< Ufunuo 19 >

1 Baada ya haya nikasikia sauti kama ya umati mkubwa mbinguni wakipiga kelele wakisema: “Haleluya! Wokovu na utukufu na uweza ni vya Mungu wetu,
Hi teng zawkciang in van pan mi tampi aw ngingtak in, Halelujah; ngupna le minthanna, zatakna le vangletna te sia Topa i Pathian tung ah om hi:
2 kwa maana hukumu zake ni za kweli na za haki. Amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeuharibu ulimwengu kwa uzinzi wake. Mungu amemlipiza kisasi kwa ajili ya damu ya watumishi wake.”
Banghangziam cile Ama thukhenna te maan in thutang hi: banghangziam cile leitung buppi paktat na taw a siasak a lian pumpizuak nu sia thukhen zo hi, a khut sung ah Topa sal te i thisan man zong thukkik zo hi, ci ka za hi.
3 Wakasema tena kwa nguvu: “Haleluya! Moshi wake huyo kahaba unapanda juu milele na milele.” (aiōn g165)
Taciang amate in, Halelujah, ci kik uh hi, Taciang ama ki hal na meikhu sia a tawntung in kato hi. (aiōn g165)
4 Wale wazee ishirini na wanne pamoja na wale viumbe wanne wenye uhai wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu, aliyekuwa ameketi kwenye kile kiti cha enzi. Wakasema kwa sauti kuu: “Amen, Haleluya!”
Upa kul le li le nganhing li te in kumpi tokhum tung ah a to Pathian mai ah kun in bia uh a, Amen; Halelujah, ci uh hi.
5 Kisha sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi, ikisema: “Msifuni Mungu wetu, ninyi watumishi wake wote, ninyi nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa!”
Kumpi tokhum pan hong nging aw sia, Ama sal te le Ama a zakta a no a lian note theampo in i Pathian pok vun, ci hi.
6 Kisha nikasikia sauti kama ya umati mkubwa, kama sauti ya maji mengi yaendayo kasi na kama ngurumo kubwa ya radi wakipiga kelele wakisema: “Haleluya! Kwa maana Bwana Mungu wetu Mwenyezi anatawala.
Mihon tampi te aw sia tui tampi te aw le vanto kithing vadum bang tatak in ka za a, Halelujah: banghangziam cile Topa a thahat Pathian in uk hi, ci hi.
7 Tufurahi, tushangilie na kumpa utukufu! Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo imewadia na bibi arusi wake amejiweka tayari.
Eite angtang in lungdam tawng, taciang Ama upatna pia tawng: banghangziam cile Tuuno mopoai hun hong theng zo a, a zi zong kipua sa in kithoai zo hi.
8 Akapewa kitani safi, nyeupe inayongʼaa, ili avae.” (Hiyo kitani safi inawakilisha matendo ya haki ya watakatifu.)
Ama sia puan neamno, a thiang le a pak sil thei natu thu pia hi: tua puanneam pha sia mithiangtho te i thutang suana a hihi.
9 Ndipo malaika akaniambia, “Andika: ‘Wamebarikiwa wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwana-Kondoo!’” Naye akaongeza kusema, “Haya ndiyo maneno ya kweli ya Mungu.”
Tuuno mopoai sung ah nitak an ne tu in a kisam te thuphatoai te a hihi, ci in at in, hong ci hi. Hi thu sia Pathian i a son tatak thu a hihi, hong ci hi.
10 Ndipo nikaanguka kifudifudi miguuni pake ili kumwabudu, lakini yeye akaniambia, “Usifanye hivyo! Mimi pia ni mtumishi mwenzako pamoja na ndugu zako walio na ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu! Maana ushuhuda wa Yesu ndio roho ya unabii.”
Ama bia tu in a peang ah ka kun ciang in, ama in, hong bia heak in: keima zong na naseppui, sal ka hihi, Jesus i tetti panna a nei na suapui te i naseppui zong ka hi hu in: Pathian bia zaw in: banghangziam cile mailam thu pualakna thaa sia Jesus Christ tetti panna a hihi.
11 Kisha nikaona mbingu imefunguka na hapo mbele yangu akiwepo farasi mweupe, ambaye yeye aliyempanda aliitwa Mwaminifu na Kweli. Yeye huhukumu kwa haki na kufanya vita.
Taciang van a ki hong ka mu a, en vun siphu kang; taciang siphu a to pa min sia Thuman le Thutak, kici a, thutang suana taw thukhen in ngalsim hi.
12 Macho yake ni kama miali ya moto na juu ya kichwa chake kuna taji nyingi. Ana jina lililoandikwa ambalo hakuna mtu yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe.
A mit te sia meikuang taw kibang a, a lutung ah kumpi lukhu tam mama nei hi; a at sa min nei napi ama simngawl kuama in a he bua hi.
13 Amevaa joho lililochoviwa katika damu, na Jina lake ni “Neno la Mungu.”
Thisan sung ah a kipap puan sil a: A min sia Pathian Kammal, kici hi.
14 Majeshi ya mbinguni walikuwa wakimfuata, wakiwa wamepanda farasi weupe, hali wamevaa mavazi ya kitani safi, nyeupe na nzuri.
Vantung ngalkap te in siphu kang te to in zui hi, amate zong puan neam pha, a thiang le a pak te sil uh hi.
15 Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao kwa huo atayaangusha mataifa. “Atayatawala kwa fimbo yake ya utawala ya chuma.” Hulikanyaga shinikizo la mvinyo wa ghadhabu ya Mungu Mwenyezi.
Minam theampo satna tu a kam sung pan in a hiam mama namsau pusuak a: thik ciangkhut taw uk tu hi: na theampo a hi thei Pathian i a lauhuai thin-ukna sapit sukna mun dum sia tuancil hi.
16 Kwenye joho lake na paja lake pameandikwa jina hili: Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana.
Kumpi theampo i kumpi, le to theampo i to a kici a min sia a puan le a phei tung ah ki at hi.
17 Nami nikamwona malaika amesimama ndani kwenye jua, akaita ndege wote warukao angani kwa sauti kuu, “Njooni, kusanyikeni kwa ajili ya karamu kubwa ya Mungu,
Vantungmi khat sia ni sung ah a ding ka mu a; a ngingtak in au hi, vantung ah a leang vacim theampo, hongpai tavun a lian Pathian i nitak an neak poai sung ah hong ki kaikhawm tavun;
18 ili mpate kula nyama ya wafalme na ya majemadari, ya mashujaa, ya farasi na ya wapanda farasi, nyama ya wanadamu, wote walio huru na watumwa, wadogo na wakubwa.”
Tabang in kumpi te sa, ngalkapmang te sa, a thahat te sa, siphu te le a to te i sa, sal le a suakta te, a no a lian ci ngawl in, mi theampo te i sa na ne tu uh hi, ci hi.
19 Kisha nikamwona yule mnyama na wafalme wa dunia pamoja na majeshi yao wakiwa wamekusanyika pamoja ili kufanya vita dhidi ya yule aliyempanda farasi pamoja na jeshi lake.
Sapi le leitung kumpi te, a ngalkap te in siphu tung to pa le a ngalkap te do tu in a ki kaikhawm ka mu hi.
20 Lakini yule mnyama akakamatwa pamoja na huyo nabii wa uongo ambaye alikuwa amefanya ishara kwa niaba ya huyo mnyama, ambaye kwa ishara hizi aliwadanganya wale waliopokea chapa ya huyo mnyama na kuiabudu sanamu yake. Hawa wawili wakatupwa wakiwa hai ndani ya ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Sapi sia man thei uh hi, taciang sapi i ceptena zong nga a, a milim a bia te theam in sapi mai ah nalamdang a tatuam a lak leilot kamsang zong man thei uh hi. Hi te a ni in kan taw a kuang tawn tung meiliipi sung ah a nungta in khiasuk hi. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Wale waliosalia waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule aliyekuwa amempanda farasi nao ndege wote wakajishibisha kwa nyama yao.
A dang a tanglai te sia siphu tung to pa kam sung pan a pusuak namsau taw thalup thuak uh hi; amate i sa sia vacim te in a khamteak in ne uh hi.

< Ufunuo 19 >