< Ufunuo 13 >

1 Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari. Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru.
پس اژدها به کنار دریا رسید و در آنجا به انتظار نشست. آنگاه وحشی را دیدم که از دریا بالا می‌آمد. این جانور هفت سر داشت و ده شاخ. روی هر شاخ او یک تاج بود و روی هر سر او نام کفرآمیزی نوشته شده بود.
2 Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa.
این وحش شبیه پلنگ بود اما پاهایش مانند پاهای خرس و دهانش مانند دهان شیر بود. اژدها تاج و تخت و قدرت و اختیارات خود را به او بخشید.
3 Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama.
یکی از سرهایش را دیدم که زخم کشنده‌ای برداشته بود، ولی خودبه‌خود خوب شد! آنگاه تمام مردم دنیا از این معجزه غرق در حیرت شدند و وحش را با ترس و احترام پیروی کردند.
4 Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”
آنان اژدها را که چنین قدرتی به آن جانور داده بود، ستایش نمودند. وحش را نیز پرستش کرده، گفتند: «کیست به بزرگی او؟ چه کسی می‌تواند با او بجنگد؟!»
5 Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
سپس، اژدها وحش را تحریک کرد تا به گزافه‌گویی بپردازد، و به او اختیار داد تا امور دنیا را به مدت چهل و دو ماه به دست گیرد.
6 Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni.
در تمام این مدت، به اسم خدا و معبد و تمام کسانی که در آسمانند کفر می‌گفت.
7 Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa.
اژدها به او قدرت داد تا با قوم مقدّس خدا جنگیده، ایشان را شکست دهد و بر تمام قومها و قبیله‌ها از هر زبان و نژاد دنیا حکومت کند؛
8 Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
همهٔ مردم دنیا نیز او را پرستش خواهند کرد. اما کسانی که نامشان از آغاز آفرینش، در دفتر حیات که متعلق به برّه است، نوشته شده، او را پرستش نخواهند نمود.
9 Yeye aliye na sikio na asikie.
هر که می‌تواند گوش دهد، به دقت گوش کند:
10 Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka, atachukuliwa mateka. Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.
کسی که قرار است زندانی شود، زندانی خواهد شد، و کسی که قرار است با شمشیر کشته شود، کشته خواهد شد. لازم است قوم مقدّس خدا در چنین وضعی پایدار و وفادار بمانند.
11 Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka.
سپس، وحش دیگری دیدم که از داخل زمین بیرون آمد. این جانور دو شاخ داشت، مانند شاخهای برّه، ولی مانند اژدها سخن می‌گفت.
12 Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
او تمام قدرت آن وحش اول را که از زخم کشنده خود خوب شده بود، به کار می‌گرفت و از تمام دنیا می‌خواست که وحش اول را بپرستند.
13 Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi.
او پیش چشمان همه دست به معجزات باور نکردنی می‌زد و از آسمان آتش به زمین می‌آورد!
14 Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi.
او از جانب وحش اول اجازه می‌یافت تا این کارهای عجیب را انجام داده، مردم دنیا را فریب دهد و ایشان را وادار سازد مجسمهٔ بزرگی از جانور اول بسازند، همان وحشی که از زخم شمشیر جان به در برده بود.
15 Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.
حتی او توانست به آن مجسمه جان ببخشد تا بتواند سخن گوید، و همهٔ کسانی را که او را نمی‌پرستند، به مرگ محکوم کند.
16 Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso,
از این گذشته، بزرگ و کوچک، فقیر و غنی، برده و آزاد را وادار کرد تا علامت مخصوص را بر روی دست راست یا پیشانی خود بگذارند؛
17 ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.
تا هیچ‌کس نتواند چیزی بخرد مگر این که علامت مخصوص آن وحش، یعنی اسم یا عدد او را بر خود داشته باشد.
18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.
در اینجا نیاز به حکمت است. هر که باهوش باشد می‌تواند عدد وحش را محاسبه کند، زیرا این عدد، عدد یک انسان است و عدد او ۶۶۶ است.

< Ufunuo 13 >