< Ufunuo 10 >
1 Kisha nikamwona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni. Alikuwa amevikwa wingu na upinde wa mvua juu ya kichwa chake. Uso wake ulingʼaa kama jua na miguu yake ilikuwa kama nguzo za moto.
Dila mintokange nitomange yauti fiven dii kwama cumom cume mor bilore, kwangyabeu wi dorcer Tikobcebo no kakau, natirimcembo na ——— kirak.
2 Mkononi mwake alikuwa ameshika kijitabu kilichokuwa kimefunguliwa. Akauweka mguu wake wa kuume juu ya bahari na mguu wake wa kushoto akauweka juu ya nchi kavu.
Tamki bifumero biluware kamcek, lacii wumir, diladokti naceko cattiyero dor wimar, naceko mokeu dorbitinertak.
3 Naye akapiga kelele kwa sauti kuu kama simba anayenguruma. Alipopiga kelele, zile radi saba zikatoa ngurumo zake.
Dilan kwakiygngeu kidiro dor na tirme yam ciitiye. kituren cii kwo kiyangeu, dikreams biro nibecreu tok ker kange kiyange ceu.
4 Nazo zile radi saba zilipotoa ngurumo, nilitaka kuanza kuandika, lakini nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, “Yatie muhuri hayo yaliyosemwa na hizo radi saba na usiyaandike.”
Kambo dikwamabiro tokkereri, mikwicik kange kange mulangka, dila min nuwa diro kange diikwama ki, “Tam yurka dikekowo dikwamawo nibeer yineneu mulangcore;
5 Kisha yule malaika niliyekuwa nimemwona akiwa amesimama juu ya bahari na juu ya nchi akainua mkono wake wa kuume kuelekea mbinguni.
Dila nii tomangewo rito tim dor wimar kange bitineu, kung kangceko cattiyero dii kwama.
6 Naye akaapa kwa Yule aishiye milele na milele, aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote viijazavyo, pamoja na bahari na vyote vilivyomo ndani yake, akasema, “Hakuna kungoja tena! (aiōn )
Lan warum kangewo kiduwe diri diriyeu-wo fwel dikwsmau kange dikero worece gwsmes kange dorbitinero kange gwamr dike dorceru, kange wima kange dike gwamm moreceu, diks rii tomangeu yiki,” tabka bwiyeko kange main. (aiōn )
7 Lakini katika siku zile ambazo huyo malaika wa saba atakapokaribia kuipiga hiyo tarumbeta yake, siri ya Mungu itatimizwa, kama vile alivyowatangazia watumishi wake manabii.”
dile diye rii tomange wo nicowyurks kwaamako adimtiye, dong dong nawo ciyi amgabceb nob tomangob dukumeb.”
8 Ndipo ile sauti niliyokuwa nimeisikia kutoka mbinguni ikasema nami tena ikaniambia, “Nenda, chukua kile kitabu kilichofunguliwa kilichoko mkononi mwa yule malaika aliyesimama juu ya bahari na juu ya nchi kavu.”
Diro rinuwa dikwamau token ker kange mo;” yaker, yatu bifumerowo wuwon wume kang nii tomange wo tim dor wimar kange dor bitinereu.”
9 Basi nikamwendea nikamwomba yule malaika anipe kile kitabu kidogo. Akaniambia, “Chukua na ukile. Kitakuwa kichungu tumboni mwako, lakini kinywani mwako kitakuwa kitamu kama asali.”
lamin yaker rii to mangerin rinyico ri neye biffumero biduwareu. yiye ki, “tu bifumero cam Andok fwermwero yilam twei dila nyimweru antwibi na yuti.”
10 Hivyo nikakichukua kile kitabu kidogo kutoka mkononi mwa yule malaika nikakila. Kilikuwa kitamu kama asali kinywani mwangu, lakini baada ya kukila, tumbo langu likatiwa uchungu.
Mintu bifumero biduwareu kangrii tomangekeu min cam twibi kambu kan nyimi na yuti, dila twer, la fwermiro yilam twei,
11 Kisha nikaambiwa, “Imekupasa kutoa unabii tena kuhusu makabila mengi, mataifa, lugha na wafalme.”
kange yiye ki, “intam nyo mwam token ker dukumer tak kange ducce, kange riiffir kange bitenti kange liyabtirim.”