< Zaburi 98 >

1 Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
Yuk soko on sasu nu sin LEUM GOD, Tu El oru ma wolana! Ke ku lal a ke mutal lal El eis kutangla.
2 Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
LEUM GOD El fahkak kutangla lal, El fahkak ku in molela lal nu sin mutanfahl uh.
3 Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
El esam wulela lal nu sin mwet Israel Ke inse pwaye ac lungse kawil lal nu selos. Mwet in acn nukewa elos liye kutangla lun God lasr.
4 Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
On ke engan nu sin LEUM GOD, faclu nufon; Kaksakunul ke pusren on, ac sasa ke engan.
5 mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
On ac kaksakin LEUM GOD. Fahkak pusren on ke harp u.
6 kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
Uk mwe ukuk, A sasa ke engan nu sin LEUM GOD, su tokosra lasr.
7 Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
Lela meoa in ngirngir, a ma nukewa loac, Faclu in on, a elos su muta fac!
8 Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
Lela infacl u in paspas, A eol u in tukeni on ke engan ye mutun LEUM GOD,
9 vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.
Mweyen El tuku in leumi faclu. El ac fah leum fin mwet faclu Ke suwoswos ac wo.

< Zaburi 98 >