< Ufunuo 16 >

1 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mle Hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, “Nendeni, mkayamwage duniani hayo mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
Napeliki sauti mbaha jhikuta kuhoma see jhitakatifu na jhikajobha kwa bhala malaika saba, “Lotayi na ukajhitisiajhi panani pa dunia mabakuli saba gha dhahabu jha K'yara.”
2 Malaika wa kwanza akaenda akalimwaga hilo bakuli lake juu ya nchi. Majipu mabaya yenye maumivu makali yakawapata wale watu wote waliokuwa na chapa ya yule mnyama na walioabudu sanamu yake.
Malaika ghwa kuanza akalota ni kujhitisya libakuli lya muene mu dunia; Majeraha mabhibhi na ghenye maumivu makali ghahidili kwa bhanu bhenye alama jha mnyama, kwa bhala ambabho bhaabuduili sanamu jhiake.
3 Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa ndani ya bahari kikafa.
Malaika ghwa bhubhele ajhitisyi bakuli lya muene mu bahari; jhikajha kama damu jha munu jha afuili, ni kila kiumbe kiomi mu bahari kyafuili.
4 Malaika wa tatu akalimwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, nazo zikawa damu.
Malaika ghwa tatu ajhitisyi libakuli lya muene mu fiholo ni mu chemichemi sya masi; syajhele damu.
5 Ndipo nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema: “Wewe una haki katika hukumu hizi ulizotoa, wewe uliyeko, uliyekuwako, Uliye Mtakatifu, kwa sababu umehukumu hivyo;
Nap'eliki malaika ghwa masi ijobha, “Bhebhe ghwe mwaminifu-mmonga jha ijhele ni ghwajhele, mtakatifu- kwandabha usiletili hukumu e'se.
6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu wako na manabii wako, nawe umewapa damu wanywe kama walivyostahili.”
Kwandabha bhajhitisi damu sya bhaamini ni manabii, ubhapelili bhene kunywa damu; Ndo kyabhilondeka.”
7 Nikasikia madhabahu ikiitikia, “Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni kweli na haki.”
Napeliki madhabahu ghijibu, “Ena! Bwana K'yara jhaajhele ni mamlaka panani pa fyoha, hukumu sya bhene sya bhukweli ni haki.”
8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto.
Malaika ghwa nne ajhitisyi kuhoma mu libakuli lya muene panani pa lijobha, na lyapelibhu ruhusa jha kupiesya bhanu kwa muoto. Bhanyanyibhu kwa lijoto lya kutishila, na
9 Watu wakaunguzwa na hilo joto kali, wakalaani Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya mapigo haya, tena wakakataa kutubu na kumtukuza Mungu.
bhalikufuru lilobhi lya K'yara mwenye nghofu panani pa mapigo ghoha. Bhatubuili lepi wala kumpela muene utukufu.
10 Malaika wa tano akamimina bakuli lake kwenye kiti cha enzi cha yule mnyama, nao ufalme wake ukagubikwa na giza. Watu wakatafuna ndimi zao kwa ajili ya maumivu,
Malaika ghwa tano akajhitisya kuhoma mu libakuli lya muene mu kiti kya enzi kya mnyama, ni ngisi likagupika ufalme bhwa muene. Bhasyaghili minu mu maumivu makali.
11 wakamlaani Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu na majeraha yao, wala hawakutubu kwa ajili ya matendo yao maovu.
Bhandighili K'yara ghwa kumbinguni kwandabha jha maumivu gha bhene ni majeraha gha bhene, ni kabhele bhajhendelili kutubu kwa khela kya bhakhetili.
12 Malaika wa sita akamimina bakuli lake kwenye mto mkubwa Frati, maji yake yakakauka ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme watokao Mashariki.
Malaika ghwa sita ajhitisyi kuhoma mu bakuli lya muene mu liholo kibhaha, Frati, ni masi gha muene ghajhomili ili kubhuesya kuandala njela kwa bhafalme bhabhibeta kuhida kuhoma mashariki.
13 Kisha nikaona roho wachafu watatu waliofanana na vyura wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika kinywa cha yule mnyama na katika kinywa cha yule nabii wa uongo.
Nikabhona roho sidatu sichafu sya syabhonekene kama manyoto ghaghihomela kwibhala mundomo bhwa lijhoka lela, mnyama jhola, ni jhola nabii ghwa bhudesi.
14 Hizo ndizo roho za pepo wachafu zitendazo miujiza. Nazo huwaendea wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya tayari kwa ajili ya vita katika siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Ni roho sya pepo syasibhomba ishara ni miujiza. Bhakajha bhilota kwa bhafalme bha dunia jhioha ili kubhwesya kubhabhonganiya pamonga kwa vita mu sikukuu jha K'yara, mwenye kutawala panani pa fyoha.
15 “Tazama, naja kama mwizi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuonekana aibu yake.”
(“Langayi! Nihida kama mmeji! Heri jhola jhaidumu mu kekesya jhaitunza maguanda gha muene ili asibhuesi kulota kwibhala ngoli ni kujhibhona soni jhiake”)
16 Ndipo wakawakusanya wafalme pamoja mahali paitwapo Armagedoni kwa Kiebrania.
Bhabhaletili pamonga mu sehemu jhajhakutibhu mu kiebrania Amagedoni.
17 Malaika wa saba akamimina bakuli lake angani na sauti kubwa ikatoka mle hekaluni katika kile kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha kuwa!”
Malaika ghwa saba ajhitisi kuhoma mu libakuli lya muene pa anga. Kisha sauti mbaha jhikapelekeka kuhoma patakatifu ni kuhoma pa kiti kya enzi, jhikajha jhijobha, “Jhimaliki!”
18 Kukawa na mianga ya umeme wa radi, ngurumo, radi na tetemeko kubwa la ardhi. Hapajawa kamwe na tetemeko la ardhi kama hilo tangu mwanadamu awepo duniani, hivyo lilikuwa tetemeko kubwa ajabu.
Kwajhele ni miale ghya muenga ghwa radi, lipajhula, mangingi gha radi, ni litetemeku lya kutishila - litetemeku libhaha lya ndema ambalyo libhajhilepi kuhomela pa duniani kuh'omela bhanadamu bhajhele pa duniani, Efyo litetemeku libhaha nesu.
19 Ule mji mkubwa ukagawanyika katika sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikaanguka. Mungu akaukumbuka Babeli Mkuu na kumpa kikombe kilichojaa mvinyo wa ghadhabu ya hasira yake.
Mji ubhaha bhagawanyiki mu sehemu sidatu ni miji ghya mataifa ghyabinili. Kisha K'yara akan'kombosya Babeli mbaha, ni kupela mji obho kikombi kya kyamemili divai kuhoma mu ghadhabu jhiake jhajhijhele jhikali.
20 Kila kisiwa kikatoweka wala milima haikuonekana.
Khila kisiwa kya jhaghili ni fidonda fyabhonekene lepi kabhele.
21 Mvua kubwa ya mawe yenye uzito wa talanta moja ikashuka kutoka mbinguni, ikawaangukia wanadamu. Nao wanadamu wakamlaani Mungu kwa ajili ya hayo mapigo ya mvua ya mawe, kwa sababu pigo hilo lilikuwa la kutisha.
Fula mbaha jha maganga, jhikajha ni uzito bhwa talanta, jhaselili kuhoma kumbinguni panani pa bhanu, bhandaanili K'yara kwa mapigo gha fula jha maganga kwandabha lipigo lela lyajhele libhibhi nesu.

< Ufunuo 16 >