< Ufunuo 16 >
1 Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka mle Hekaluni ikiwaambia wale malaika saba, “Nendeni, mkayamwage duniani hayo mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu.”
Og jeg hørte en høj Røst fra Templet sige til de syv Engle: Gaar hen og udgyder Guds Harmes syv Skaaler over Jorden!
2 Malaika wa kwanza akaenda akalimwaga hilo bakuli lake juu ya nchi. Majipu mabaya yenye maumivu makali yakawapata wale watu wote waliokuwa na chapa ya yule mnyama na walioabudu sanamu yake.
Og den første gik hen og udgød sin Skaal over Jorden, og der kom slemme og onde Bylder paa de Mennesker, som havde Dyrets Mærke, og dem, som tilbade dets Billede.
3 Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa ndani ya bahari kikafa.
Og den anden Engel udgød sin Skaal i Havet, og det blev til Blod som af en død, og hver levende Sjæl i Havet døde.
4 Malaika wa tatu akalimwaga bakuli lake katika mito na chemchemi za maji, nazo zikawa damu.
Og den tredje Engel udgød sin Skaal i Floderne og Vandkilderne, og de bleve til Blod.
5 Ndipo nikamsikia malaika msimamizi wa maji akisema: “Wewe una haki katika hukumu hizi ulizotoa, wewe uliyeko, uliyekuwako, Uliye Mtakatifu, kwa sababu umehukumu hivyo;
Og jeg hørte Vandenes Engel sige: Retfærdig er du, som er, og som var, du hellige, fordi du har fældet denne Dom;
6 kwa kuwa walimwaga damu ya watakatifu wako na manabii wako, nawe umewapa damu wanywe kama walivyostahili.”
thi de have udøst helliges og Profeters Blod, og du har givet dem Blod at drikke; de ere det værd.
7 Nikasikia madhabahu ikiitikia, “Naam, Bwana Mungu Mwenyezi, hukumu zako ni kweli na haki.”
Og jeg hørte Alteret sige: Ja, Herre, Gud, du almægtige! sande og retfærdige ere dine Domme.
8 Malaika wa nne akamimina bakuli lake kwenye jua, nalo likapewa nguvu za kuwaunguza watu kwa moto.
Og den fjerde Engel udgød sin Skaal over Solen; og det blev givet den at brænde Menneskene med Ild.
9 Watu wakaunguzwa na hilo joto kali, wakalaani Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya mapigo haya, tena wakakataa kutubu na kumtukuza Mungu.
Og Menneskene brændtes i stor Hede og bespottede Guds Navn, som har Magt over disse Plager; og de omvendte sig ikke til at give ham Ære.
10 Malaika wa tano akamimina bakuli lake kwenye kiti cha enzi cha yule mnyama, nao ufalme wake ukagubikwa na giza. Watu wakatafuna ndimi zao kwa ajili ya maumivu,
Og den femte Engel udgød sin Skaal over Dyrets Trone; og dets Rige blev formørket, og de tyggede deres Tunger af Pine.
11 wakamlaani Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu na majeraha yao, wala hawakutubu kwa ajili ya matendo yao maovu.
Og de bespottede Himmelens Gud for deres Piner og for deres Bylder; og de omvendte sig ikke fra deres Gerninger.
12 Malaika wa sita akamimina bakuli lake kwenye mto mkubwa Frati, maji yake yakakauka ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme watokao Mashariki.
Og den sjette Engel udgød sin Skaal over den store Flod Eufrat; og dens Vand borttørredes, for at Vejen kunde beredes for Kongerne fra Solens Opgang.
13 Kisha nikaona roho wachafu watatu waliofanana na vyura wakitoka katika kinywa cha lile joka na katika kinywa cha yule mnyama na katika kinywa cha yule nabii wa uongo.
Og jeg saa, at der af Dragens Mund og af Dyrets Mund og af den falske Profets Mund udgik tre urene Aander, som lignede Padder.
14 Hizo ndizo roho za pepo wachafu zitendazo miujiza. Nazo huwaendea wafalme wa ulimwengu wote na kuwakusanya tayari kwa ajili ya vita katika siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
Thi de ere Dæmoners Aander, som gøre Tegn; og de gaa ud til hele Jorderiges Konger for at samle dem til Krigen paa Guds, den almægtiges, store Dag.
15 “Tazama, naja kama mwizi! Amebarikiwa yeye akeshaye na kuziweka tayari nguo zake ili asiende uchi na kuonekana aibu yake.”
— Se, jeg kommer som en Tyv. Salig er den, som vaager og bevarer sine Klæder, saa han ikke skal gaa nøgen, og man skal se hans Skam. —
16 Ndipo wakawakusanya wafalme pamoja mahali paitwapo Armagedoni kwa Kiebrania.
Og de samlede dem til det Sted, som kaldes paa Hebraisk Harmagedon.
17 Malaika wa saba akamimina bakuli lake angani na sauti kubwa ikatoka mle hekaluni katika kile kiti cha enzi, ikisema, “Imekwisha kuwa!”
Og den syvende Engel udgød sin Skaal i Luften; og fra Templet, fra Tronen udgik der en høj Røst, som sagde: Det er sket.
18 Kukawa na mianga ya umeme wa radi, ngurumo, radi na tetemeko kubwa la ardhi. Hapajawa kamwe na tetemeko la ardhi kama hilo tangu mwanadamu awepo duniani, hivyo lilikuwa tetemeko kubwa ajabu.
Og der kom Lyn og Røster og Tordener; og der blev et stort Jordskælv, hvis Mage ikke har været, siden der blev Mennesker til paa Jorden, et saadant Jordskælv, saa stort.
19 Ule mji mkubwa ukagawanyika katika sehemu tatu, nayo miji ya mataifa ikaanguka. Mungu akaukumbuka Babeli Mkuu na kumpa kikombe kilichojaa mvinyo wa ghadhabu ya hasira yake.
Og den store Stad blev til tre Dele, og Folkeslagenes Stæder faldt; og Gud kom det store Babylon i Hu for at give det Bægeret med sin Vredes Harmes Vin.
20 Kila kisiwa kikatoweka wala milima haikuonekana.
Og hver Ø flyede, og Bjerge bleve ikke fundne.
21 Mvua kubwa ya mawe yenye uzito wa talanta moja ikashuka kutoka mbinguni, ikawaangukia wanadamu. Nao wanadamu wakamlaani Mungu kwa ajili ya hayo mapigo ya mvua ya mawe, kwa sababu pigo hilo lilikuwa la kutisha.
Og en stærk Hagel, centnertung, faldt ned fra Himmelen paa Menneskene; og Menneskene bespottede Gud for Hagelens Plage, thi dens Plage var meget stor.