< Zaburi 99 >
1 Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
Agar-ari ni Yahweh, agpigerger koma dagiti nasion. Agtugtugaw isuna iti tronona iti ngatoen ti kerubim; ken agginggined ti daga.
2 Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
Naindaklan ni Yahweh idiay Sion; maitagtag-ay isuna kadagiti amin a nasion.
3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
Idaydayawda koma ti naindaklan ken natan-ok a nagganmo; nasantoan isuna.
4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
Nabileg ti ari, ken ay-ayatena ti hustisia. Inrugim ti awan panangidumduma; nangaramidka iti nalinteg a paglintegan kenni Jacob.
5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
Idaydayawyo ni Yahweh a Diostayo ken agrukbabkayo iti sakaananna. Nasantoan isuna.
6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
Da Moises ken Aaron ket maysada kadagiti papadina, ken ni Samuel ket maysa kadagiti nagkararag kenkuana. Nagkararagda kenni Yahweh ket sinungbatanna ida.
7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
Kinasaritana ida manipud iti adigi ti ulep. Sinalimetmetanda dagiti pammaneknekna ken alagaden nga intedna kadakuada.
8 Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
Sinungbatam ida, O Yahweh a Diosmi. Sika ti Dios a nangpakawan kadakuada, uray no dinusam dagiti basbasolda.
9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.
Idaydayawyo ni Yahweh a Diostayo, ken agrukbabkayo idiay nasantoan a turodna, ta nasantoan ni Yahweh a Diostayo.