< Ufunuo 14 >

1 Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
ཏཏཿ པརཾ ནིརཱིཀྵམཱཎེན མཡཱ མེཥཤཱཝཀོ དྲྀཥྚཿ ས སིཡོནཔཪྻྭཏསྱོཔཪྻྱཏིཥྛཏ྄, ཨཔརཾ ཡེཥཱཾ བྷཱལེཥུ ཏསྱ ནཱམ ཏཏྤིཏུཤྩ ནཱམ ལིཁིཏམཱསྟེ ཏཱདྲྀཤཱཤྩཏུཤྩཏྭཱརིཾཤཏྶཧསྲཱདྷིཀཱ ལཀྵལོཀཱསྟེན སཱརྡྡྷམ྄ ཨཱསན྄།
2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
ཨནནྟརཾ བཧུཏོཡཱནཱཾ རཝ ཨིཝ གུརུཏརསྟནིཏསྱ ཙ རཝ ཨིཝ ཨེཀོ རཝཿ སྭརྒཱཏ྄ མཡཱཤྲཱཝི། མཡཱ ཤྲུཏཿ ས རཝོ ཝཱིཎཱཝཱདཀཱནཱཾ ཝཱིཎཱཝཱདནསྱ སདྲྀཤཿ།
3 Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
སིཾཧསནསྱཱནྟིཀེ པྲཱཎིཙཏུཥྚཡསྱ པྲཱཙཱིནཝརྒསྱ ཙཱནྟིཀེ ྅པི ཏེ ནཝཱིནམེཀཾ གཱིཏམ྄ ཨགཱཡན྄ ཀིནྟུ དྷརཎཱིཏཿ པརིཀྲཱིཏཱན྄ ཏཱན྄ ཙཏུཤྩཏྭཱརིཾཤཏྱཧསྲཱདྷིཀལཀྵལོཀཱན྄ ཝིནཱ ནཱཔརེཎ ཀེནཱཔི ཏད྄ གཱིཏཾ ཤིཀྵིཏུཾ ཤཀྱཏེ།
4 Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
ཨིམེ ཡོཥིཏཱཾ སངྒེན ན ཀལངྐིཏཱ ཡཏསྟེ ྅མཻཐུནཱ མེཥཤཱཝཀོ ཡཏ྄ ཀིམཔི སྠཱནཾ གཙྪེཏ྄ ཏཏྶཪྻྭསྨིན྄ སྠཱནེ ཏམ྄ ཨནུགཙྪནྟི ཡཏསྟེ མནུཥྱཱཎཱཾ མདྷྱཏཿ པྲཐམཕལཱནཱིཝེཤྭརསྱ མེཥཤཱཝཀསྱ ཙ ཀྲྀཏེ པརིཀྲཱིཏཱཿ།
5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
ཏེཥཱཾ ཝདནེཥུ ཙཱནྲྀཏཾ ཀིམཔི ན ཝིདྱཏེ ཡཏསྟེ ནིརྡྡོཥཱ ཨཱིཤྭརསིཾཧཱསནསྱཱནྟིཀེ ཏིཥྛནྟི།
6 Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
ཨནནྟརམ྄ ཨཱཀཱཤམདྷྱེནོཌྜཱིཡམཱནོ ྅པར ཨེཀོ དཱུཏོ མཡཱ དྲྀཥྚཿ སོ ྅ནནྟཀཱལཱིཡཾ སུསཾཝཱདཾ དྷཱརཡཏི ས ཙ སུསཾཝཱདཿ སཪྻྭཛཱཏཱིཡཱན྄ སཪྻྭཝཾཤཱིཡཱན྄ སཪྻྭབྷཱཥཱཝཱདིནཿ སཪྻྭདེཤཱིཡཱཾཤྩ པྲྀཐིཝཱིནིཝཱསིནཿ པྲཏི ཏེན གྷོཥིཏཝྱཿ། (aiōnios g166)
7 Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
ས ཨུཙྩཻཿསྭརེཎེདཾ གདཏི ཡཱུཡམཱིཤྭརཱད྄ བིབྷཱིཏ ཏསྱ སྟཝཾ ཀུརུཏ ཙ ཡཏསྟདཱིཡཝིཙཱརསྱ དཎྜ ཨུཔཱཏིཥྛཏ྄ ཏསྨཱད྄ ཨཱཀཱཤམཎྜལསྱ པྲྀཐིཝྱཱཿ སམུདྲསྱ ཏོཡཔྲསྲཝཎཱནཱཉྩ སྲཥྚཱ ཡུཥྨཱབྷིཿ པྲཎམྱཏཱཾ།
8 Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
ཏཏྤཤྩཱད྄ དྭིཏཱིཡ ཨེཀོ དཱུཏ ཨུཔསྠཱཡཱཝདཏ྄ པཏིཏཱ པཏིཏཱ སཱ མཧཱབཱབིལ྄ ཡཱ སཪྻྭཛཱཏཱིཡཱན྄ སྭཀཱིཡཾ ཝྱབྷིཙཱརརཱུཔཾ ཀྲོདྷམདམ྄ ཨཔཱཡཡཏ྄།
9 Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
ཏཏྤཤྩཱད྄ ཏྲྀཏཱིཡོ དཱུཏ ཨུཔསྠཱཡོཙྩཻརཝདཏ྄, ཡཿ ཀཤྩིཏ ཏཾ ཤཤུཾ ཏསྱ པྲཏིམཱཉྩ པྲཎམཏི སྭབྷཱལེ སྭཀརེ ཝཱ ཀལངྐཾ གྲྀཧླཱཏི ཙ
10 yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
སོ ྅པཱིཤྭརསྱ ཀྲོདྷཔཱཏྲེ སྠིཏམ྄ ཨམིཤྲིཏཾ མདཏ྄ ཨརྠཏ ཨཱིཤྭརསྱ ཀྲོདྷམདཾ པཱསྱཏི པཝིཏྲདཱུཏཱནཱཾ མེཥཤཱཝཀསྱ ཙ སཱཀྵཱད྄ ཝཧྣིགནྡྷཀཡོ ཪྻཱཏནཱཾ ལཔྶྱཏེ ཙ།
11 Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
ཏེཥཱཾ ཡཱཏནཱཡཱ དྷཱུམོ ྅ནནྟཀཱལཾ ཡཱཝད྄ ཨུདྒམིཥྱཏི ཡེ ཙ པཤུཾ ཏསྱ པྲཏིམཱཉྩ པཱུཛཡནྟི ཏསྱ ནཱམྣོ ྅ངྐཾ ཝཱ གྲྀཧླནྟི ཏེ དིཝཱནིཤཾ ཀཉྩན ཝིརཱམཾ ན པྲཱཔྶྱནྟི། (aiōn g165)
12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
ཡེ མཱནཝཱ ཨཱིཤྭརསྱཱཛྙཱ ཡཱིཤཽ ཝིཤྭཱསཉྩ པཱལཡནྟི ཏེཥཱཾ པཝིཏྲལོཀཱནཱཾ སཧིཥྞུཏཡཱཏྲ པྲཀཱཤིཏཝྱཾ།
13 Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
ཨཔརཾ སྭརྒཱཏ྄ མཡཱ སཧ སམྦྷཱཥམཱཎ ཨེཀོ རཝོ མཡཱཤྲཱཝི ཏེནོཀྟཾ ཏྭཾ ལིཁ, ཨིདཱནཱིམཱརབྷྱ ཡེ པྲབྷཽ མྲིཡནྟེ ཏེ མྲྀཏཱ དྷནྱཱ ཨིཏི; ཨཱཏྨཱ བྷཱཥཏེ སཏྱཾ སྭཤྲམེབྷྱསྟཻ ཪྻིརཱམཿ པྲཱཔྟཝྱཿ ཏེཥཱཾ ཀརྨྨཱཎི ཙ ཏཱན྄ ཨནུགཙྪནྟི།
14 Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
ཏདནནྟརཾ ནིརཱིཀྵམཱཎེན མཡཱ ཤྭེཏཝརྞ ཨེཀོ མེགྷོ དྲྀཥྚསྟནྨེགྷཱརཱུཌྷོ ཛནོ མཱནཝཔུཏྲཱཀྲྀཏིརསྟི ཏསྱ ཤིརསི སུཝརྞཀིརཱིཊཾ ཀརེ ཙ ཏཱིཀྵྞཾ དཱཏྲཾ ཏིཥྛཏི།
15 Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
ཏཏཿ པརམ྄ ཨནྱ ཨེཀོ དཱུཏོ མནྡིརཱཏ྄ ནིརྒཏྱོཙྩཻཿསྭརེཎ ཏཾ མེགྷཱརཱུཌྷཾ སམྦྷཱཥྱཱཝདཏ྄ ཏྭཡཱ དཱཏྲཾ པྲསཱཪྻྱ ཤསྱཙྪེདནཾ ཀྲིཡཏཱཾ ཤསྱཙྪེདནསྱ སམཡ ཨུཔསྠིཏོ ཡཏོ མེདིནྱཱཿ ཤསྱཱནི པརིཔཀྐཱནི།
16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
ཏཏསྟེན མེགྷཱརཱུཌྷེན པྲྀཐིཝྱཱཾ དཱཏྲཾ པྲསཱཪྻྱ པྲྀཐིཝྱཱཿ ཤསྱཙྪེདནཾ ཀྲྀཏཾ།
17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
ཨནནྟརམ྄ ཨཔར ཨེཀོ དཱུཏཿ སྭརྒསྠམནྡིརཱཏ྄ ནིརྒཏཿ སོ ྅པི ཏཱིཀྵྞཾ དཱཏྲཾ དྷཱརཡཏི།
18 Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
ཨཔརམ྄ ཨནྱ ཨེཀོ དཱུཏོ ཝེདིཏོ ནིརྒཏཿ ས ཝཧྣེརདྷིཔཏིཿ ས ཨུཙྩཻཿསྭརེཎ ཏཾ ཏཱིཀྵྞདཱཏྲདྷཱརིཎཾ སམྦྷཱཥྱཱཝདཏ྄ ཏྭཡཱ སྭཾ ཏཱིཀྵྞཾ དཱཏྲཾ པྲསཱཪྻྱ མེདིནྱཱ དྲཱཀྵཱགུཙྪཙྪེདནཾ ཀྲིཡཏཱཾ ཡཏསྟཏྥལཱནི པརིཎཏཱནི།
19 Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
ཏཏཿ ས དཱུཏཿ པྲྀཐིཝྱཱཾ སྭདཱཏྲཾ པྲསཱཪྻྱ པྲྀཐིཝྱཱ དྲཱཀྵཱཕལཙྪེདནམ྄ ཨཀརོཏ྄ ཏཏྥལཱནི ཙེཤྭརསྱ ཀྲོདྷསྭརཱུཔསྱ མཧཱཀུཎྜསྱ མདྷྱཾ ནིརཀྵིཔཏ྄།
20 Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.
ཏཏྐུཎྜསྠཕལཱནི ཙ བཧི རྨརྡྡིཏཱནི ཏཏཿ ཀུཎྜམདྷྱཱཏ྄ ནིརྒཏཾ རཀྟཾ ཀྲོཤཤཏཔཪྻྱནྟམ྄ ཨཤྭཱནཱཾ ཁལཱིནཱན྄ ཡཱཝད྄ ཝྱཱཔྣོཏ྄།

< Ufunuo 14 >