< Zaburi 98 >

1 Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
Dziesma. Dziediet Tam Kungam jaunu dziesmu, jo Viņš dara brīnumus; Viņš palīdz ar Savu labo roku un ar Savu svēto elkoni.
2 Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
Tas Kungs ir zināmu darījis Savu pestīšanu, tautu priekšā Viņš parādījis Savu taisnību.
3 Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
Viņš pieminējis Savu žēlastību un Savu uzticību Israēla namam, un visi zemes gali redz mūsu Dieva pestīšanu.
4 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
Gavilējiet Tam Kungam, visa zeme, skandinājiet priecīgi, līksmojaties priecīgi un dziediet.
5 mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
Dziediet Tam Kungam ar koklēm, ar koklēm un dziesmas skaņu,
6 kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
Ar trumetēm un ar bazūņu skaņu, gavilējiet tā ķēniņa, Tā Kunga priekšā.
7 Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
Lai jūra krāc un kas iekš tās ir, zemes virsas un kas tur dzīvo.
8 Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
Lai upes plaukšķina, un kalni lai kopā līksmojās
9 vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.
Tā Kunga priekšā, jo Viņš nāk zemi tiesāt; Viņš tiesās pasauli ar taisnību un tos ļaudis ar tiesu.

< Zaburi 98 >