< Ufunuo 17 >
1 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba akaja akaniambia, “Njoo, nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, aketiye juu ya maji mengi.
Hanchu vântîrton sari ngei khuriâi sari chôi ngei lâia inkhat a honga, ko kôm, “Hong roh, tuidung tamtak kôla sin khopuilien roiinpuia notizuor inthang dûkmintonga om rang tie hah nang min mûng ki tih, a tia.
2 Yule ambaye wafalme wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani walilewa kwa mvinyo wa uzinzi wake.”
Pilchunga rêngngeiin amanu leh an inrêpui ngâia, pilchunga mingei murdi khom an inrêpuina uain nêkin an inrûi ngâi.”
3 Kisha yule malaika akanichukua katika Roho akanipeleka jangwani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
Ratha'n ni manga, male vântîrtonin ramchâra ni tuonga. Mahan Pathien êrona riming mizieka sip, lungei sari le rikingei sôm dôn, sarâng seninlâr chunga chuong nupang ku mua.
4 Huyo mwanamke alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi wake.
Nupangnu hah puon senduk le seninlârin ân voa, rângkachak retheingei, lungmantamngei le lungintêrngei leh ân voa. A kuta mitir om le a hurna porinchena neinunngeia sip rângkachak khuri a chôia.
5 Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa pameandikwa jina: “Siri, Babeli Mkuu, Mama wa makahaba na wa machukizo ya dunia.”
Amanu machala han riming, aomtie inthup, “Babylon roiinpui, rammuola notizuorngei murdi le pinkuohurngei nû,” tiin miziekin aoma.
6 Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Yesu. Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu sana.
Male ha nupangnu hah Pathien mingei thisen le Jisua ranga iemom sika thata omngei thisen inrûiin ku mua. Amanu hah ku mu lehan, ka kamâm sabaka.
7 Ndipo yule malaika akaniambia, “Kwa nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, mwenye vichwa saba na pembe kumi.
“Itho mo na kamâm baka?” tiin vântîrton han mi rekela. Nupangnu le a chuongna sarâng lungei sari le rikingei sôm dôn omtie inthup nang ril ki tih.
8 Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos )
Sarâng hah voikhat chu a lei ringa, aniatachu ring khâi maka; khurmongboi renga hong jôk a ta, inmangna han sêng atih. Pilchunga miriem omngei, rammuol insieng mâna ringna lekhabua an rimingngei mizieka omloi ngei han sarâng hah an mu tena chu anrêngin kamâm an tih. Voikhat chu a ringa; atûn chu ring khâi maka, hannirese la hôn lang nôk atih. (Abyssos )
9 “Hapa ndipo penye wito wa akili pamoja na hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba ambavyo huyo mwanamke amevikalia.
Mahin vârna le rietheina anâng. Lu sari ngei hah nupangnu insungna muol sari ngei hah an ni. Anni ngei hah rêngngei sari ngei khom an ni sa:
10 Pia hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka, yupo mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja, atalazimika kukaa kwa muda mfupi.
rangnga ngei chu an inleta, inkhat chu alân lala, inkhat chu la hong inlal maka, hong inlal khomrese chomolte vai roijêk atih.
11 Yule mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni miongoni mwa wale saba, naye anakwenda kwenye maangamizi yake.
Male sarâng voikhat alei ringa, aniatachu aring khâi loi khom hah sari ngei kâra inkhat rêngpa irietna ania, inmangna tieng a se tir zoi ani.
12 “Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa saa moja pamoja na yule mnyama.
“Riki sôm nu mu ngei hah rêngngei sôm ala hônlal loi ngei hah an ni, aniatachu sarâng le rêngngei anghan konta khat chu inlal rangin rachamneina pêk la nîng an tih.
13 Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.
Ma sôm ngei hah anrêngin an neinunkhîn dôn munkhat ania, male an sinthotheina le rachamneina hah sarâng kôm pêk an tih.
14 Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.”
Belrite hah doiin inbuonpui an ta; aniatachu Belrite hah pumangei Pumapa le rêngngei Rêngpa ani sikin anni ngei hah mene ngei a ta, a menena hah a koi ngei, a thangsai ngei, le taksônoma ama nûkjûipungei khomin changsa an tih.”
15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha.
Ma vântîrton nanâk han ko kôm, “Notizuornu insungna ngâi tuingei nu mu hah, namtinngei, mingei, jâtngei le chongngei an ni, a tia.
16 Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba, watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama yake na kumteketeza kwa moto.
Rikingei sôm le sarâng nu mu ngei han notizuornu hah dem an ta; a neinun dôn ngei murdi lâk pe let an ta, akorongin mâkrak an tih; a meh khom sâk an ta, mei leh hâlminmang an tih.
17 Kwa maana Mungu ameweka mioyoni mwao kutimiza kusudi lake kwa kukubali kumpa yule mnyama mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia.
Pathien chongngei le a neinunkhînngei ahongtung adik theina rangin sarângin roiajêkna rangin an sinthotheina hah a kôma pêk rangin Pathien'n an mulungngei sûnga inruolna a dar pe ngeia.
18 Yule mwanamke uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.”
“Nupangnu nu mu hah khopuilien roiinpui pilchunga rêngngei chunga roijêk ngâipu hah ani.”