< Ufunuo 20 >
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
I vidjeh anðela gdje silazi s neba, koji imaše kljuè od bezdana i verige velike u ruci svojoj. (Abyssos )
2 Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ndiye ibilisi au Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka 1,000.
I uhvati aždahu, staru zmiju, koja je ðavo i sotona, i sveza je na hiljadu godina,
3 Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
I u bezdan baci je, i zatvori je, i zapeèati nad njom, da više ne prelašæuje naroda, dok se ne navrši hiljada godina; i potom valja da bude odriješena na malo vremena. (Abyssos )
4 Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya kuhukumu, na nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo miaka 1,000.
I vidjeh prijestole, i sjeðahu na njima, i dade im se sud, i duše isjeèenijeh za svjedoèanstvo Isusovo i za rijeè Božiju, koji se ne pokloniše zvijeri ni ikoni njezinoj, i ne primiše žiga na èelima svojima i na ruci svojoj; i oživlješe i carovaše s Hristom hiljadu godina.
5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
A ostali mrtvaci ne oživlješe, dokle se ne svrši hiljada godina. Ovo je prvo vaskrsenije.
6 Waliobarikiwa na walio watakatifu ni wale walio na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Hao mauti ya pili haina nguvu juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa muda wa miaka 1,000.
Blažen je i svet onaj koji ima dijel u prvom vaskrseniju; nad njima druga smrt nema oblasti, nego æe biti sveštenici Bogu i Hristu, i carovaæe s njim hiljadu godina.
7 Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake,
I kad se svrši hiljada godina, pustiæe se sotona iz tamnice svoje,
8 naye atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni kama mchanga ulioko pwani.
I iziæi æe da vara narode po sva èetiri kraja zemlje, Goga i Magoga, da ih skupi na boj, kojijeh je broj kao pijesak morski.
9 Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.
I iziðoše na širinu zemlje, i opkoliše oko svetijeh, i grad ljubazni; i siðe oganj od Boga s neba, i pojede ih.
10 Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
I ðavo koji ih varaše bi baèen u jezero ognjeno i sumporito, gdje je zvijer i lažni prorok; i biæe muèeni dan i noæ va vijek vijeka. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha enzi pamoja na yeye aliyeketi juu yake. Dunia na mbingu zikaukimbia uso wake wala mahali pao hapakuonekana.
I vidjeh veliki bijel prijestol, i onoga što sjeðaše na njemu, od èijega lica bježaše nebo i zemlja, i mjesta im se ne naðe.
12 Nami nikawaona wafu wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.
I vidjeh mrtvace male i velike gdje stoje pred Bogom, i knjige se otvoriše; i druga se knjiga otvori, koja je knjiga života; i sud primiše mrtvaci kao što je napisano u knjigama, po djelima svojima.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
I more dade svoje mrtvace, i smrt i pakao dadoše svoje mrtvace; i sud primiše po djelima svojima. (Hadēs )
14 Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
I smrt i pakao baèeni biše u jezero ognjeno. I ovo je druga smrt. (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
I ko se ne naðe napisan u knjizi života, baèen bi u jezero ognjeno. (Limnē Pyr )