< Ufunuo 14 >

1 Kisha nikatazama na hapo mbele yangu alikuwepo Mwana-Kondoo, akiwa amesimama juu ya Mlima Sayuni. Pamoja naye walikuwa wale 144,000 wenye Jina la Mwana-Kondoo na Jina la Baba yake likiwa limeandikwa kwenye vipaji vya nyuso zao.
La man to bekwame tim dor bang chiyona wari kan-nge chonubo wii bikatewin kwini kwob nar turo nar che, buro chi mulang den chi re kan-nge der techere tikob chiyeb.
2 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni kama sauti ya maji mengi yaendayo kwa kasi na sauti kama ngurumo ya radi. Sauti hiyo niliyoisikia ilikuwa kama sauti ya wapiga vinubi wakipiga vinubi vyao.
Man nuwa dor kang-nge chiyati na dir mwenger chaji chwati kang-nge kunnye kwatiye. Diro ma nuwa cherkan nob gilingili-nge chi kwa gilingili-nge chiyeti.
3 Nao wakaimba wimbo mpya mbele ya hicho kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe wanne wenye uhai na wale wazee. Hakuna mtu yeyote aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao 144,000 waliokuwa wamekombolewa kutoka duniani.
Chi ka nuwe fwir kabum kutile liyare kang-nge kabum fule wo kwareche nare kang-nge nubo durtinimbo. kang-nge mani wo tiye, la kan nubo 144,000 wuro chi fan-ngu chi dor bitinere.
4 Hawa ndio wale ambao hawakujitia unajisi kwa wanawake, kwa kuwa wao ni bikira. Wao humfuata Mwana-Kondoo kila aendako. Hawa wamekombolewa kutoka miongoni mwa wanadamu wakawa malimbuko kwa Mungu na kwa Mwana-Kondoo.
burombo chi wuor chi mam bo kayaka wi kang-nge natubed; la chi warum dur chiyero wuchak kang-nge mulen daunkuram. wuro cho bwawer bekwameti gwam fiye cho ya wiye, chi wo fan-ngu mor nube na chi yiam bilca kabak kwama kang-nge bekwame.
5 Vinywani mwao hapakuonekana uongo, wala hawakuwa na hatia yoyote.
Chwerke uyambou nji, chi man ki duti.
6 Kisha nikamwona malaika mwingine akiruka juu angani, naye alikuwa na Injili ya milele ya kuwatangazia wale waishio duniani, yaani, kwa kila taifa, kabila, lugha na jamaa. (aiōnios g166)
Man tô bwetomange wucchake kang-nge kweni tiber dii kwama, wo ki fulen do bak lumi nyeu, a yi dorbitinerotiye, na wo a yii bertinimbo ti gwamme kang-nge nyini, kang-nge nubo. (aiōnios g166)
7 Akasema kwa sauti kubwa, “Mcheni Mungu na kumpa utukufu, kwa maana saa ya hukumu yake imewadia. Mwabuduni yeye aliyeziumba mbingu, dunia, bahari na chemchemi za maji.”
Cho bichor ki diro dur, kom nuwa tai kwama, kom ductang cho. la bolang chelco lam. wabcho, cho wo ma diiko kang-nge bitine, kang-nge wima, kang-nge wuchak, bwetoman-nge wuchake wo yobe che, bwa-ngu yiti ki, yarum babila, babila durko yarum, wuro bol nubo irko gwan a nôô mwen bitutti tiye burotum cheme.
8 Malaika wa pili akafuata akisema, “Umeanguka! Umeanguka Babeli Mkuu, ule uliyafanya mataifa yote kulewa kwa mvinyo wa ghadhabu ya uasherati wake.”
ka-nge betoma-nge kwentiniim bwetoman-nge wuchwce WO yobe che, bwa-ngu yiti ki yarum babila durko yarum, euro bol nuto firko gwan a nōō muen bitutti tiye burotum cheme. kan-ngu chi ki Dirk kuean Keane, yiti ki nawo wab bichir do wo nii kang-nge fulen chereri, yo kulang kangchek kalca tikobchekeri.
9 Malaika wa tatu akawafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa, “Kama mtu yeyote anamwabudu huyo mnyama na sanamu yake na kutiwa chapa yake kwenye kipaji chake cha uso au kwenye mkono wake,
10 yeye pia atakunywa mvinyo wa hasira kali ya Mungu ambayo imemiminwa katika kikombe cha ghadhabu yake pasipo kuchanganywa na maji. Naye atateswa kwa moto uwakao na kiberiti mbele ya malaika watakatifu na mbele za Mwana-Kondoo.
Cho ken chan nōō mwca bituti funere kwang, mwen bitutti WO chi choir chan chak mor kwel funere che, WO no no cheri chiyan necho dotang-nge ki Kris, kang-nge kriako fuwor, kabum nubo wuchak biboi to man-nge kwama kang-nge bekwame.
11 Nao moshi wa mateso yao hupanda juu milele na milele. Hakuna mapumziko, mchana wala usiku, kwa wale wamwabuduo huyo mnyama na sanamu yake, au kwa yeyote anayepokea chapa ya jina lake.” (aiōn g165)
Yilom dotang-nge chiye to kweni dii diri-diri, take chi mankind fobka kume Lange kalck-buro chi nubo chi wab bi chirp Lange dubi che, Lange gwam buro yo yirom dene che. (aiōn g165)
12 Hapa ndipo penye wito wa subira na uvumilivu wa watakatifu; wale wanaozishika amri za Mungu na kudumu katika uaminifu kwa Yesu.
Euro chi bichor bika mwirumka burombo wuchakke, buro bwamten werfuner kwamara ki bilenke mor yechi.”
13 Kisha nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Andika: Wamebarikiwa wafu wafao katika Bwana tangu sasa.” “Naam,” asema Roho, “watapumzika kutoka taabu zao, kwa kuwa matendo yao yatawafuata.”
Man nuwa bi chirp dii kwama yiti ki mulang wo, nob bibwiyer nobo bwiyam bwiya wo bwiya mor Teluwer yuwatangbeko wuchakke yii ki long work chin fubom kang-nge dotang-nge chiye, di la nangen chiyero bwang chinenten.
14 Nikatazama, hapo mbele yangu palikuwa na wingu jeupe, na aliyekuwa ameketi juu ya hilo wingu alikuwa “kama Mwana wa Adamu” mwenye taji ya dhahabu kichwani mwake na mundu mkali mkononi mwake.
Ma tori biloro fuorko wo. him biloko nine tamwi bibwenifire. wiiki nēēduwe Maine dorcher kang-nge bilore wo cha bye kangchek.
15 Kisha malaika mwingine akaja kutoka hekaluni naye akamwita kwa sauti kubwa yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akasema, “Chukua mundu wako ukavune kwa kuwa wakati wa mavuno umewadia, kwa maana mavuno ya dunia yamekomaa.”
Do kang-nge bwetomange wuchakke cheri bikur wabker, chi bi cho bi chirp kibi tūū bilor mwe yoten kang biyeka bito ko wuro kini biyeka bitoko dorbitinero lam.
16 Hivyo yule aliyekuwa ameketi juu ya lile wingu akauzungusha mundu wake duniani, nayo dunia ikavunwa.
La wo him for bilore mobken bilore che dorbitiner, la biyen dorbitineo.
17 Malaika mwingine akatoka katika hekalu lililoko mbinguni, naye pia alikuwa na mundu mkali.
Kang-nge bwe to mange wuchake cheri mor biker saber feren dii kwama, cho kene wiki bilore cha bye.
18 Kisha malaika mwingine, aliyekuwa na mamlaka juu ya moto, akatoka kwenye madhabahu, naye akamwita yule malaika mwenye mundu mkali kwa sauti kubwa, akisema, “Chukua mundu wako mkali ukakusanye vichala vya mizabibu ya dunia, maana zabibu zake zimeiva.”
Kang-nge bwetomange wuchake cheri tanjila twita nuwang fichanger wo with ki bi kwan aber kirer. cho bi chirp ki dior kwamkwame wuro rin tankî bilore cha-nye, tūū bilore mwe cha-nyeu mweru bitutti mabi tii Mani wo dorbitiro n'm, mabi BIM”
19 Hivyo yule malaika akauzungusha mundu wake duniani na kukusanya zabibu za dunia na kuzitupa kwenye shinikizo kubwa la ghadhabu ya Mungu.
Bwetomange wuchake met bilore che, mweru bitutti mabi dorbitinere chorkeu mor tale due wo chi yamum mwen mabi finer kwamar.
20 Lile shinikizo likakanyagwa nje ya mji, nayo damu ikatiririka kama mafuriko kutoka hilo shinikizo kufikia kimo cha hatamu za farasi, kwa umbali wa maili 200.
Chi fuwarangum fiye yanka bitutti mabi bwim chinanlor bwiyale chuati fiye yamka bitutti mabi, land NGO na duka nyi tuwak, yaken Mel Kai kwob yob.

< Ufunuo 14 >