< Ufunuo 11 >

1 Ndipo nikapewa mwanzi uliokuwa kama ufito wa kupimia, nikaambiwa, “Nenda ukapime hekalu la Mungu pamoja na madhabahu, nawe uwahesabu wale waabuduo humo.
In dá se mi pero enako palici; in angelj je stal rekoč: Vstani in izmeri svetišče Božje, in oltar in kateri molijo v njem;
2 Lakini usiupime ua wa nje wa Hekalu, uache, kwa sababu ua huo wamepewa watu wa Mataifa. Hao wataukanyagakanyaga mji mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
In vežo znotraj svetišča vrzi ven, in ne meri je, ker je dana bila poganom; in mesto sveto bodejo teptali dva in štirideset mesecev.
3 Nami nitawapa mashahidi wangu wawili uwezo, nao watoe unabii kwa muda wa siku 1,260, wakiwa wamevaa nguo za gunia.”
In dal bodem dvema pričama svojima, in prerokovali bodeti tisoč dve sto šestdeset dnî oblečeni z vrečami.
4 Hawa ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa visimamavyo mbele za Bwana Mungu wa dunia yote.
To sti oliki dvé in svečnika dva stoječa pred Bogom zemlje.
5 Kama mtu yeyote akitaka kuwadhuru, moto hutoka vinywani mwao na kuwateketeza adui zao. Hivi ndivyo impasavyo kufa mtu yeyote atakayetaka kuwadhuru.
In če jima hoče kdo kaj žalega storiti, izide jima ogenj iz ust in požre njijne sovražnike; in če jima hoče kdo kaj žalega storiti, mora tako umorjen biti:
6 Watu hawa wanao uwezo wa kufunga anga ili mvua isinyeshe wakati wote watakapokuwa wanatoa unabii wao. Nao watakuwa na uwezo wa kuyabadili maji kuwa damu na kuipiga dunia kwa kila aina ya mapigo mara kwa mara kama watakavyo.
Té imati oblast nebo zapreti, da ne dežuje v dnevih njijnega prerokovanja; in oblast imati nad vodami, izpremeniti jih v kri, in bíti zemljo z vsako šibo, kolikorkrat hočeti.
7 Basi watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama atokaye katika lile Shimo atapigana nao vita, atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
In kader bodeti izpolnili pričanje svoje, bode zver, ki vzhaja iz brezna, vojsko napravila z njima in zmagala ji in umorila ji. (Abyssos g12)
8 Maiti zao zitabaki katika barabara ya mji mkubwa, ambao kwa fumbo unaitwa Sodoma na Misri, ambapo pia Bwana wao alisulubiwa.
In trupli njijni na ulicah mesta vélikega, katero se imenuje duhovno Sodoma in Egipt, kjer je bil tudi Gospod naš križan.
9 Kwa muda wa siku tatu na nusu, watu wa kila kabila, jamaa, lugha na taifa wataziangalia hizo maiti zao na hawataruhusu wazikwe.
In gledali bodo iz ljudstev in rodov in jezikov in narodov trupli njijni tri dnî in pol, in trupel njijnih ne bodo pustili dejati v grobe.
10 Watu waishio duniani watazitazama kwa furaha maiti za hao manabii wawili na kushangilia kwa kupeana zawadi kwa sababu hao manabii waliwatesa watu waishio duniani.
In prebivalci na zemlji bodo se veselili nad njima in se radovali, in dari si bodo pošiljali med seboj, ker sta ta dva preroka mučila prebivalce na zemlji.
11 Lakini baada ya zile siku tatu na nusu, pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu ikawaingia, nao wakasimama kwa miguu yao na wote waliowaona wakaingiwa na hofu kuu.
In po treh dnevih in pol izšel je življenja duh iz Boga na njiju, in stala sta na noge svoje, in strah velik je padel na one, ki so ji gledali.
12 Kisha wale manabii wawili wakasikia sauti kuu kutoka mbinguni ikiwaambia, “Njooni huku juu!” Nao wakapaa mbinguni katika wingu, wakati adui zao wakiwa wanawatazama.
In čula sta glas velik z neba govoreč jima: Pojta sem gor! In šla sta gor na nebo v oblaku in videli so ji sovražniki njijni.
13 Saa iyo hiyo, kukatokea tetemeko kubwa la nchi na sehemu ya kumi ya mji ikaanguka. Watu elfu saba wakauawa katika tetemeko hilo, nao walionusurika wakaogopa sana, wakamtukuza Mungu wa mbinguni.
In v tisti uri nastal je potres velik, in desetina mesta je padla in pobitih je bilo v potresu imen človeških sedem tisoč, in ostali bili so v strahu in dajali so slavo Bogu nebeškemu.
14 Ole ya pili imekwisha kupita, tazama ole ya tatu inakuja upesi.
Gorje drugo je prešlo: glej, gorje tretje pride hitro!
15 Yule malaika wa saba akaipiga tarumbeta yake, pakawa na sauti kubwa mbinguni iliyosema: “Ufalme wa ulimwengu umekuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake, naye atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
In sedmi angelj zatrobi, in nastanejo glasovi veliki na nebu govoreči: Kraljestva sveta so postala Gospoda našega in Kristusa njegovega, in kraljeval bode na vekov veke. (aiōn g165)
16 Nao wale wazee ishirini na wanne, waliokuwa wameketi mbele za Mungu, kwenye viti vyao vya enzi, wakaanguka kifudifudi, wakamwabudu Mungu,
In štiri in dvajseteri starejšine, sedeči pred Bogom na prestolih svojih, padli so na obličja svoja, in molili Boga rekoč:
17 wakisema: “Tunakushukuru, Bwana Mungu Mwenyezi, uliyeko na uliyekuwako, kwa kuwa umetwaa uweza wako mkuu na ukaanza kutawala.
Zahvaljujemo se ti, Gospod Bog vsemogočni, kateri je in je bil in bode, da si prejel moč véliko svojo in si zakraljeval.
18 Mataifa walikasirika nao wakati wa ghadhabu yako umewadia. Wakati umewadia wa kuwahukumu waliokufa na kuwapa thawabu watumishi wako manabii na watakatifu wako pamoja na wale wote wanaoliheshimu Jina lako, wakubwa kwa wadogo: na kuwaangamiza wale wanaoiangamiza dunia.”
In narodi so se razsrdili, in prišla je jeza tvoja, in čas mrtvih, da se sodijo, in se dá plačilo hlapcem tvojim prerokom in svetnikom in boječim se imena tvojega, vélikim in malim, in da se pogubé, kateri pogubljajo zemljo.
19 Ndipo hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana humo ndani. Kukatokea mianga ya umeme wa radi, ngurumo, sauti za radi, tetemeko la nchi na mvua kubwa ya mawe.
In odpre se svetišče Božje na nebu; in videla se je skrinja zaveze njegove v svetišči njegovem; in nastali so bliski in glasi in gromovi in potres in toča velika.

< Ufunuo 11 >