< Ufunuo 17 >

1 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba akaja akaniambia, “Njoo, nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, aketiye juu ya maji mengi.
Owamwabho wa ontumi saba yaline vitasa saba ohwinzele nambozye, “Enza, embahulanje endonje ezya malaya ogosi yakhala mmenze aminji,
2 Yule ambaye wafalme wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani walilewa kwa mvinyo wa uzinzi wake.”
hwashele amwene ebhensi bhabhombile embombo enzye omalaya nape pamwanya yevilozu evwe umalaya wakwe bhabhakhala pansi bhalemewe.”
3 Kisha yule malaika akanichukua katika Roho akanipeleka jangwani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
Ontumi wanega hu Mpepo paka hwipoli nalolile oshe akheye pamwanya pamnyama oshamwamu yamemile endigo. Omnyama yalinamatwe saba nempeta kumi.
4 Huyo mwanamke alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi wake.
Oshe anvenesewe omwenda ozambalau no shamwamu alenganyiziwe hudhahabu amawe egemali nehulu ali akhatilie mkhono gwakwe eshikombe eshe dhahabu shashimemile evintu evyavishe evye chafu ewe malaya wakwe.
5 Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa pameandikwa jina: “Siri, Babeli Mkuu, Mama wa makahaba na wa machukizo ya dunia.”
Pamwanya pa maso gakwe lisimbilye itawa elye sili: “BABELI ENGOSI, ONYINA OWE MALAYA NO WE VINTU EVYA VISYE EVYENSI.”
6 Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Yesu. Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu sana.
Nalola aje oshe oyo aliakholilwe hwidala elya bheweteho ni danda lya bhafwiye hwaji wa Yesu. Hwa shele ehalolile, ehanswijile tee.
7 Ndipo yule malaika akaniambia, “Kwa nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, mwenye vichwa saba na pembe kumi.
Lelo ontumi wambozia, “Yenu oswiga? Embahubhozye emaana eyashe no mnyama yahumwega (omnyama oyo owe matwe saba nazila empeta kumi).
8 Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos g12)
Omnyama yohalolile ahali, nomo nantele eshi, lelo alitayali azubhe hwilende lyashele selili nomalishilo. Nantele abhawendelele nonankanye bhala bhabhakhala pamwanya pansi bhala bhashele amatwa gabho sega simbilwe hushitabu eshe womi ahwande abhewe omsingi ogwensi - bhaiswiga nabhaluulola omnyama yahali, aje nomo eshi, lelo ali kalibu ahwenze. (Abyssos g12)
9 “Hapa ndipo penye wito wa akili pamoja na hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba ambavyo huyo mwanamke amevikalia.
Owito owu huajili yehaki zyazili ne mpyana. Amatwe saba magamba saba pashele oshe akheye pamwanya pakwe.
10 Pia hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka, yupo mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja, atalazimika kukaa kwa muda mfupi.
Bhape nantele bhamwene saba. Bhamwene bhasanu bhagwiye uwa mwabho aweli, nowamwabho sayenzele asele; owakati nayenza, abhakhale hashe wene.
11 Yule mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni miongoni mwa wale saba, naye anakwenda kwenye maangamizi yake.
Omnyama yahali, eshinomo wape nantele, mwene wa nane; lelo wamwabho nabhala amwene saba, naabhala hwahwuli hwunankanye.
12 “Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa saa moja pamoja na yule mnyama.
Zila empeta kumi zyohazilolile bhamwene kumi bhashele sebhaposheye oumwene, lelo bhabhaposhele amadalaka nashi mwene hwisala limo pandwemo no mnyama.
13 Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.
Ebha bhali noshauli humo, bhabha hupele enguvu zyabho namadalaka ola omnyama.
14 Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.”
Bhabhalweibho nabhene no Mwana Ngole. Lelo Omwana Ngole ayibhamene afwatanaje gosi wa waigosi na mwene wa mwene - na hwa mwene takwiziwe, tachaguliwe, tatiwamiwa.”
15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha.
O Malaika wambozya, “Gala amenze gogalolile, epa pakheye ola omalaya bhantu amakhomano, amataifa ne njango.
16 Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba, watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama yake na kumteketeza kwa moto.
Zila empeta kumi zyozilolile - ezyo nola omnyama bhaihumwega ula omalaya bhape bhabhahubhombe wene na welele bhabhahulye obele gwakwe na bhabha ulongolezye nomwoto.
17 Kwa maana Mungu ameweka mioyoni mwao kutimiza kusudi lake kwa kukubali kumpa yule mnyama mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia.
Maana Ongolobhe abheshele humoyo gabho anyemle husudi humweteho yahupele omnyama enguvu zyabho ahutabhale paka amazu ga Ngolobhe pagabhamalishe.
18 Yule mwanamke uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.”
Ola oshe yalolile liboma igosi wautabhala pamwanya eyamwene ebhensi.”

< Ufunuo 17 >