< Zaburi 99 >

1 Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
LORD to reign to tremble people to dwell cherub to shake [the] land: country/planet
2 Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
LORD in/on/with Zion great: large and to exalt he/she/it upon all [the] people
3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
to give thanks name your great: large and to fear: revere holy he/she/it
4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
and strength king justice to love: lover you(m. s.) to establish: establish uprightness justice and righteousness in/on/with Jacob you(m. s.) to make: do
5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
to exalt LORD God our and to bow to/for footstool foot his holy he/she/it
6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
Moses and Aaron in/on/with priest his and Samuel in/on/with to call: call to name his to call: call to to(wards) LORD and he/she/it to answer them
7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
in/on/with pillar cloud to speak: speak to(wards) them to keep: obey testimony his and statute: decree to give: give to/for them
8 Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
LORD God our you(m. s.) to answer them God to lift: forgive to be to/for them and to avenge upon wantonness their
9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.
to exalt LORD God our and to bow to/for mountain: mount holiness his for holy LORD God our

< Zaburi 99 >