< Ufunuo 14 >

1 Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
Og jeg så, og se, Lammet stod på Zions Bjerg, og med det hundrede og fire og fyrretyve Tusinde, som havde dets Navn og dets Faders Navn skrevet på deres Pander.
2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
Og jeg hørte en Lyd fra Himmelen som en Lyd af mange Vande og som en Lyd af stærk Torden, og den Lyd, jeg hørte, var som at Harpespillere, der spillede på deres Harper.
3 Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
Og de sang en ny Sang for Tronen og for de fire levende Væsener og de Ældste; og ingen kunde lære den Sang, uden de hundrede og fire og fyrretyve Tusinde, som ere løskøbte fra Jorden.
4 Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
Dette er dem, som ikke have besmittet sig med Kvinder, thi de ere jomfruelige; dette er dem, som følge Lammet, hvor det går. Disse ere løskøbte fra Menneskene, en Førstegrøde før Gud og Lammet,
5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
og i deres Mund er der ikke fundet Løgn; thi de ere ulastelige.
6 Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Og jeg så en anden Engel flyve midt oppe under Himmelen, som havde et evigt Evangelium at forkynde for dem, der bo på Jorden, og for alle Folkeslag og Stammer og Tungemål og Folk, (aiōnios g166)
7 Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
og han sagde med høj Røst: Frygter Gud og giver ham Ære, thi hans Doms Time er kommen, og tilbeder ham, som har gjort Himmelen og Jorden og Havet og Vandenes Kilder.
8 Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
Og endnu en anden Engel fulgte, som sagde: Falden, falden er Babylon, den store, som har givet alle Folkeslagene at drikke af sin Utugts Harmes Vin.
9 Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
Og en tredje Engel fulgte dem og sagde med høj Røst: Dersom nogen tilbeder Dyret og dets Billede og tager Mærke på sin Pande eller på sin Hånd,
10 yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
så skal han drikke af Guds Harmes Vin, som er iskænket ublandet i hans Vredes Bæger; og han skal pines med Ild og Svovl for de hellige Engles og for Lammets Åsyn.
11 Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
Og deres Pines Røg opstiger i Evighedernes Evigheder; og de have ikke Hvile Dag og Nat, de, som tilbede Dyret og dets Billede, og enhver, som tager dets Navns Mærke. (aiōn g165)
12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
Her gælder det de helliges Udholdenhed, de, som bevare Guds Bud og Troen på Jesus.
13 Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
Og jeg hørte en Røst fra Himmelen, som sagde: Skriv: Salige ere de døde, som dø i Herren herefter. Ja, siger Ånden, de skulle hvile fra deres Møje, thi deres Gerninger følge med dem.
14 Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
Og jeg, så, og se en hvid Sky, og på Skyen sad der en lig en Menneskesøn med en Guldkrone på sit Hoved og en skarp Segl i sin Hånd.
15 Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
Og en anden Engel gik ud fra Templet og råbte med høj Røst til ham, som sad på Skyen: Udsend din Segl og høst; thi Timen til at høste er kommen, fordi Jordens Høst er moden.
16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
Og han, som sad på Skyen, lod sin Segl gå over Jorden, og Jorden blev høstet.
17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
Og en anden Engel gik ud fra Templet i Himmelen; også han havde en skarp Segl.
18 Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
Og fra Alteret gik en anden Engel ud, som havde Magt over Ilden; og han råbte med høj Røst til den, som havde den skarpe Segl, og sagde: Udsend din skarpe Segl og afskær Druerne af Jordens Vintræ; thi dets Druer ere modne.
19 Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
Og Engelen lod sin Segl gå hen over Jorden og afskar Frugten på Jordens Vintræ og kastede den i Guds Harmes store Persekar.
20 Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.
Og Persekarret blev trådt uden for Staden, og der kom Blod ud af Persekarret op til Hestenes Bidsler, så langt som eet Tusinde og seks Hundrede Stadier.

< Ufunuo 14 >