< Ufunuo 13 >

1 Yule joka akajikita katika mchanga ulioko ufuoni mwa bahari. Nami nikamwona mnyama akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake, na juu ya kila kichwa kulikuwa na jina la kukufuru.
Ba biwame bi tono ikiki, aje uraba udang. Mi be ma iri binama bi buri unnu suro anyimo uraba udang ba zi inna hure ukirau nan na ce usunare. Asesere ahira me ina ukirau ya cikin, aseser ako niya nice niza ni zenzen na rani.
2 Mnyama yule niliyemwona alifanana na chui, lakini miguu yake ilikuwa kama ya dubu na kichwa chake kama cha simba. Lile joka likampa huyo mnyama nguvu zake, kiti chake cha enzi na mamlaka makubwa.
Binama bi buri sa ma iri ba zi kasi bikpe. Tibuna me kasi ti buna ti binama ba iro, ayome gu anyo udaru. Bi nama ba iro bi dandang ba nya me in kara nimeme, nan tigomo timeme ma canti anabu.
3 Kimojawapo ya vichwa vya huyo mnyama kilikuwa kama kilichokwisha kupata jeraha la mauti, lakini jeraha hilo la mauti likapona. Ulimwengu wote ukashangaa ukamfuata huyo mnyama.
Kasi nice ni bire bi nama bi buru me sa a hu, senke unuru me wa huma. Anu manyaga me vat wa kunna biyau unnu tarsa ubibama bi buri me.
4 Watu wakaliabudu lile joka kwa sababu lilikuwa limempa huyo mnyama mamlaka yake, pia wakamwabudu huyo mnyama na kuuliza, “Ni nani aliye kama huyu mnyama? Ni nani awezaye kupigana vita naye?”
Wa kuri wa nonzo bi nama ba iro bi dandang me barki ma nya bi nama bi buri me nikara, waa nonzo bini cangi innu gusa, ''aveni mazi gu bi nama ba iro me, aveni mada ke ma wuzi tikara nan hu?' nan aveni madi wuzi ti kara nan bi nama bi buri me?''
5 Huyo mnyama akapewa kusema maneno ya kiburi na kukufuru na kutumia mamlaka yake kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
A nya binama biburu me a nyo barki ma bu utize tizenzen. A nya bini nikara tipe akuri anazi nan tire.
6 Akafungua kinywa chake ili kumkufuru Mungu, akilitukana Jina lake na mahali aishipo na wale wakaao mbinguni.
Bi nama biburu me ba poki anyo unice zogizo Asere uchara niza ni me ahira sa ma cikin, nan nanu sa wa ciki anyimo Asere.
7 Pia akaruhusiwa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda. Akapewa uwezo juu ya watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa.
A nya binama bi dandang nikara barki bi wuzi nikono nan na bi, biri we inni kono. Akuri a nya bini ni kara asesere a ko niya nilem, anabu nan ti hira.
8 Nao watu wote waishio duniani watamwabudu huyo mnyama, yaani, wale wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo aliyechinjwa tangu kuumbwa kwa ulimwengu.
Vat anu sa wa ciki unee me wadi nonzo bini unu ge sa da a nyettike niza nimeme dati ubara unee me, anyimo utakarda iai, u bitam sa a weki.
9 Yeye aliye na sikio na asikie.
Unu uge sa mazin ti ttoi na ma kunna.
10 Ikiwa mtu ni wa kuchukuliwa mateka, atachukuliwa mateka. Ikiwa mtu ni wa kuuawa kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye wito wa subira na imani ya watakatifu.
Inka adi ziki uye uhana ani rere, anyimo ani rere madi dusa. Inka adi hu uye innu kasagali, unnu kasagali uni adi hu. In tisa shi barki iwu iriba ishew nan anu sa wazi lau.
11 Kisha nikamwona mnyama mwingine, akipanda juu kutoka dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena kama joka.
Ma kuri in iri bire bi nama biburu unnu suro anyimo unee me. Bi zi inna hure are gu a bitam, bi boo gu bi nama bi dandag.
12 Akatumia mamlaka yote ya yule mnyama wa kwanza kwa niaba yake, naye akawafanya wote wakaao duniani kumwabudu yule mnyama wa kwanza, ambaye jeraha lake la mauti lilipona.
Ba wuzi katuma inni kara ni bi nama ba iro bi dandang bi tuba aje abini, ba kuri bi wu anu wa nonzo bi tuba me, bi gesa unuru me wa huma.
13 Naye akafanya ishara kuu na za ajabu, hata kusababisha moto kushuka toka mbinguni kuja duniani watu wakiona waziwazi.
Ba wuzi timumum ti biyau. Ba hunguko urah asesere u rizi unee aje anu.
14 Kwa sababu ya zile ishara alizokuwa amepewa uwezo wa kuzifanya kwa niaba ya yule mnyama wa kwanza, akawadanganya wakaao duniani. Akawaamuru wasimamishe sanamu kwa heshima ya yule mnyama aliyekuwa amejeruhiwa kwa upanga lakini akaishi.
Bi bezi be zisa bi wuzi, ba rangi anu sa wa ciki unee me. Ba gu in we wa barka ire imum ciki u nonzo ubi nama bi buri me sa ba innu nuru senke ma daza chai.
15 Akapewa uwezo wa kuipa pumzi ile sanamu ya yule mnyama wa kwanza, ili iweze kusema na kuwasababisha wale wote waliokataa kuiabudu hiyo sanamu kuuawa.
A nya bini nikara nu nya ivai ubi nama bi buri me barki bi boo tize bi wu anu sa nyari u nonzo ubini a hu we.
16 Pia alimlazimisha kila mmoja, mdogo na mkubwa, tajiri na maskini, mtu huru na mtumwa, atiwe chapa kwenye mkono wake wa kuume au kwenye kipaji chake cha uso,
Bi kuri bi wu anu inni kara, sa a kunna in we nan na dandang, anu ikirfi nan nu udira, afang nan arere, wa kabi bihori u binama bi buri a tari tinare nani abitini.
17 ili kwamba mtu yeyote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa amekuwa na hiyo chapa, ambayo ni jina la huyo mnyama au tarakimu za jina lake.
Daki uye mabari makpi nani ma zizi senke wa zi in tikama tibi nama bi buru me, ubassa uniza me nini.
18 Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na ufahamu na ahesabu tarakimu za huyo mnyama, kwa maana ni tarakimu za kibinadamu. Tarakimu zake ni 666.
Utisa uni barki ugamara utize. Vat unu ge sa ma hira anyimo na ma basa ulamba ubi noma bi buri me. Ukamba wa nanu uni, unee ini 666.

< Ufunuo 13 >