< Ufunuo 20 >
1 Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa ameshika ufunguo wa lile Shimo na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos )
Hanchu invân renga vântîrton juong chum a kuta khurmongboi chabi le Zingjirûi lienpa chôi ku mua. (Abyssos )
2 Akalishika lile joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ndiye ibilisi au Shetani, naye akamfunga kwa muda wa miaka 1,000.
Dragon, tienlâia rûlpui, maha Diabol, aninônchu Soitan hah a sûra, kum isâng khat rangin a khitbel zoi.
3 Akamtupa katika lile Shimo, akamfunga humo na kulitia lakiri, ili kumzuia asiendelee kudanganya mataifa mpaka hiyo miaka 1,000 itimie. Baada ya hayo lazima afunguliwe kwa muda mfupi. (Abyssos )
Vântîrton'n khurmongboia han a mathâk paia, a khâra, kum isâng ahek mâka chu namtinngei a huong khâi loina rangin a kalrap zoi. Masuole chu ama hah chomolte rangin mojôk ngêt nîng atih. (Abyssos )
4 Kisha nikaona viti vya enzi vilivyokuwa vimekaliwa na hao waliopewa mamlaka ya kuhukumu, na nikaona roho za wale waliokatwa vichwa kwa sababu ya ushuhuda wa Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawakuwa wamemsujudu huyo mnyama wala sanamu yake wala hawakupokea ile chapa yake kwenye vipaji vya nyuso zao au kwenye mikono yao. Wakawa hai na kutawala pamoja na Kristo miaka 1,000.
Hanchu rêngsukmunngei ku mua, a chunga ânsungpu ngei hah roijêk thei rangin rachamneina pêkin an oma. Jisua'n chongtak a phuong le Pathien chong an misîr sika an lutana omngei rathangei khom ku mu sa. Anni ngei han sarâng le arimil chubaimûk mak ngeia, sarâng sînthona khom an machalngeia mo, aninônchu an kutngeia mo khom dôn uol mak ngei. Anni ngei hah an hong ringa, male Khrista leh rêngngei anghan kum isâng roijêk rangin an om zoi.
5 (Wafu waliosalia hawakufufuka mpaka ilipotimia hiyo miaka 1,000.) Huu ndio ufufuo wa kwanza.
(Mithi dangngei hah chu kum isâng ahek mâka chu la ring mak ngei.) Mahi thina renga inthoinôkna masatak ani.
6 Waliobarikiwa na walio watakatifu ni wale walio na sehemu katika ufufuo wa kwanza. Hao mauti ya pili haina nguvu juu yao, bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye kwa muda wa miaka 1,000.
Ma inthoinôkna masataka inchelpu ngei chu ânthieng le vânsa tatak an ni. Thi inikna han an chunga rachamnei khâi maka; anni ngei hah Pathien le Khrista ochaingei nîng an ta, male ama leh kum isâng khat roijêk an tih.
7 Hiyo miaka 1,000 itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka kifungoni mwake,
Kum isâng ahek suole chu, Soitan hah ân tângna renga mojôk nîng a ta,
8 naye atatoka ili kuyadanganya mataifa yaliyopo katika pembe nne za dunia, yaani, Gogu na Magogu apate kuwakusanya tayari kwa vita. Idadi yao ni kama mchanga ulioko pwani.
male ama han namtinngei rammuol pumpui chunga chekinchâingei huong rangin sêng a ta, Gog le Magog. Soitan'n râlbuola rangin anni ngei hah hong mintûp ngei a ta, an tamtie chu tuikhanglien panga sietsai tamdôr nîng an tih.
9 Nao walitembea katika eneo lote la dunia, wakaizunguka kambi ya watakatifu na ule mji unaopendwa. Lakini moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza.
Pilchung pumpuia an inzara male Pathien mingei rubuk le khopuilien a lungkham ngâi hah an huola. Aniatachu invân renga mei ajuong chuma anni ngei hah akâng minmang ngei zoi.
10 Naye ibilisi aliyewadanganya akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti walikokuwa wametupwa yule mnyama na yule nabii wa uongo. Watateswa humo usiku na mchana, milele na milele. (aiōn , Limnē Pyr )
Hanchu Diabol, anni ngei huongpu, hah sarâng le dêipu dikloi an lei vôrpaina mei le kât dîla han an vôrpai zoia; male anni ngei hah tuonsôt tuonsôtin sûn le jân dûkphenêng bitin om an tih. (aiōn , Limnē Pyr )
11 Kisha nikaona kiti kikubwa cheupe cha enzi pamoja na yeye aliyeketi juu yake. Dunia na mbingu zikaukimbia uso wake wala mahali pao hapakuonekana.
Hanchu rêngsukmun ngoi lienpa inkhat le a chunga ânsung ngâipu hah ku mua. Amakung renga han pilchung le invân an rotpaivinga, male mu nôk nikhâi mak ngei.
12 Nami nikawaona wafu wakubwa na wadogo, wakiwa wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi na vitabu vikafunguliwa. Pia kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni kitabu cha uzima. Hao wafu wakahukumiwa sawasawa na matendo yao kama yalivyoandikwa ndani ya hivyo vitabu.
Male mithi ngei, alien achîn ân-angsarin, rêngsukmun motona an indingin ku mua. Lekhabungei ânphara, male lekhabu dang ringna lekhabu khom ânphar sa. Mithi ngei hah an sin lei tho dungjûiin, lekhabungeia achuong anghan an roijêkin an om zoi.
13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake, nayo mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake. Kila mtu akahukumiwa kulingana na yale aliyoyatenda. (Hadēs )
Hanchu tuikhanglien han asûnga mithi omngei hah ahong mojôk paia. Thina le mithi khuon an sûnga mithi omngei hah an hong mojôk ngei sa. Male anrêngin an sin lei tho dungjûiin an roijêkin an om zoi. (Hadēs )
14 Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto. (Hadēs , Limnē Pyr )
Hanchu thina le mithi khuo ngei hah meidîla vôrpaiin an om zoi. (Hi meidîl hih thi inikna ani.) (Hadēs , Limnē Pyr )
15 Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto. (Limnē Pyr )
Tukhom ringna lekhabua an rimingngei mizieka omloipu ngei kai chu meidîla han an vôrpai ngei zoi. (Limnē Pyr )