< Zaburi 99 >

1 Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
ای قومها بترسید، زیرا خداوند سلطنت می‌کند! ای تمام زمین بلرزید، زیرا خداوند بر تخت خود در میان کروبیان جلوس فرموده است!
2 Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
خداوند در اورشلیم جلوس فرموده و بر تمام قومها مسلط است.
3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
همهٔ مردم نام بزرگ او را گرامی بدارند، زیرا او مقدّس است.
4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
ای پادشاه مقتدر، تو انصاف را دوست داری. تو در اسرائیل عدالت و برابری را بنیاد نهاده‌ای.
5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
خداوند، خدای ما را ستایش کنید و در پیشگاه او به خاک بیفتید زیرا او مقدّس است!
6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
وقتی موسی و هارون و سموئیل، مردان خدا، از خداوند کمک خواستند، او درخواست ایشان را مستجاب فرمود.
7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
او از میان ستون ابر با آنان سخن گفت و آنان احکام و دستورهای او را اطاعت کردند.
8 Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
ای خداوند، خدای ما، تو دعای قوم خود را مستجاب نمودی و به آنها نشان دادی که خدایی بخشنده هستی؛ اما در عین حال آنها را به خاطر گناهانشان تنبیه نمودی.
9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.
خداوند، خدای ما را حمد گویید و او را نزد کوه مقدّسش در اورشلیم عبادت کنید، زیرا او مقدّس است.

< Zaburi 99 >