< Zaburi 99 >

1 Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
Hina Gode da Hina bagadeba: le, dunu huluane da Eba: le yagugusa. E da ougia hamoi esalebe liligi aduna amo ela dabua gado Ea hadigi fisu da: iya fisa, amasea osobo bagade da fogosa.
2 Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
Saione amo ganodini Hina Gode da bagadedafa esala. E da fifi asi amo ganodini huluane baligili gadodafa esala.
3 Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
Dunu huluane da Ea Hina bagade Dio amoma nodone sia: mu. E da Hadigidafa.
4 Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
Hina Bagadedafa! Di da moloidafa hou bagade hanai gala. Di da Isala: ili amo ganodini Dia moloi fofada: su amo huluane dawa: digima: ne ligisi. Di da moloidafa amo defele oule misi.
5 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
Ninia Hina Godema nodone sia: ma! Ea hadigi fisu midadi amodili Ema nodomusa: gilisima! E da Hadigidafa!
6 Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
Mousese amola Elane, ela da Ea gobele salasu dunu galu, amola Samiuele da Ema sia: ne gadosu. Ilia da Hina Godema wele sia: beba: le, E da ilima dabe adole i.
7 Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
E da mu mobi ganumu amogaini ilima sia: i. Ilia da Ea sema amola hamoma: ne sia: i, amo huluane fa: no bobogei.
8 Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
Na Hina Gode! Di da Dia dunu ilima dabe adole i. Di da ilima, ilia wadela: i hou hamobeba: le se bidi i. Be amomane Di da Gode amo da gogolema: ne olofosu dawa: , amo ilima olelei dagoi.
9 Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.
Ninia Hina Godema nodoma! Amola Ea Hadigi agolo amo da: iya Ema nodone sia: ne gadoma. Ninia Hina Gode da Hadigidafa

< Zaburi 99 >