< Zaburi 1 >

1 Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
Heureux l’homme qui n’est pas allé au conseil des impies, qui ne s’est pas arrêté dans la voie des pécheurs, qui ne s’est pas assis dans la chaire de pestilence;
2 Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
Mais dont la volonté est dans la loi du Seigneur, et qui médite cette loi le jour et la nuit.
3 Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
Il sera comme l’arbre planté près des courants des eaux, qui donnera son fruit en son temps; Et sa feuille ne tombera point; et tout ce qu’il fera prospérera.
4 Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
Il n’en est pas ainsi des impies; non, il n’en est pas ainsi, mais ils sont comme la poussière que le vent emporte de la face de la terre.
5 Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
C’est pourquoi les impies ne ressusciteront pas au jugement, ni les pécheurs dans l’assemblée des justes.
6 Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.
Parce que le Seigneur connaît la voie des justes, et la voie des impies périra.

< Zaburi 1 >