< Ufunuo 12 >

1 Kukaonekana ishara kuu mbinguni: Palikuwa na mwanamke aliyevikwa jua, na mwezi ukiwa chini ya miguu yake, na taji ya nyota kumi na mbili ilikuwa kichwani mwake.
Titia ekta dangor chihna sorgote ulaise: ekjon mahila suryo pora kapra lagai kene, aru chand tai laga theng nichete, aru baroh ta tara laga mukut tai laga matha te pindhise.
2 Alikuwa na mimba naye akilia kwa uchungu kwa kuwa alikuwa anakaribia kuzaa.
Tai bacha bhuki thakise, aru bacha jonom hobole laga bikha pora kandi thakise, aru bacha ulabole nimite dukh pai thakise.
3 Kisha ishara nyingine ikaonekana mbinguni: Likaonekana joka kubwa jekundu lenye vichwa saba na pembe kumi na taji saba katika vichwa vyake.
Titia aru dusra ekta chihna sorgote ulaise: Sabi, ekta dangor ajgar janwar tai laga dosta matha aru dosta seing, aru sat-ta mukut tai laga matha te ase.
4 Mkia wake ukakokota theluthi ya nyota zote angani na kuziangusha katika nchi. Ndipo lile joka likasimama mbele ya yule mwanamke aliyekuwa karibu kuzaa ili lipate kumla huyo mtoto mara tu atakapozaliwa.
Aru tai laga puchur pora tin bhag tara sorgote jhari kene hatai dise aru prithibi phale phelai dise. Aru etu ajgar janwar bacha pabole thaka mahila usorte khara korise, jitia tai bacha pabo, etu ajgar janwar pora bacha ke khai dibole.
5 Yule mwanamke akazaa mtoto mwanaume, atakayeyatawala mataifa yote kwa fimbo yake ya utawala ya chuma. Lakini huyo mtoto akanyakuliwa na kupelekwa kwa Mungu kwenye kiti chake cha enzi.
Titia utu mahila pora ekta mota bacha jonom dise, aru tai etu desh ke loha laga lathi pora raj chola bole thakise. Tai laga bacha ke Isor aru singhason usorte chingi kene loi jaise,
6 Yule mwanamke akakimbilia jangwani, ambako Mungu alikuwa amemtayarishia mahali ili apate kutunzwa huko kwa muda wa siku 1,260.
aru etu mahila jongol te polai jaise, tai nimite Isor pora ekta jaga taiyar kori kene rakhidise, taike 1,260 din tak bhal kori kene sai dibole.
7 Basi palikuwa na vita mbinguni: Mikaeli na malaika zake wakapigana na hilo joka, nalo joka pamoja na malaika zake likapigana nao.
Etiya sorgote dangor lorai hoise. Michael aru tai laga sorgodoth khan etu ajgar janwar logote lorai korise; aru etu ajgar janwar bhi tai laga duth khan ke loi kene lorai korise.
8 Lakini joka na malaika zake wakashindwa, na hapakuwa tena na nafasi yao huko mbinguni.
Kintu etu ajgar janwar aru tai laga duth khan takot thaka nathaka hoi jaise aru taikhan nimite akash te thaki bole jaga bhi nathaka hoise.
9 Lile joka kuu likatupwa chini, yule nyoka wa zamani aitwaye ibilisi au Shetani, aupotoshaye ulimwengu wote. Akatupwa chini duniani, yeye pamoja na malaika zake.
Etu karone dangor ajgar janwar ke nichete phelai dise- purana ekta saph, taike bhoot atma aru Saitan koi, tai pura duniya ke thogai diye- taike prithibi te phelai dise, aru tai laga duth khan bhi tai logote phelai dise.
10 Kisha nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema: “Sasa wokovu na uweza na Ufalme wa Mungu wetu umekuja na mamlaka ya Kristo wake. Kwa kuwa ametupwa chini mshtaki wa ndugu zetu, anayewashtaki mbele za Mungu usiku na mchana.
Titia moi sorgo pora dangor awaj te koi thaka hunise, “Etiya amikhan laga poritran aru takot Aru Isor laga rajyo to ahise, Aru Tai laga Khrista laga adhikar ase. Moi laga bhai khan ke dukh diya ekjon ke nichete phelai dise, Kun pora Isor usorte din aru rati taikhan ke dukh dise.
11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao. Wala wao hawakuyapenda maisha yao hata kufa.
Taikhan Mer bacha laga khun aru gawahi pora sob to jiti loise, Kelemane mori bole thaka homoi te bhi taikhan nijor laga jibon to morom kora nai.
12 Kwa hiyo, furahini ninyi mbingu na wote wakaao humo! Lakini ole wenu nchi na bahari, kwa maana huyo ibilisi ameshuka kwenu, akiwa amejaa ghadhabu, kwa sababu anajua ya kuwa muda wake ni mfupi!”
Etu nimite sorgo khan khushi koribi, aru Kiman manu ta te thaki ase! Kintu prithibi aru samundar khan dukh hobo, Kelemane saitan to tumikhan majote ase! Tai bisi khong pora bhorta hoi ase, Tai jani ase tai logote olop homoi he bachi kene ase!
13 Lile joka lilipoona kuwa limetupwa chini duniani, lilimfuatilia yule mwanamke aliyekuwa amezaa mtoto mwanaume.
Aru jitia taike prithibi nichete phelai dise koi kene ajgar janwar to janise, tai jai kene etu mota bacha jonom diya mahila ke digdar dise.
14 Lakini huyo mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa, kusudi aweze kuruka mpaka mahali palipotayarishwa kwa ajili yake huko jangwani, ambako atatunzwa kwa wakati na nyakati na nusu, ya wakati ambako yule joka hawezi kufika.
Kintu etu mahila ke chil chiriya laga pankha nisena duita dise, tai etu loi kene jongol phale tai laga jagate polai jabo nimite, etu jagate taike tin saal aru adha tak nimite bhal kori kene sai dibo, homoi, aru olop homoi nimite- etu saph laga chehera age pora dur te thaki bole.
15 Ndipo lile joka likamwaga maji kama mto kutoka kinywani mwake, ili kumfikia huyo mwanamke na kumkumba kama mafuriko.
Etu nimite saph pora tai laga mukh pora nodi nisena pani etu mahila laga pichete jabo dise, etu pora ban-pani aha nisena mahila ke loi jabole nimite.
16 Lakini nchi ikamsaidia huyo mwanamke kwa kufungua kinywa na kuumeza huo mto ambao huyo joka alikuwa ameutoa kinywani mwake.
Kintu prithibi pora mahila ke modot korise aru prithibi pora mukh khuli kene sob pani to khai loise.
17 Kisha lile joka likapatwa na hasira kali kwa ajili ya huyo mwanamke na likaondoka ili kupigana vita na watoto waliosalia wa huyo mwanamke, yaani, wale wanaozitii amri za Mungu na kuushika ushuhuda wa Yesu Kristo.
Titia ajgar pora mahila uporte bisi khong uthise aru tai laga khandan khan uporte lorai kori bole nimite jaise, kun manu Isor laga kotha mani thakise aru Jisu laga gawahi dhori kene thakise, taikhan ke khotom kori bole nimite lorai korise.

< Ufunuo 12 >