< Ufunuo 17 >
1 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na yale mabakuli saba akaja akaniambia, “Njoo, nitakuonyesha adhabu ya yule kahaba mkuu, aketiye juu ya maji mengi.
Win mor nob tomange wucak nikbereu bro tabangum ki kwalyatimm mbiru, bou yi ye, man mwen warka bulongeko durko wo mwati nawye burtume wro yim dor meemtimm bo kila-kila nineu.
2 Yule ambaye wafalme wa dunia walizini naye na watu wakaao duniani walilewa kwa mvinyo wa uzinzi wake.”
Kange co liyabo dor bitinereu ma bwiratum tiye ki nyom burotum cembo yorbeu, dok mbo yim dor bitineren wo masti.
3 Kisha yule malaika akanichukua katika Roho akanipeleka jangwani. Huko nikamwona mwanamke mmoja ameketi juu ya mnyama mwekundu aliyejaa majina ya kumkufuru Mungu mwili mzima. Mnyama huyo alikuwa na vichwa saba na pembe kumi.
La nii tomange wucakeu, tu ye mor yuwa tangbek yaken ki mo mor kiye, la man to nawiye yim dor bisirero fiyer dimri denti dilakar. bisiro co wi ki doiro riber kange sume ri kwob.
4 Huyo mwanamke alikuwa amevaa mavazi ya rangi ya zambarau na nyekundu, akimetameta kwa dhahabu, vito vya thamani na lulu. Mkononi mwake alikuwa ameshika kikombe cha dhahabu kilichojaa mambo ya machukizo na uchafu wa uzinzi wake.
Nawiye comerum ki kulen do yiwe kange-fiye cin cor cinen mwin kange tetendo mwin kange tetendo ki kiyemereu. co tam ki kwelmwenge mwine dimki kulen burotumer kange bwiratum kil-kila. kange duti brira tumeceu.
5 Kwenye kipaji chake cha uso palikuwa pameandikwa jina: “Siri, Babeli Mkuu, Mama wa makahaba na wa machukizo ya dunia.”
Tikob ceb den mulangum wi ki yurke. “Babila durko” Nee nos burotumed kange dike bwira dor bitiuereu.
6 Nikaona kuwa huyo mwanamke alikuwa amelewa kwa damu ya watakatifu, yaani, damu ya wale watu waliouawa kwa ushuhuda wa Yesu. Nilipomwona huyo mwanamke, nilistaajabu sana.
Ma to nawiye co nom briyale nubo bwang kwama rin tiyeu ma to coti kange rubo ci twali ker den yeecureu, kambo matoce ri la man nyumangi ki bi com.
7 Ndipo yule malaika akaniambia, “Kwa nini unastaajabu? Nitakufafanulia siri ya huyo mwanamke na huyo mnyama aliyempanda, mwenye vichwa saba na pembe kumi.
la nii tomange wucakeu me ye, ye bwimo nyumang tiye? man yi ren yurke nawiyeu kange bisiro wo tuceu, bisiro wo ki dotiro riber kange cumeri kwobeu.
8 Huyo mnyama ambaye ulimwona, wakati fulani alikuwepo, lakini sasa hayupo, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizo yake. Watu waishio duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwepo wakati fulani, na sasa hayupo, lakini atakuwepo. (Abyssos )
Bisiro wo mo to kwattiyeu, mari can, darom a ceruti-mor buwarke cuwau, la can yakan twalan ka. Nubo yim dor bitinereu, ki kulka dor bitinereu. ci an nyuma ngi na ci tobisiro wo wi kwatti mani can, la da-dom bouka. (Abyssos )
9 “Hapa ndipo penye wito wa akili pamoja na hekima. Vile vichwa saba ni vilima saba ambavyo huyo mwanamke amevikalia.
Bisor wo ki mbo wo ki yulaneu, doro ribereu bangtini niber wo niber wo nawieu yim dor cire.
10 Pia hivyo vichwa saba ni wafalme saba ambao miongoni mwao watano wamekwisha kuanguka, yupo mwingine hajaja bado, lakini atakapokuja, atalazimika kukaa kwa muda mfupi.
Cin liyab niber tak, liyabo nung yargum, kum win catiye, wineu la bo bouti, la na bouri ca ti na kumtium bo bidobece.
11 Yule mnyama aliyekuwepo wakati fulani na ambaye sasa hayupo, yeye ni mfalme wa nane. Ni miongoni mwa wale saba, naye anakwenda kwenye maangamizi yake.
Bisiro wi kwatti, na wo maniyeu, con liya naraubeu, coki wo kange brombo ribereu
12 “Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa saa moja pamoja na yule mnyama.
Cumei wo mo to kwobeu liywab kwob wo ba yo ci bo yo buri, la ci ar yo bikwando na liyabe ciyeu ra kang kereko wine kange bisiro.
13 Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.
Neerciyero wir cin neker liar ciro kange bikwan ciyero bisiro ni.
14 Watafanya vita na Mwana-Kondoo, lakini Mwana-Kondoo atawashinda kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme. Yeye atakuwa pamoja na watu wake walioitwa ambao ni wateule wake na wafuasi wake waaminifu.”
Ci am tekwen kan be bar kwameu, la be bar kwame am cam liya liyabe la war kange co ci bro cocoweu, cok-cokeu kange wob bilenker.
15 Kisha yule malaika akaniambia, “Yale maji uliyoyaona yule kahaba akiwa ameketi juu yake ni jamaa, makutano, mataifa na lugha.
Nii tomange wiicokeu yi ye, mwembo wo mwa toen ro nawúye burotume yim dor cereu, nob mwerkako kilo-uẃa bitenni kange njini.
16 Zile pembe kumi ulizoziona, pamoja na huyo mnyama, watamchukia huyo kahaba, watamfilisi na kumwacha uchi, watamla nyama yake na kumteketeza kwa moto.
Cumeri m'ber wo mo toweu-ci kange am ko nawiye burotumeu. ci an kwinco na to kwanjer cero ci an narge ceu ci an twim co ki kira gwam.
17 Kwa maana Mungu ameweka mioyoni mwao kutimiza kusudi lake kwa kukubali kumpa yule mnyama mamlaka yao ya utawala mpaka maneno ya Mungu yatakapotimia.
Wori kwama yoti reer cirger na ci ma dike co cirye ki ciyaka cek, na ci rener bikwan liyare ciyero bisiro nin, ker kwamaro dim rimre.
18 Yule mwanamke uliyemwona ni ule mji mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.”
Nawiye mo toweu cocinamloro dirko ki bikwan a ta liyabo dor bitinero tiye.