< Ufunuo 14 >

1 Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
Acunüng teng ni se Toca Zion Mcunga khana ngdüiki la acuna ngming la a Pa a ngming ami mceyü üng ng’yuki khyang 144,000 ka jah hmuh.
2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
Acunüng khankhawa tuiksawinua ng’yüna kba ng’yüngki la khawnghmüma kba ng’yüngki ka ngjak. Acuna ka ngjaka kthai cun cawng tumki he naw cawng ami tuma kba ng’yüngki.
3 Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
Bawingawhnaka ma, xüngksei kphyü he ma la ngvai hea ma khyang 144,000 ngdüiki he cun amimät däng naw ami ngthei khawha ng’äi kthai mcuki he. Khawmdek khan avan üng amimi däng jah thawnkhyaha kyaki.
4 Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
Acun he cun nghnumi hea veia am mtüihkhehkia kyaki he. Acun he cun ä nghnu nglakia kyaki he. Acun he cun Toca a cehnak tä se läklamkia kyaki he. Acun he cun Pamhnam la Tomeca üng jah pet vaia, angthei kcüka kya khaia nghngicim üngka jah thawngkhyaha kyaki he.
5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
Acun he naw hleihlak ami pyen vai am ksing khawi u. Mkhyenak pi am ta u.
6 Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Acunüng khawmdeka khana awmkia khyang he, pakhui he naküt, paca he naküt, khyangmjü he naküt la ngthu akce kce pyenki he naküta veia ngthu sang khaia, anglät Thangkdaw takia khankhawngsä akce khana jawng hü se ka hmuh. (aiōnios g166)
7 Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
Ani naw angsanga, “Ngthumkhyahnak vaia mhmüp pha lawkia kyase Pamhnam leisawng u lü a kyäpsawknak mhlünmtai ua; khawmdek la khankhaw, mliktui la tuihna jah mhmünmcengki cen sawhkhah ua,” a ti.
8 Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
Acunüng khankhawngsä anghnginak naw, “Babalung mlühnu ta pyeh ve, pyeh ve. Khyang naküt üng a hüipawmnaka capyitui kha jah tu ve,” ti lü khankhawngsä akcük cun a läk law.
9 Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
Khankhawngsä akthumnak naw angsanga, “Upi Sakyung la a juktuh jah sawhkhah lü a msingnak a kut üng am acun üng a mceyü üng taki cun,
10 yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
Pamhnama mlungsonaka capyitui, mlungsonaka khawt üng kyan lü a buih law cun aw khai he. Khankhawngsä ngcim la Tomeca a ma yea mei la kat am jah mkhuimkha vai.
11 Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
Acun he jah mkhuimkhanaka meikhu cun anglät se tho khai. Sakyung la a juktuh sawkhahki he la a ngming msingnak taki he naküt pi amhmüp amthan am lät u lü khuikha khai he,” ti lü khankhawngsä akcük xawi cun a jah läk law. (aiōn g165)
12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
Pamhnama ngthupet läk u lü Jesuh üng sitihkia Pamhnama khyang he hama dunei vai hlüki.
13 Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
Acunüng khankhawa kthaih naw, “Hinkba yua: Atuh Bawipa khutbi üng thiki he ta jekyai ve u” Ngmüimkhya naw, “Ä cang ve! ami bawngkhanak üngka naw xüiei khai he. Ami bilawh naw jah läk law khaia kyase, ti ve,” a ti ka ngjak.
14 Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
Acunüng teng ni se khawngmei kbawk ka hmuh. Nghngicima mäih lawki a lu üng xüi lukhum ngbüng lü xat yekia ngvin kpawmei lü khawngmeia khana ngawki ka hmuh.
15 Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
Acunüng khankhawngsä akce Pamhnama Temple üngka naw lut lawki naw khawngmeia khana ngawkia veia angsang yea, “Na ngvin kphawng lü ata; ah vai kha ve. Khawmdek cang hmin lü ngäp ve,” a ti.
16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
Acunüng khawngmeia khana ngawki naw a ngvin khawmdeka khana khäi lü khawmdek cang cun a ah.
17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
Acunüng khankhawngsä akce pi xat kcangkia ngvin kpawm lü khankhawa Temple üngka naw lut lawki ka hmuh.
18 Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
Acunüng khankhawngsä akce meia khana khyaihbahnak taki pi kphyawnkung üngka naw lut law lü ngvin xat kcang taki angsang yea khü lü, “Na ngvin akpat kcang cen kphawng lü khawmdek khana capyit ngbawm he cen jah ata; hmin päng ve u,” a ti.
19 Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
Acunüng khankhawngsä naw a ngvin khawmdeka khana khäi lü capyit cun atki. Acunüng capyitui suinak angsawng kcang Pamhnama mlungsonak capyitui suinaka k’uma a jah tawnin.
20 Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.
Acunüng mlühnua kpung lama capyit suinaka k’um üng leh u se capyit suinaka khui üngka naw thisen lawng lawki. Acuna thisen lawng lawki cun ngsea nghngü cäpa li lü mäng phya nghngih banga lawng lü khyang cäpa ngkyungki.

< Ufunuo 14 >