (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Bonse balabula kulembwa maina mu libuku lya buyumi balawalwa mu lwenje lwa mulilo. (Limnē Pyr )